Mianaume ndo tulivyo......hovyoooo!

Mianaume ndo tulivyo......hovyoooo!

We we una mke??
Umeoa lini na yupi kati ya wale naowafahamu???
Acha kujitoa show hapa tena yooote hapo yanakuhusu sana.
Nitamwaga radhi saa hii ohooo t
ena hiyo 2,3...........zinakuhusu sana mwone vile

Asante kwa kuliona hili my sisy,
Yani anabisha mwanzo mwisho,amesahu unajua ishu zake,
Mwambie akubaliane na bishanga tu,kabla hujamwanga mambo hadharani lol!
Wapi my broda fidel!haaa haa!
 
Wanaume rijali hawapo kabisa kwenye huo uzi wa Bishanga tunapenda kuwaita wanaume suruali kwa sababu amevaa suruali lakini matendo yake si ya kianaume hana maamuzi magumu katika familia na si kichwa cha familia, fikiria unarudi saa 5 unakuta watoto walikuwa wanacheza wanapo sikia sauti yako tu mbio chumbani na kujifungia hii inaleta picha gani kama baba? na kama mzazi? na kama kichwa cha familia? ndo matokeo ya wanaume suruali hajui kujari, hajui kuthamini n.k


kabisa mkuu
haya yapo sana
 
Hujachelewa zidisha maombi ili usimkwaze mama watoto maana tayari unamapungufu umesha kili wazi wazi sasa kazi kwako kuyashughulikia ili mama Tuli ajiridhishe na mwenendo wa kila siku nyumbani.

Kweli leo Bishanga kakuweza imebidi ukimbile kwenye Mungu sasa???? Maana huku umepigwa Ten kwa Nil
 
Wapo wengi na wapo ambao ni wanaume na wanajua nini maana ya ndoa zao na wanaheshimu ndoa zao
Ni baba wa familia na mume kwa mke wake
Wanajua muda wa kukaa na familia na muda wa kukaa na marafiki
Muda wa kukaa na watoto na uhuru wanaopaswa kupewa watoto
Wanaoheshimu hisia za wake zao na wanaoheshimu pia hisia za watoto wao na wanaojua watoto wao au wake zao kwa muda huo wanataka nini na wanahitaji nini kutoka kwa baba au mume
Daaaaaaaaaaaaaaah!!! big big big point man nimeipenda hii post kupita maelezo imenigusa sana. NAPENDA SANA KUWA HIVYO NIKIINGIA KWNY NDOA NA MIMESHAJIFUNZA MENGI..GOD HELP ME
 
Mpenzi hasira hizo taratibu karibu juice ya machungwa.................


We we una mke??
Umeoa lini na yupi kati ya wale naowafahamu???
Acha kujitoa show hapa tena yooote hapo yanakuhusu sana.
Nitamwaga radhi saa hii ohooo t
ena hiyo 2,3...........zinakuhusu sana mwone vile
 
We we una mke??
Umeoa lini na yupi kati ya wale naowafahamu???
Acha kujitoa show hapa tena yooote hapo yanakuhusu sana.
Nitamwaga radhi saa hii ohooo t
ena hiyo 2,3...........zinakuhusu sana mwone vile

Mi sijaoa bado nina mchumba bana sasa hizo 2 na 3 zinanihusu vp wkt tunapo taka kuvunja amri ya 6 tunakuwa wote toka mchana na saizi nipo kwake hapa
 
Watu hamkawii kusema ooh ID ya Fidel imechakachuliwa mara ooh sio yeye ni mm mwenyewe nipo Tandale kwa Mtogole hapa na wifi yako baadae tunapanda hapo Tip Top

Mie najua mwandiko wako wewe ukweli unabaki pale pale
kuwa leo umekamatika huna pa kutokea na halafu acha
kuingiza mambo ya mungu kama nguzo yako kwa leo hiyo
fani si yako kabisa hiyo mwachie Miss Judith ndo anaweza
hayo mambo wewe kaa pembeni na ukubali ukweli kwisha
 
Ni mawazo yake mimi naeleza kilicho moyoni mwangu mm si deki maana nikideka dahh mwenzangu atanielewa vibaya hivyo basi nakomaa kuna siku mwenzangu alikugua gafla usiku nilimbeba mgongoni umbali wa nusu kilomita mpaka dispensary ilikuwa usiku na yeye anauzito wa kilo 83kg fikiria mzigo wake huo lakini nilimfikisha salama dispensary yeye hajawahi ni beba wala niogesha hata siku moja hivyo basi mimi si deki kama yeye ni kideka tu atanishtukia kuwa tayari usemi wa Cameroon unatimia Bongo.
Haaaa haaa broda,unamjua DA?
Kasema uzi mzima unakuhusu km unabisha atamwaga mambo hadharani lol!
Hapo napo vp mkuu?
 
Kweli leo Bishanga kakuweza imebidi ukimbile kwenye Mungu sasa???? Maana huku umepigwa Ten kwa Nil

Nyambafu Mungu kila siku ninae namwambia Rocky azidishe maombi yeye ana mapungufu yake binafsi
 
Mi sijaoa bado nina mchumba bana sasa hizo 2 na 3 zinanihusu vp wkt tunapo taka kuvunja amri ya 6 tunakuwa wote toka mchana na saizi nipo kwake hapa

Hapo zinaaply wakati akija kwako weekend kufua
na kusafisha nyumba na kuangalia mtoto wa mwanamke mwenzie
 
Ni mawazo yake mimi naeleza kilicho moyoni mwangu mm si deki maana nikideka dahh mwenzangu atanielewa vibaya hivyo basi nakomaa kuna siku mwenzangu alikugua gafla usiku nilimbeba mgongoni umbali wa nusu kilomita mpaka dispensary ilikuwa usiku na yeye anauzito wa kilo 83kg fikiria mzigo wake huo lakini nilimfikisha salama dispensary yeye hajawahi ni beba wala niogesha hata siku moja hivyo basi mimi si deki kama yeye ni kideka tu atanishtukia kuwa tayari usemi wa Cameroon unatimia Bongo.
Ndiyo mpwa, komaa nao, nakuaminia jibaba, utatuwakilisha vizuri kwenye huu uzi.
mimi nasepa
 
Duu hii nimekubali, mbona watakukoma leo. Na hii uliandikia wapi hasa (venue) ,....maana I can imagine ulivyokuwa unashuka mistari hiyo.
 
Kwa mwanaume rijali aliyo andika Bishanga hapo juu hawezi fanya upumbavu kama huo.
Yawezekana yeye Bishanga anafanya kiaina.
yaani kinamama woooooote waliounga mkono mada hii nao ni wapumbavu hawajui wanaunga mkono kitu gani? Na waliotoa mifano hai kuhusu wanaume zao ni wapumbavu pia?
 
Mie najua mwandiko wako wewe ukweli unabaki pale pale
kuwa leo umekamatika huna pa kutokea na halafu acha
kuingiza mambo ya mungu kama nguzo yako kwa leo hiyo
fani si yako kabisa hiyo mwachie Miss Judith ndo anaweza
hayo mambo wewe kaa pembeni na ukubali ukweli kwisha

Mi siwezi kukubali huo uzi haunihusu kamwe kwa nini haunihusu mm mwanaume rijali na ninamwamini Mungu
 
Ndiyo mpwa, komaa nao, nakuaminia jibaba, utatuwakilisha vizuri kwenye huu uzi.
mimi nasepa

Poa mpwa nawakilisha vilivyo alafu pitia pale Tandale Popo bawa nimekuachia speed za kuku na juice ya miwa muulize Mpemba
 
Back
Top Bottom