Leo ninaye tu labda akimbie
My broda bwana yesu asifiwe!Ulikuwa hujui kuwa mm mlokole? Huyo DA anatafuta umaarufu kama mbunge wa CCM
Mwite The Boss na Bujibuji waweke bayana kama huwa wanayafanya hayo. Mimi binafsi sifanyi
Na mie leo nataka kujua mwisho wake kanibishia sana lol!Leo ninaye tu labda akimbie
ahsante li shem langu la ukweli,actually i am trying to help my brothers,wanakasirika bure tu.He he he he he he watu pipoooooooooooooooooo
Bishanga nimekupa Reputation kwa huu uzi.
Wanaume leo naniliu hazisimamia kabisa ha ha ha ha
Nimechekaje mie??!! Mweeeehhhh
Hata sijui nilikuwa wapi mpaka nikachelewa thread
imefika mbali hivi dah..............
Leo umewashika nanihino zao ha ha ha ha hakuna
kubisha
Asante sana Like ingeruhusiwa zaidi ya mara moja naona
ningekugongea 100000
My broda bwana yesu asifiwe!
Leo ndio leo bishanga kagusa kunako broda!
Sina uhakika hata kwa stail hii ya ulokole wa gafla km utatoka!
Kubali uzaliwe upya!
Ili iweje??????????????????????
Halleluya broda!Kwa jina la Yesu na sikimbii nipo sana hapa, mi nimekataa hayo mambo mimi sifanyi labda umuulize Bujibuji
Hakuna mwizi anaekubali kwamba yeye ni mwizi!
Kwa jina la Yesu na sikimbii nipo sana hapa, mi nimekataa hayo mambo mimi sifanyi labda umuulize Bujibuji
Halleluya broda!
Leo unalo,
Raha moja DA anasubiri ruhusa yako atumwagie mambo yako!
Halleluya broda!
Leo unalo,
Raha moja DA anasubiri ruhusa yako atumwagie mambo yako!
Amina broda,Amen, ubarikiwe sana, Bishanga kagusa upande wake anavyo fanya
Ubarikiwe sana
Acha kuchezea hiyo kabisa wewe saa hizi uko counter ya juu na unataja yesu wapi na wapi??
Sitishiki sitikisiki na mm nina chama changu nacho kitetea sipo chama cha kina Bishanga na wengine walio kubali