Mianaume ndo tulivyo......hovyoooo!

Mianaume ndo tulivyo......hovyoooo!

dah..aise kaexpose maujanja yetu yote!
kunasiku mshkaji wangu alishtumia hiyo technique ya kurudi asubuhi na difenda ya polisi hom..but bado ilikuwa ni mshike mshike!
bora wewe umekubali ukweli,tujirekebishe kaka!
 
Bashaija hapo sitii neno hii kweli,wanaume sisi wakati mwingine hovyoooooo!!
 
Huyu anataka promo tu D.A hamna kitu kama hicho, niamini na nielewe mwanaume makini kama mm hawezi fanya upupu huo hapo juu sawa sawa?


Mwanaume rijali ndo yupi?? Wewe halafu umesemaje hapo kwenye red hebu rudia???
 
urijali unahusiana nini na kuhodhi remote control sebuleni au kushinda vijiweni unaangalia ManU?

Akili zake zimekomaa na anafanya mambo kikubwa zaidi si kitoto hivyo ya kuhodhi remote
 
Bashaija hapo sitii neno hii kweli,wanaume sisi wakati mwingine hovyoooooo!!

We K..............umekubali leo?? siamini machoa yangu nilidhani bado
unamchukia mama na kumpenda baba peke yake
 
Mkuu yapo sana
Ni vile kila nyumba ina siri zake ila wanawake zetu wangeamua kufunguka wakasema kinachoendelea ndani ya nyumba zao mkuu tungeficha sura zetu
haya yanatokea sana miongoni mwetu sisi wanaume na tunayafanya mengi
Kama ni mpenzi wa mpira kuko tayari kukaa bar mpaka saa saba za usiku kisa kuna mechi ya Man U na Man City au mechi ya kirafiki kati ya Hispania na Uholanzi
Mkuu haya yanatokea sana
Wengine wamadiriki hata kuleta hawara yake nyumbani anakokaa na familia yake kisa amelewa huko hajui hata anafanya nini
Au amewekeza sana kwa hawara hata familia haikumbuki
msaidie nduguyo Fidel,nikiongea mimi ananiambia mpumbavu.
 
nshaanza kuona kuna watu wanataka kuchapana makonde humu .............Bishanga wapi utulize pepo mchafu😛hoto:

Chauro hebu msome Bishanga hapa chini

.......itaendelea....leo wababa wa humu ndani nakula nao sahani moja!
 
Anaawaambia nyie msomjua vizuri
We mwache alete ubishi wake nitamwaga
Mchele kwenye kuku wengi asomeke vizuri
Naona kabadili stail yuko kimungu sasa lol!
Km vipi mwaga bwana tumalizane naye!
Wenzie wamekubali kabaki yeye,
Broda km vp kubali bwana DA ataharibu!!!!
 
Back
Top Bottom