Mianaume ndo tulivyo......hovyoooo!

Mianaume ndo tulivyo......hovyoooo!

Ajisafishe kwanza na yeye
Aseme ni yapi kati ya hayo ambayo hafanyi
Au amechukulia mfano wake kuja kutupa taarifa hapa
hahahahahaaaaa haya bana,ningesema kitu lakini ngoja niache........
 
na log off by washawasha namalizia na .mia by figanigga
 
Mie namtafuta mmoja ambaye hana kati ya hayo yalioorodheshwa................tunaruhusiwa kuongeza mengine.

Wapo wengi na wapo ambao ni wanaume na wanajua nini maana ya ndoa zao na wanaheshimu ndoa zao
Ni baba wa familia na mume kwa mke wake
Wanajua muda wa kukaa na familia na muda wa kukaa na marafiki
Muda wa kukaa na watoto na uhuru wanaopaswa kupewa watoto
Wanaoheshimu hisia za wake zao na wanaoheshimu pia hisia za watoto wao na wanaojua watoto wao au wake zao kwa muda huo wanataka nini na wanahitaji nini kutoka kwa baba au mume
 
Hili lisredi limetuzalilisha sana sisi vichwa vya familia.

Kulaaleki huyu aliye hack password ya bishanga............nikimkamaaata!

Ngoja niwahi kuangalia mpira.
 
Namba 9 nimeipenda, kumbe mwaturuhusu tucheze mechi za nje ila tusizae huko eeh? Na tukizaa tusizae zaidi ya mmoja! Hapa ndio ninapowapendea wanawake hamna wivu kabisa!!!
 
Sasa wewe umejuisha wanaume wote, ilihali wa kawako tu ndio anakufanyia hayo. Umesahua kuwa binadamu wanatofautiana kutoka mmoja kwenda mwingine. Wengine akili ya kuambiawa anachanganya na yake kuacha ushauri mbaya pale pale. Sio mianaume yote, mingine ina malezi mazuri, inajali.
Mkuu sikilizia malalamiko ya kina mama walio wengi wenye ndoa zao,malalamiko yao ni haya haya pamoja na mengi ambayo sijayataja. Hapa nazungumzia uhalisia wa maisha yetu ya kila siku na kile kinachozungumziwa na kina mama wengi.
Kina baba tusiwe defensive,we are not all that perfect hata tulelewe vipi we shall still be humanbeings with all human frailties.
 
Mwingine siku zote 365 na 1/4 anaondoka saa 11 alfajiri watoto wamelala na kurudi saa 7 usiku wakati wamelala. Kazi gani hiyo isiyokuwa na mapumziko? unashindwa hata kutenga muda wa kukaa na familia yako!!!
 
hahaaaaaaa mmezidi leo zamu yenu Babu


Hili lisredi limetuzalilisha sana sisi vichwa vya familia.

Kulaaleki huyu aliye hack password ya bishanga............nikimkamaaata!

Ngoja niwahi kuangalia mpira.
 
mmmh napitita tu kumbe condomu huwa zina[pasuka?
hasa salama condoms zikikaa sana sehemu ya joto kama kwenye viduka vyetu vya uswahilini ambavyo havina AC.
 
Back
Top Bottom