Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,712
- 36,174
Tangu tupate Uhuru 1961 sasa ni miaka 59 . Lakini wale maadui 3 ambao ni ujinga, umaskini na maradhi bado wanawatesa Watanzania.
Je, tuendelee kuwapa kura CCM ili waendeleze mapambano waliyoyashindwa kwa miaka 59?
Tuwanyang'anye mamlaka kwakuwa wameshindwa kutokomeza ujinga, umaskini na maradhi?
Nimefanya kazi mgodi wa GGM kama security officer, nimefanya kazi mgodi Mkubwa wa dhahabu Bulyanhulu as security officer.
Nimefanya kazi Hifadhi ya Serengeti FOUR SEASONS HOTEL kama security officer pia. Kote niliacha mwenyewe tu. Nilikuwa naangalia maslahi namwaga manyanga na CV yangu kwenye security issue iko poa, nikifanya interview na Wazungu wasiopenda udhalimu na rushwa wananikubali sana.
Wanalipa vizuri kuliko hata serikalini. Sasa niko serikalini nako nilitaka kuacha June - July 2020 ingawa nimeongeza muda mbele kwasababu ya kuondolewa kwa fao halali la kujitoa psssf
Turudi kwenye mada, utajiri ulioko huko kwenye Hifadhi za taifa ni mkubwa, utajiri ulioko huko kwenye migodi ya dhahabu na madini mingine ya madini ni mkubwa sana.
Maajabu ni kwamba umaskini, ufukara, ujinga na maradhi bado vinawatesa Watanzania.
Lakini bado CCM wanajisifu wamewatendea mema Watanzania. Kuendelea kuwapa mamlaka CCM ni kutokujitambua.
Je, tuendelee kuwapa kura CCM ili waendeleze mapambano waliyoyashindwa kwa miaka 59?
Tuwanyang'anye mamlaka kwakuwa wameshindwa kutokomeza ujinga, umaskini na maradhi?
Nimefanya kazi mgodi wa GGM kama security officer, nimefanya kazi mgodi Mkubwa wa dhahabu Bulyanhulu as security officer.
Nimefanya kazi Hifadhi ya Serengeti FOUR SEASONS HOTEL kama security officer pia. Kote niliacha mwenyewe tu. Nilikuwa naangalia maslahi namwaga manyanga na CV yangu kwenye security issue iko poa, nikifanya interview na Wazungu wasiopenda udhalimu na rushwa wananikubali sana.
Wanalipa vizuri kuliko hata serikalini. Sasa niko serikalini nako nilitaka kuacha June - July 2020 ingawa nimeongeza muda mbele kwasababu ya kuondolewa kwa fao halali la kujitoa psssf
Turudi kwenye mada, utajiri ulioko huko kwenye Hifadhi za taifa ni mkubwa, utajiri ulioko huko kwenye migodi ya dhahabu na madini mingine ya madini ni mkubwa sana.
Maajabu ni kwamba umaskini, ufukara, ujinga na maradhi bado vinawatesa Watanzania.
Lakini bado CCM wanajisifu wamewatendea mema Watanzania. Kuendelea kuwapa mamlaka CCM ni kutokujitambua.