🤣🤣🤣Tuna tatizo kubwa sana kama Taifa kwasasa nchi yetu zaidi ya 60 millions lkn ni kikundi kidogo sana cha watu ambao wanaweza kuzungumza mambo mapana na yenye maslahi mapana
🤣🤣🤣Tuna tatizo kubwa sana kama Taifa kwasasa nchi yetu zaidi ya 60 millions lkn ni kikundi kidogo sana cha watu ambao wanaweza kuzungumza mambo mapana na yenye maslahi mapana
Land alienation, Taxation, forced labour, poor technologyLack of education
Hahaha, tahira mkubwa, unaandika upuuzi wako hapa unataka kila mtu akusapoti? Unadhani mapinduzi ni jambo rahisi tu? Mara tunamtaka Rais dikteta, akaja Magu, matusi kila siku, Kaja Samia naye mnamtukana, now mnataka jeshi, nyie jamaa ni wapumbavu sanaLack of education
Kufaidi keki ya taifa ni suala la serikali inayotawala kuhakikisha maendeleo yanakuwa diversified. Hii ni kuhakikisha kuwa kila sehemu ya nchi yetu inapata maendeleo kwa usawa na kwa uwiano unaotakiwa bila ubaguzi.
Leo hii Ccm baada ya kutawala kwa miaka 60 hali ya maisha ya wananchi wa kawaida ni mbaya na inatia huruma.
Ccm peke yao ndio wanafaidi matunda ya taifa letu, huku wananchi wa kawaida tukiteseka. Kila kitu ni kwa wanaCcm vigogo ambao wanakula keki ya taifa kama mali yao.
Ili kukabiliana na huu uonevu wa Ccm tunakiwa kama watanzania kufanya mapinduzi ndani ya mioyo yetu na kuikataa Ccm. Mapinduzi sio kushika bunduki na kuondoa madhalimu bali ni kubadilika na kuwakataa kwa kila namna.
Bora mkuu tuwape hata saccos hizo awamu moja tuwapime kuliko kuwa na chama kimoja ambacho kwa sasa hata halieleweki ndio kimepoteana kabisa ifike mahari wakae benchi kidogoNakubaliana na wewe Kiasi fulani, isipokuwa TATIZO letu Lingine Kubwa...Vyama serious vya Upinzani hakuna.... Vingi vilivyopo ni Saccos Za Watu...!
Yaani hapo ni sawa na ukisimama mshale, Ukikaa mshale.
Kufaidi keki ya taifa ni suala la serikali inayotawala kuhakikisha maendeleo yanakuwa diversified. Hii ni kuhakikisha kuwa kila sehemu ya nchi yetu inapata maendeleo kwa usawa na kwa uwiano unaotakiwa bila ubaguzi.
Leo hii Ccm baada ya kutawala kwa miaka 60 hali ya maisha ya wananchi wa kawaida ni mbaya na inatia huruma.
Ccm peke yao ndio wanafaidi matunda ya taifa letu, huku wananchi wa kawaida tukiteseka. Kila kitu ni kwa wanaCcm vigogo ambao wanakula keki ya taifa kama mali yao.
Ili kukabiliana na huu uonevu wa Ccm tunakiwa kama watanzania kufanya mapinduzi ndani ya mioyo yetu na kuikataa Ccm. Mapinduzi sio kushika bunduki na kuondoa madhalimu bali ni kubadilika na kuwakataa kwa kila namna.
Mbowe wampe umakamu wa Urais.Hiyo keki ya taifa inapikwa na Mama samia???
poor government support and mental care plus immoralityLack of education
Hiyo keki bado kuna watakao kula Ice, wengine Ngano na wengine zile chengachenga za mabakiKufaidi keki ya taifa ni suala la serikali inayotawala kuhakikisha maendeleo yanakuwa diversified. Hii ni kuhakikisha kuwa kila sehemu ya nchi yetu inapata maendeleo kwa usawa na kwa uwiano unaotakiwa bila ubaguzi.
Leo hii Ccm baada ya kutawala kwa miaka 60 hali ya maisha ya wananchi wa kawaida ni mbaya na inatia huruma.
Ccm peke yao ndio wanafaidi matunda ya taifa letu, huku wananchi wa kawaida tukiteseka. Kila kitu ni kwa wanaCcm vigogo ambao wanakula keki ya taifa kama mali yao.
Ili kukabiliana na huu uonevu wa Ccm tunakiwa kama watanzania kufanya mapinduzi ndani ya mioyo yetu na kuikataa Ccm. Mapinduzi sio kushika bunduki na kuondoa madhalimu bali ni kubadilika na kuwakataa kwa kila namna.
wewe hebu tuliza kichwa kwanza. Mapinduzi yanayosemwa hapa ni kuwa everyman should be responsible for their well-being I mean they should make choices and be responsible for whatever choice is madeHahaha, tahira mkubwa, unaandika upuuzi wako hapa unataka kila mtu akusapoti? Unadhani mapinduzi ni jambo rahisi tu? Mara tunamtaka Rais dikteta, akaja Magu, matusi kila siku, Kaja Samia naye mnamtukana, now mnataka jeshi, nyie jamaa ni wapumbavu sana
Hakuna haja ya kuwa na serikali kama kila mtu ajiamulie tu upuuzi wake unaomjia kichwaniwewe hebu tuliza kichwa kwanza. Mapinduzi yanayosemwa hapa ni kuwa everyman should be responsible for their well being I mean they should make choices and be responsible for whatever choice is made
mkuu umesoma tu heading bc. Contents haujasoma ukaja kutoa maoni. Hivi kuna sehemu mwandishi kazungumzia habari za jeshi????? Anyway ngoja nikoe nikalaleHahaha, tahira mkubwa, unaandika upuuzi wako hapa unataka kila mtu akusapoti? Unadhani mapinduzi ni jambo rahisi tu? Mara tunamtaka Rais dikteta, akaja Magu, matusi kila siku, Kaja Samia naye mnamtukana, now mnataka jeshi, nyie jamaa ni wapumbavu sana
Bora mkuu tuwape hata saccos hizo awamu moja tuwapime kuliko kuwa na chama kimoja ambacho kwa sasa hata halieleweki ndio kimepoteana kabisa ifike mahari wakae benchi kidogo
Jesus Christ! sijasema hivo lakini kwahiyo wewe unachotaka kusema ni kwamba serikali huwa inadecide ata rangi ya chupi yako sio?Hakuna haja ya kuwa na serikali kama kila mtu ajiamulie tu upuuzi wake unaomjia kichwani
Government has to be there, then wananchi tubehave, kwa akili tu ya kawaida Samia ni mbaya kiasi hicho mnapotray hapa?Jesus Christ! sijasema hivo lakini kwahiyo wewe unachotaka kusema ni kwamba serikali huwa inadecide ata rangi ya chupi yako sio?
Hey! try to behave man ni hivi sisemi udictate what those called gvt officials do nachosema ni kuwa wewe binafsi mapinduzi yaanzie kwako remember this A citizen is real while the gvt is not I guess you understand. Don't you?
Hahaha, sawa Mkuu, sometimes hawa wapinga Samia wanakera sana, hawana hata sababu ya msingi, wengi wao mfumo dume unawaendeshamkuu umesoma tu heading bc. Contents haujasoma ukaja kutoa maoni. Hivi kuna sehemu mwandishi kazungumzia habari za jeshi????? Anyway ngoja nikoe nikalale
Sent from my Nokia 2 using JamiiForums mobile app