kaburungu
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 3,914
- 7,411
Wanatokea ambao moyo wangu haujawaridhia.....lakin na amini Mungu atanipa wa kufanana nami
Mkuu hivi unaposema wanatokea ila moyo wako haujawaridhia, unataka kufikisha ujumbe gani hapa,, hivi binadamu huwa anaridhika? Au moyo wa binadamu huwa unaridhika? Na je unatambua kuwa hakunaga alie mkamilifu ambae moyo wako utaridhia 100%,, yupo?