Hivi kwa nini kila mtu katika hii scenario anamuonea huruma mwanamke, Je kama mchizi amegundua mwanamke ana tabia fulani ambazo yeye anaona itakuwa vigumu sana kuishi naya katika ndoa, Mwanaume hapo na yeye hatakuwa amepotezewa muda, kuchezewa kimwili, fedha? n.kHiyo ni njia nyingine ya kumuambia anaachana na yeye...maaskini...four years?