miss strong
JF-Expert Member
- Jul 4, 2012
- 7,011
- 3,708
I married when i woz 25 nw its 6yrs i knw the challenges mtu anazotakiwa kuzikabili once anapoamua kuwa commited.
Challenges haziepukiki coz zipo....yupo mwanamke ambaye muoaji anaona anaweza kuwa mke.Yeye hajapewa hiyo thamani.....huyo binti ni bora aachane nae.
Hapana chezea moyo....anaweza akatokea binti amempenda hata miez sita mingi akatangaza ndoa.
Ila hongera kwa kuoa mapema rafiki