Miaka minne naona kama ni mingi. Of course, kunaweza kuwa na sababu ambazo zinamfanya mwanaume aku-date miaka minne. Inawezekana labda anapatwa na matizo yaliyo juu ya uwezo wake kama kufiwa na watu wa karibu sana, kufukuzwa kazi, au kuuguza mgonjwa, n.k.
Lakini zile execuse za sijui ngoja kwanza nimalize kujenga nyumba I don't but them. Au anakuwambia ana "mambo mengi hivyo, anashindwa kutoa msimamo kwa sasa". Mambo gani hayo ambayo hakushirikishi even after dating for four years? Mwanaume ambaye yuko serious na wewe atakushirikisha kwenye masuala yake. Hayo "mambo mengi yanayomfanya ashindwe kutoa msimamo kwa sasa" yatakuwa pia ni mammbo yako. Lazima mtakaa pamoja na kujadiliana jinsi ya kudeal na hayo mambo bila kuharibu uhusiano wenu. If after four years, bado hana uhakika, then he will never be sure about your relationship and you.
Tofauti na watu wengi wanavyoamini, wanaume wengi wanaweza kuji-commit kwenye mahusiano. Wapo wanaojua moja kwa moja wajicommit kivipi kwenye mahusiano kwa ku-reflect on their lives, how comfortable they are in themselves, attraction waliyonayo kwako plus mazagazaga mengine. Lakini miaka minne ni mingi kwa mwanaume kuwa na uhakika hasa kama amepevuka and is not in his earlier twenties.
This has more to do with the woman than the man. Inabidi huyu mwanamke ajiulize anataka nini hasa? Asahau muda ambao ali-invest kwa huyo mwanaume. This was not a job or some sort of a financial venture between the two. This was all about a relationship. Anaweza kuitumia hiyo miaka minne kujifunza badala ya kudhani kuwa it was a waste of time. Miaka minne atakuwa amekua kiali sasa. Atakuwa amefigure out maisha yake na kujifunza for future relationship(s).