Miaka 4 ya mahusiano akaambulia patupu

Miaka 4 ya mahusiano akaambulia patupu

Everything happens for a reason. Asikate tamaa. Asonge mbele.
Sent from my RM-846_im_mea3_286 using Tapatalk
 
Binadamu sometimes sijui tupoje, kuna wengine tunatafuta stable relationships tuoe, wengine wanacheza kamari chooni. Dahhhh
Sent from my RM-846_im_mea3_286 using Tapatalk
 
Ndio maana sitaki vijana wanaotaka kula ujana, nataka waliokwisha maliza kula ujana!! 4 good years aisee hapana....
Huu ndo msimamo ulio bora kwanini upotezewe hata mwaka 1 kumbuka muda ni mali upoteapo hakuna namna ya kuurudisha. Kila kitu ufanyapo yapasa kuwa na malengo hata kusoma ni lazima uwe na malengo kuwa je baada ya kumalizaa what next. Mungu ni mwema atampa kwa wakati na asijilaumu kwa kuachwa bali aangalie signal alizoignore wakati wa relationship yao kwani hilo ni muhimu ili asije akarudia makosa.
 
Binadamu sometimes sijui tupoje, kuna wengine tunatafuta stable relationships tuoe, wengine wanacheza kamari chooni. Dahhhh
Sent from my RM-846_im_mea3_286 using Tapatalk
Ndivyo ilivyo mkuu binadamu tumetofautiana mno. Mwingine anatafuta mtu mpole na mstaarabu huku mwingine mtu wa dizaini hiyo anamuona mshamba.
 
Binadamu sometimes sijui tupoje, kuna wengine tunatafuta stable relationships tuoe, wengine wanacheza kamari chooni. Dahhhh
Sent from my RM-846_im_mea3_286 using Tapatalk



mmmmh... acha marketing kijana, mpaka sasa kama huna basi ww muhuni tuu kama mimi. acha kuwazuga na story za kuwaoa
 
Muda unakuja ambapo hata hao unaohisi moyo wako 'haujawaridhia' utawatafuta kwa tochi. Tunasubiri thread yako Love Connect :') #GodForbid

well said. Wanawake wanamachaguzi sana, yaani wanapenda mtelezo kama kakanyaga ganda la ndizi.... Wanakuja wanaume kibao wenye nia ya dhati nao, lakini wanaconcentrate na mabishoo wa mjini. huko hamko pekee yenu, mpo wengi mnaotafuta afadhali ktk maisha. Mtaishia kulaumu na as your age goes high, chances za kuolewa zinashuka, mtaishia kuwa viburudisho. Mwache asubiri her own creation huyo.....
 
Habari zenyu bana....

"Gladdy najua unanipenda and of course na mimi nakupenda pia sana tu kama nitakosea naomba unisamehe... you are the woman na zaidi ya hayo una malengo yako hata kama nitakukosa haina shida kama utakuwa ktk mikono salama. mi nina mambo mengi nashindwa kutoa msimamo kwa sasa"

Ni maneno aliyoambiwa rafiki yangu usiku wa kuamkia leo. Anasema alihisi dunia imegeuka Up-side down. Moyo ulisimama kwa ghafla make hakuamini alichoambia na mwanaume ambaye amedumu naye miaka 4 akiamni ndiye mume wake mtarajiwa.

Aisee inauma sana..
anadai hakuna mkwaruzano wala ugomvi. Bali aluitaka tu kujua mwanaume ana msimamo gani make walikuwa wanakwenda tu bila kujua hatma ya mahusiano yao.

Tumfariji na kujifunza pia kupitia relationship hii...




Jamaa kawa very honest. Mdada akaechini na jamaa kisha wajadili kwa kina, kama dada kauchoka uchumba aseme anataka ndoa, jamaa akizingua Sepa, aka sinya soli my dia, this world has alot than a relationship, pia huwezi jua jamaa anawaza nn, huenda kuna mwanamke mwingine jamaa anamtolea macho coz dizain huenda jamaa anawaza kubadili mboga. it happenz huwezi kataa, Masuala ya mahusiano japo ni vigumu but ni busara sana kutumia akili zaidi kuliko moyo, Usisubiri Mpaka umfumanie aisee....

hebu taratibu anza kufocus zaidi ktk kuyaendeleza maisha yako, Elimu yako, kipato chako n.k,

wanasema to a successful woman, a husband is simply a bonus.

You will soon receive yo bonus.

Sema Amen
 
Habari zenyu bana....

"Gladdy najua unanipenda and of course na mimi nakupenda pia sana tu kama nitakosea naomba unisamehe... you are the woman na zaidi ya hayo una malengo yako hata kama nitakukosa haina shida kama utakuwa ktk mikono salama. mi nina mambo mengi nashindwa kutoa msimamo kwa sasa"

Ni maneno aliyoambiwa rafiki yangu usiku wa kuamkia leo. Anasema alihisi dunia imegeuka Up-side down. Moyo ulisimama kwa ghafla make hakuamini alichoambia na mwanaume ambaye amedumu naye miaka 4 akiamni ndiye mume wake mtarajiwa.

Aisee inauma sana..
anadai hakuna mkwaruzano wala ugomvi. Bali alitaka tu kujua mwanaume ana msimamo gani make walikuwa wanakwenda tu bila kujua hatma ya mahusiano yao.

Tumfariji na kujifunza pia kupitia relationship hii...

duh! jamani wanawake mbona mnajitesa....wee mwanaume ndani ya miaka miwili alishajua kama hapa naoa au lah.

dah so alikuwa anagegedwa bureeeeee
 
well said. Wanawake wanamachaguzi sana, yaani wanapenda mtelezo kama kakanyaga ganda la ndizi.... Wanakuja wanaume kibao wenye nia ya dhati nao, lakini wanaconcentrate na mabishoo wa mjini. huko hamko pekee yenu, mpo wengi mnaotafuta afadhali ktk maisha. Mtaishia kulaumu na as your age goes high, chances za kuolewa zinashuka, mtaishia kuwa viburudisho. Mwache asubiri her own creation huyo.....

Asilimia kubwa ya masista duu kama hawa huwa wanaishia kuolewa na vijeba tu, hasa baada ya umri kuwatosa. Nina mifano kadhaa ya wamama waliokuwa na tabia ya kukataa wachumba wakati wa usichana wao wameolewa na watu wa kawaida sana, tena ndoa za kufosi kingi (kama style za akina VK).
 
Majanga! Yaani sasa hivi inatakiwa mtu akikutokea unamuuliza unataka nini? Mke, mshkaji ama casual relationship?

halafu na sie wanawake kujiachia sasa, wknd unaenda kufua na kuchubua kucha, kupika, sijui usafi hahaha. My bro alishawahi kudate mmachame mmoja akawa analalamika. Mdada akienda kwake, zaidi ya sex, tv na mitoko hakuna! Yule dada alikuwa ana akili sana manake nae sijui aliishia wapi japo walidate kama miaka 7 nnayoijua.
 
Asilimia kubwa ya masista duu kama hawa huwa wanaishia kuolewa na vijeba tu, hasa baada ya umri kuwatosa. Nina mifano kadhaa ya wamama waliokuwa na tabia ya kukataa wachumba wakati wa usichana wao wameolewa na watu wa kawaida sana, tena ndoa za kufosi kingi (kama style za akina VK).

Kabisa, Maisha mazuri sio zawadi useme upewe, u must hustle independently, kuendekeza machaguo sana sio vizuri, aina ya wanaumebwanaowataka ndio inawaponza, Ukitaka mwenyepesa jua hauko alone, kama uliforce kuwa nae halikadhalika.

Baadae wakiolewa utasikia wanajitetea, ati it was a coincidence, acoincidence my foot.

Yupo dada alipendwa na jamaa flani, kwa wakati huo jamaa alikuwa zaidi ya choka mbaya, duu akaendekeza starehe za kijinga na mabishoo wa mjini, wakakafunua funua sketi, mwisho wa siku kakaachwa alone, kucheki kule jamaa kapata mchongo kasogea mbele kwa Obama, saivi wanachat tuu, I miss you nyingiii, anatafuta pakufia, jamaa hana muda nae tena, kageuka mwanaume yeye ndio anamtongoza jamaa na jamaa kamkatalia. Hahaàhaaa

Maisha timing jamani haya.
 
Nampa big up jamaa for coming clean na kusema ukweli, mapenzi hayana manual its just like gambling, there are some days you will win and kuna siku utakosa. Let her take her time, accept and move on
 
Majanga! Yaani sasa hivi inatakiwa mtu akikutokea unamuuliza unataka nini? Mke, mshkaji ama casual relationship?

halafu na sie wanawake kujiachia sasa, wknd unaenda kufua na kuchubua kucha, kupika, sijui usafi hahaha. My bro alishawahi kudate mmachame mmoja akawa analalamika. Mdada akienda kwake, zaidi ya sex, tv na mitoko hakuna! Yule dada alikuwa ana akili sana manake nae sijui aliishia wapi japo walidate kama miaka 7 nnayoijua.


I like your first sentence, and thats the mistake majority of people make and later start to blame each other oh you wastes my time!! It should be on the table first day mnaamua kuwa pamoja!
 
Hujui twapalilia ndoa......
Unafua,
Unapika,
Unapiga pasi,
Unadeki,

Hadi site unaenda kumwagilia tofali.....
Hapo ukiwajua wazaa chema hukauki kwenda kuwafanyia kazi

Pumbavu...kumbe kagugeuza msaidizi wake

Ujinga huo sikufanyaga aisee....nikija weekend nafata dudu tu.....kazi ajiri kijana wakati wangu bado



Majanga! Yaani sasa hivi inatakiwa mtu akikutokea unamuuliza unataka nini? Mke, mshkaji ama casual relationship?

halafu na sie wanawake kujiachia sasa, wknd unaenda kufua na kuchubua kucha, kupika, sijui usafi hahaha. My bro alishawahi kudate mmachame mmoja akawa analalamika. Mdada akienda kwake, zaidi ya sex, tv na mitoko hakuna! Yule dada alikuwa ana akili sana manake nae sijui aliishia wapi japo walidate kama miaka 7 nnayoijua.
 
Ni kwa nini mwanaume unampotezea bintu wa watu miaka minne halafu unaona tu kirahisi bora aende zake?? Ndiyo maana ndoa nyingi hazidumu maana laana mnazoachiwa na x wenu mliowaacha bila sababu ya msingi zinawatafuna, hapa ni kwa pande zote mbili. Kuna dada rafiki wa dada yangu alikuwa na mchumba wake na huyo mwanaume alimpenda sana. Huyo dada was a very descent girl ever seen ofcorse after my wife. Yule dada alishindwa kuwa na msimamo wa jambo fulani hivi. Basi siku yule dada anamweleza kijana kuwa haitawezekana kuendelea kijana moyo ulimuuma hadi machozi na alimwambia "fulani unaniacha umeshindwa kutetea mahusiano yetu ya muda mrefu ila utanikumbuka". Yule dada aliolewa ndoa hardly illidunu mwaka. She remained fully single parent maana jamaa despite being a Bank of Tanzania senior has abondoned the kids completely mmoja akiwa mlemavu. Huwa nikimwangalia huyu dada moyo unauma sana. They are stilk friends with my sister and she always regrets for the mistake she did. Wazazi msihusike kuatamia watoto wenu katika mamuzi ya maisha hasa ndoa. Wanagharimika baadaye.
 
Hiyo ni njia nyingine ya kumuambia anaachana na yeye...maaskini...four years?
 
Majanga! Yaani sasa hivi inatakiwa mtu akikutokea unamuuliza unataka nini? Mke, mshkaji ama casual relationship?
Inashangaza sana wanawake hawa hawa kabla ya kupanda dala dala, au kusafiri lazima wajue na watauliza hilo gari linaenda wapi,sasa mbona wanapoanza mahusiano wanashindwa kumuuliza mwenzake hiyo relationship mwisho wake wapi. Ukiona mchizi anakidhi vigezo vyako hutaki hata kuongelea destination yenu, fasta unavua chupi mwenyewe baadae unakuja kulalamika playing the blame game na kujifanya we ndio victim, You are responsible for your own actions, stop being a cry baby and grow up.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom