Miaka 4 ya mahusiano akaambulia patupu

Miaka 4 ya mahusiano akaambulia patupu

Huyo shoga yako alikuwa wapi mda wote huo hakuwahi kuuliza kama mahusiano yao yalikuwa part time au la. Nahisi kamuvuruga mshikaji akaona ajiweke pembeni

Mkuu si unajua tena mahaba niue yanavyokuwa, in short hawana ugonvi labda uwe wa chini chini. Ila mpaka jana naachana nao walikuwa fresh utadhani ndio wanatongozana. Usiku wa manane napata call ya shost ananambia wamebreak up... Hata mie sikuamini aisee ila ndio hivyo jamaa kaamua kuonesha rangi yake!
 
So u will nvr stay wit a guy for 4yrs without a commitment?

Wakati mwingine hayo mambo yanaeda na bahati unapata mtu ambaye yupo ready bt for nw vijana wagumu kuoa anataka ale maisha kwanza

Ndio maana sitaki vijana wanaotaka kula ujana, nataka waliokwisha maliza kula ujana!! 4 good years aisee hapana....
 
Duh maskini gladi wa watu mpe pole sana .unajua alikosea sana kukaa na mtu for 4yrs bila kujua msimamo wake manake angeliuliza hili ndani ya 6 months lingekua na maana zaidi. Sasa yeye kaona mwaka wa kwanza umepita kakauka tu , wa pili nao kanyamaza haulizi hadi huu wa 4 ndo anauliza , aisee mmmmhh hilo ni bonge la mistake


Ndio maana tunapaswa kujifunza kupitia wengine...
 
Ni kweli mamie... Ndani ya hiyo 4yrs kawakatalia wanaume kadhaa tena waliodeserve kumuoa pasi na shaka, lakini aliwakatalia kwa ajili yake.

Anatamani siku zirudi nyuma awakubalie, lakini holla! Anatamani awatafute ili ajue kama wameshaoa lakini ni kitu ambacho hakiwezekani.

Mie nimemshauri "Kila jambo lina kusudi lake" hawezi jua ni nini kaepushiwa kwa huyo mwanaume.

Inauma ujue, yani mtu akupotezee 4 good years uwii. But kama ulivyosema, ngoja tujipe tu moyo kuwa hajui Mungu anamuepusha na nini. Hamna haja ya kujutia hao wanaume aliowakatalia before, kama washaoa basi ajue hakupangiwa aolewe nao, Mungu atampa wa kwake kwa wakati wake.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Mmmmmmmmh!

lara 1 my dear.. Usigune, ndio hivyo shouger katoa free P for 4 yrs afu kaambulia za uso!! Huwa nakukubali sana story zako zina mafunzo saaana...

Mwenzio nshadesa kwako, No more Free P!!!
 
Last edited by a moderator:
Ndio maana sitaki vijana wanaotaka kula ujana, nataka waliokwisha maliza kula ujana!! 4 good year aisee hapana....

All the best bt usije kukubali kuolewa na mtu ambaye hayupo ready kwa commitmnt utapata tabu sana.
 
Ndio maana its best ukamwacha mtu aamue kuwa anataka commitmnt rather than kuwa una push while unajua he's nt ready especially when ur nt ready to move on

Kuuliza ni wajibu.....lakini haya ni madhara ya higher xpectation.
 
Ni kweli mamie... Ndani ya hiyo 4yrs kawakatalia wanaume kadhaa tena waliodeserve kumuoa pasi na shaka, lakini aliwakatalia kwa ajili yake.

Anatamani siku zirudi nyuma awakubalie, lakini holla! Anatamani awatafute ili ajue kama wameshaoa lakini ni kitu ambacho hakiwezekani.

Mie nimemshauri "Kila jambo lina kusudi lake" hawezi jua ni nini kaepushiwa kwa huyo mwanaume.

Pole sana charminglady......... Pole sana.
 
Last edited by a moderator:
Kuuliza ni wajibu.....lakini haya ni madhara ya higher xpectation.

I married when i woz 25 nw its 6yrs i knw the challenges mtu anazotakiwa kuzikabili once anapoamua kuwa commited.
 
lara 1 my dear.. Usigune, ndio hivyo shouger katoa free P for 4 yrs afu kaambulia za uso!! Huwa nakukubali sana story zako zina mafunzo saaana...

Mwenzio nshadesa kwako, No more Free P!!!
For sale?? I wanna buy you know......
 
All the best bt usije kukubali kuolewa na mtu ambaye hayupo ready kwa commitmnt utapata tabu sana.

Yeah mkuu... Ila nami nimemsaidia kwa ushauri wakati flani...kuna kipindi alitaka ategeshe mimba, lakini nikamkataza make ndio angebug square, make jamaa inaonekana hakuwa na future naye kabisa. Ndio angekuwa single mother ama angeolewa jina tu!
 
I married when i woz 25 nw its 6yrs i knw the challenges mtu anazotakiwa kuzikabili once anapoamua kuwa commited.

Orayt.... kumbe una miaka 31. Huo umri nlikuwa nao wakati Tanganyika inapata Uhuru. Ila kiukweli umenizidi kiduchu kwenye fani ya uoaji. Mi nliweka mama ndani nikiwa na miaka 27 cash.
 
Orayt.... kumbe una miaka 31. Huo umri nlikuwa nao wakati Tanganyika inapata Uhuru. Ila kiukweli umenizidi kiduchu kwenye fani ya uoaji. Mi nliweka mama ndani nikiwa na miaka 27 cash.

Hahahahha babu mm bado kijana...naelewa ugumu wa vijana wa sasa kwann wanaogopa hii kitu.

Especialy kama ni mtu wa starehe ndio kbs usitegemee kama atakuwa commited
 
Pole yake ....kuna rafiki yangu alikuwa kwenye mahusiano boy wake kwa miaka 6 fikiria ....
Kibaya zaidi kila akipata mimba mwanaume anamwambia toa kuzaa mpk tukioana
Mwisho wa siku boy wake anamwambia sioi leo wala kesho mpka nijipange naomba nikuache huru upate mwanaume mwingine akuoe

Can u imagine? Miaka 4 bado umeganda kwa mtu ambaye hana malengo nawe?

Ifike wakati wadada tujitambue na tuwe na upeo wa kuchanganua mambo na kujua huyu nilienae ni colour gani red or white?
Kuliko kuwa na relationship ya kizombi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom