Heaven on Earth
Platinum Member
- Mar 21, 2013
- 37,233
- 26,753
Asante rafiki umenisaidia kuelewa unajua nilikua napata shida kuelewa hili kumbe kuna watu wanakua kwenye relationship kwa sababu ya company tu according to @ mafinyofinyo. Lkn hebu tujiulize unampaje mtu company for 4 yrs hapa mdada kuna mahala alikosea nafikiri.
kwa uelewa wangu wanasema we meet for a reason ur either a blessing or a lesson.
alikuwa kwenye mahusiano akiamin yata yield positive results lakin haijawa hivyo. kwa hiyo hili litakua funzo tosha kwake. kumbe hizo 4 years mwenzake alichukulia kama company tu. haya mambo ni magum muda mwingine.