miss strong
JF-Expert Member
- Jul 4, 2012
- 7,011
- 3,708
Japo hauulizi siku ya kwanza, inabidi upende kumsoma mara kwa mara between the lines kujua kama ni wa ukweli ama la. Besides, uzoefu unaonyesha wa ukweli mara nyingi huwa hawana haraka ya P. Ila wadada na siku hizi ukisema unataka mfahamiane kwanza for smetime anahisi mwanaume siye coz hajaomba mchezo. Then baadae majutoooo...
Mahusiano ni zaidi ya tuyafikiriavyo kwa urahisi.....huyu binti kuna vitu alivipuuzia hapo awali.