TikTok2021
JF-Expert Member
- Nov 14, 2022
- 689
- 1,062
halafu walamba asali wako bize kumsifia 😕
Hoja ni kujenga mpya kila mwaka au kumalizia zilizoanzishwa? Na priorities ni barabara tu kiasi udhulumu raia wako uwapore ukajenge barabara?Basi bora yule mwizi ata angeiba ajaza pesa gorofa kumi,lakini barabara tulikuwa tunaziona kudadadeki
hakika yani acha tu😭😢hakuna cha ajabu. Tanzania ilipoteza sana 17/3 kuliko watu wanavyoweza kufikiria
Pesa si umeambiwa iko China kwa bank kuu yetu ilikua China nnWaliuawa kinani?Matajiri gani walinyang'wanywa fedha ushahidi tafadhali maana hii kauli ya watu kuuawa inavumishwa sana leo tuweke ushahidi
Magufuli alijenga barabara ipi? Marehemu alimwachia mama mzigo mkubwa sana. Alianzisha miradi mingi hasa kanda ya ziwa. Miradi ya hela nyingi mingi haikufika hata 5%. Aliyejenga barabara na kuajiri nchi hii ni mzee JK tu wengine watu wa sifa za kijinga tu.Kutokana na report ya CAG, toka mwaka 2021 hadi sasa hakuna barabara mpya yoyote ambayo imejengwa ukiacha zile zilizo achwa na Rais Magufuli.
Je kwa mwendo huu tutafika? Je, kwa kasi kama hii miji mikubwa kama DAR kutakuwa na foleni ya kiasi gani ikizingatia ununuzi wa kasi wa magari?
Mambo ni mengi muda mchache, mabango ni mengi kuliko miradi yenyewe ya maendeleo.
Je, tuseme Serikali imekosa kabisa fedha hadi kushindwa kutenga fedha za barabara.
Unaelewa maana ya sarcasm mkuu?Waama kama kuna wapumbavu naomba unisamehe nikupe sifa yako, hongera!
Mimi siyo CCM na siipendi lakini sukumagang kwangu naona ndio maadui wakubwa wa taifa hili sababu ya unafiki wenu.
Jibu hela za covid hazijajenga madarasa karibia kila mkoa? Unasema unasema eti nasikia reli ya SGR iko vile vile, maana huna hakika, huna taarifa unasikia upuuzi unauleta mzima mzima. Hujasikia wenye akili husema no research no right to speak? U tube, instagram, hata ripoti ya CAG imeelezea habari ya SGR. Tafuta halafu urudi.
Muda wote ambao muuaji Magufuli alitawala aliongeza mishahara mara ngapi, lini na kwa kiasi gani? Ukinijibu hapo utajiona ulivyo mpungufu.
Eeheee mwenyezi Mungu weka mahala pena peponi wote waliuwawa Kwa ukatili kisa fedha na dhuluma.Waliuawa kinani?Matajiri gani walinyang'wanywa fedha ushahidi tafadhali maana hii kauli ya watu kuuawa inavumishwa sana leo tuweke ushahidi
Barabara ya Omurushaka - Benaco imeanza kujengwa.Kutokana na report ya CAG, toka mwaka 2021 hadi sasa hakuna barabara mpya yoyote ambayo imejengwa ukiacha zile zilizo achwa na Rais Magufuli.
Je kwa mwendo huu tutafika? Je, kwa kasi kama hii miji mikubwa kama DAR kutakuwa na foleni ya kiasi gani ikizingatia ununuzi wa kasi wa magari?
Mambo ni mengi muda mchache, mabango ni mengi kuliko miradi yenyewe ya maendeleo.
Je, tuseme Serikali imekosa kabisa fedha hadi kushindwa kutenga fedha za barabara.
Tena Kwa MazuriMtanikumbuka!
Ona Hizi Akili !!Yule mwingine alikuwa akizindua barabara ambazo tayari zilikuwa zimeshazinduliwa ili aonekane kajenga barabara nyingi.
CAG kasema wapi,weka hiyo paragraph tuione.Ona Hizi Akili !!
Anaye zungumza na CAG
Wewe unaleta Story za Alnacha
Kwanini CAG Hajasema Hayo?
Waiteni tarura wayazibeHonestly hata hapa Dar huku kitunda hamna hata barabara moja ni mashimo kila kona!
Mkuu kuna majitu mapuuzi hapa nchini! Kabingo-Manyovu kupitia Kibondo, Kasulu na Buhigwe iko inajengwa kiwango cha lami sasa sijui wanataka barabara gani! Daraja la Busisi karibia linakamilika, bwawa la Nyerere karibia linakamilika na SGR inaendelea kujengwa! Mama apewe heshima yake aisee!Chunya makongorosi imekamilika, katavi kwenda tabora imekamilika, ileje mpemba, mwendo kasi wa mbagala unakamilika, ring road dodoma inajengwa au ulitaka barabara zikamilike za kwenda chooni kwenu