Miaka 2 ya Rais Samia, hakuna barabara mpya iliyojengwa

Miaka 2 ya Rais Samia, hakuna barabara mpya iliyojengwa

Hivi ile kauli ya wapinzani mmeisahau kuwa awamu ya tano inajali Sana maendeleo ya vitu na siyo watu,awamu ya sita wanajali Sana maendeleo ya watu na siyo watu ndiyo maana wapinzani na wanaharakati wametulia,kwakuwa wanajengwa watu,kwa hiyo wewe was bara bara utulie tu,kwa maana siyo zamu ya vitu Tena,Sasa hivi ni watu,umenona utafunaji huo ulioibuliwa na CAG Raisi,karibu mkuu kiongozi,makamu wa Raisi,,waziri mkuu hawashtuki bila Shaka nchi iko kwenye mrengo sahihi wa awamu ya sita
 
Maendeleo nini? Ni barabara tu? Mnona hujazungumza madarasa ya UVICO? Yenyewe siyo maendeleo?

Acha kuongea kama nawe ulibinywa kichogo ukawa flat wakaaribu medula oblongata! Mumakunduchi mmoja wewe usie na chogo
 
Kutokana na report ya CAG, toka mwaka 2021 hadi sasa hakuna barabara mpya yoyote ambayo imejengwa ukiacha zile zilizo achwa na Rais Magufuli.

Je kwa mwendo huu tutafika? Je, kwa kasi kama hii miji mikubwa kama DAR kutakuwa na foleni ya kiasi gani ikizingatia ununuzi wa kasi wa magari?

Mambo ni mengi muda mchache, mabango ni mengi kuliko miradi yenyewe ya maendeleo.

Je, tuseme Serikali imekosa kabisa fedha hadi kushindwa kutenga fedha za barabara.

Akili huna, za Magufuli alizimaliza zote? Kwa nini ianze mpya wakati nyingine hazijafika50%, au ni kuanza tu kama kupanda mchicha na matikiti ya graduate wa UD?
 
Bora kutokujenga kuliko kuua watu na kuwanyang'anya matajiri fedha zao na kwenda kujengea hizo barabara unazozitaka.
Hizo ajali zinazotokea siyo kuuwa watu? Vipi wamama wanaoshindwa kufikia hospital kujifungua sababu ya barabara mbovu?
 
Acha tu yaani huyu rais ni mbovu sijawahi kuona kwanza huwezi amini Hata madarasa hajengi ,ile reli ya SGR nasikia bado hata haijakamilika bado ipo vilevile,

CAG juzi kasema japokuwa mtangulizi wa mradi wa SGR kaleta hasara kwenye taifa 1.2 Trillions lakini Huyu Amiri jeshi bado ameshindwa kuongeza barabara hata moja kupitia pesa hizo zilipotea

Kwanza huyu rais haongezi hata mishahara na kupandisha watu vyeo kazi yake yeye ni kuzunguka tu anapenda kusifiwa tu
2025 atupishe atuachie nchi yetu
 
Barabara zote za mbweni zimejengwa na zimekamilika.
Wasukuma hamjui uchumi.
Ingelikuwa wewe ungeendeleza vipi mirandi mikubwa aloacha yule kichaa aloanzisha bila utaratibu.?
Alitumia kuiba na kunyanganya watu hela ku finance hayo mabarabara
Wew Una nini kichwani? eti wasukuma hawajui uchumi, unawalisha wew??
 
Kutokana na report ya CAG, toka mwaka 2021 hadi sasa hakuna barabara mpya yoyote ambayo imejengwa ukiacha zile zilizo achwa na Rais Magufuli.

Je kwa mwendo huu tutafika? Je, kwa kasi kama hii miji mikubwa kama DAR kutakuwa na foleni ya kiasi gani ikizingatia ununuzi wa kasi wa magari?

Mambo ni mengi muda mchache, mabango ni mengi kuliko miradi yenyewe ya maendeleo.

Je, tuseme Serikali imekosa kabisa fedha hadi kushindwa kutenga fedha za barabara.
KAZI IENDELEE .........

samia.png
 
Honestly hata hapa Dar huku kitunda hamna hata barabara moja ni mashimo kila kona!
Kuna barabara ya vumbi mashimo milioni kutoka Magufuli Terminal kwenda Msumi ni kilomita chache tu na ni Mjini Dar vumbi linatimka mahandaki milioni Yani najiuliza hivi Msumi hatuna mbunge? Hatuna diwani? Hata Rais hatuna?

Tumewakosea Nini CCM tangu uhuru vumbi linatimka tu barabara ya lami hatuna na hapa ndo tumezika wazee wetu hatuhami mvua ikinyesha kubwa tunabaki kisiwani Mjini hatufiki!

Walitazame na hili please 🙏
 
Trilioni 1.7 zimepigwa kwenye Reli huko tupo tupo tu kama sisi hii nchi yetu.

Watanzania wenzangu Hawa viongozi wetu wanatukosea sana.
 
Kutokana na report ya CAG, toka mwaka 2021 hadi sasa hakuna barabara mpya yoyote ambayo imejengwa ukiacha zile zilizo achwa na Rais Magufuli.

Je kwa mwendo huu tutafika? Je, kwa kasi kama hii miji mikubwa kama DAR kutakuwa na foleni ya kiasi gani ikizingatia ununuzi wa kasi wa magari?

Mambo ni mengi muda mchache, mabango ni mengi kuliko miradi yenyewe ya maendeleo.

Je, tuseme Serikali imekosa kabisa fedha hadi kushindwa kutenga fedha za barabara.
Wewe mtoa mada una chuki na utawala wa mfungua nchi;inamaana ujaona madaraja ya mchongo ya Bilioni 7 ambayo Mama kajenga![emoji2957]
 
Bora kutokujenga kuliko kuua watu na kuwanyang'anya matajiri fedha zao na kwenda kujengea hizo barabara unazozitaka.
Kwamba hawa wanaoiba sasa hivi serikalini ikitokea baadae akaja Rais mwingine mwenye machungu na nchi akawaamuru wazirudishe mtasema ananyang'anya matajiri pesa?

Ww ulikuwa mtumishi mshahara wako ulikuwa Tsh 900,000/- (take it home) lkn unamiliki utajiri wa Tsh Bil 8 na zaid tusikuhoji umezipataje?
 
Back
Top Bottom