Miaka 2 ya Rais Samia, hakuna barabara mpya iliyojengwa

Miaka 2 ya Rais Samia, hakuna barabara mpya iliyojengwa

Kutokana na report ya CAG, toka mwaka 2021 hadi sasa hakuna barabara mpya yoyote ambayo imejengwa ukiacha zile zilizo achwa na Rais Magufuli.

Je kwa mwendo huu tutafika? Je, kwa kasi kama hii miji mikubwa kama DAR kutakuwa na foleni ya kiasi gani ikizingatia ununuzi wa kasi wa magari?

Mambo ni mengi muda mchache, mabango ni mengi kuliko miradi yenyewe ya maendeleo.

Je, tuseme Serikali imekosa kabisa fedha hadi kushindwa kutenga fedha za barabara.
Kwahy hakuna barabara inayojengwa kwa sasa Nchi nzima?Au unazungumzia barabara mpya kabisa?

Sasa kwa nini uanze mpya wakati hata za kuunganisha mikoa baado?Si bora amalize hizo kwanza.

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Kutokana na report ya CAG, toka mwaka 2021 hadi sasa hakuna barabara mpya yoyote ambayo imejengwa ukiacha zile zilizo achwa na Rais Magufuli.

Je kwa mwendo huu tutafika? Je, kwa kasi kama hii miji mikubwa kama DAR kutakuwa na foleni ya kiasi gani ikizingatia ununuzi wa kasi wa magari?

Mambo ni mengi muda mchache, mabango ni mengi kuliko miradi yenyewe ya maendeleo.

Je, tuseme Serikali imekosa kabisa fedha hadi kushindwa kutenga fedha za barabara.
Barabara? Mmh acha watu wale maisha. Hayo mambo sahahu kabisa
 
Barabara zote za mbweni zimejengwa na zimekamilika.
Wasukuma hamjui uchumi.
Ingelikuwa wewe ungeendeleza vipi mirandi mikubwa aloacha yule kichaa aloanzisha bila utaratibu.?
Alitumia kuiba na kunyanganya watu hela ku finance hayo mabarabara
Basi bora yule mwizi ata angeiba ajaza pesa gorofa kumi,lakini barabara tulikuwa tunaziona kudadadeki
 
Mbona huku AR naona barabara mpya daily?

Kwenu mmemfanyaje mama, mpaka amezira kuwajemgea
 
Kwamba hawa wanaoiba sasa hivi serikalini ikitokea baadae akaja Rais mwingine mwenye machungu na nchi akawaamuru wazirudishe mtasema ananyang'anya matajiri pesa?

Ww ulikuwa mtumishi mshahara wako ulikuwa Tsh 900,000/- (take it home) lkn unamiliki utajiri wa Tsh Bil 8 na zaid tusikuhoji umezipataje?
lala, hatutaki anaye ua watu tena.
 
Sasa ulitaka aache miradi aliyokuta tayari imeanza? Au unataka amwige mtangulizi wake kusitisha miradi ya kimkakati kwasababu ya roho mbaya?
 
Honestly hata hapa Dar huku kitunda hamna hata barabara moja ni mashimo kila kona!
Kuelekea kwake sio barabara tu, bali mpaka taa za kuongoza magari zimewekwa hivi karibuni, Mbweni huko.
 
Kwa upande wa reli hali ipoje?
Kila siku utachana barabara mpya za kuelekea wapi? Aboreshe zilizopo na kuangalia maeneo mengine ambayo bado tuko nyuma
Pole sana, kuna wila na wilaya bado mpaka leo hazina hata barabara 1 ya rami.
 
Mtanikumbuka!

Screenshot_20220726-155151_1.jpg


Hakuna mtu mwizi na fisadi nchi hii kama Magu!
 
Kutokana na report ya CAG, toka mwaka 2021 hadi sasa hakuna barabara mpya yoyote ambayo imejengwa ukiacha zile zilizo achwa na Rais Magufuli.

Je kwa mwendo huu tutafika? Je, kwa kasi kama hii miji mikubwa kama DAR kutakuwa na foleni ya kiasi gani ikizingatia ununuzi wa kasi wa magari?

Mambo ni mengi muda mchache, mabango ni mengi kuliko miradi yenyewe ya maendeleo.

Je, tuseme Serikali imekosa kabisa fedha hadi kushindwa kutenga fedha za barabara.
Hii kumbe,za zamani Je?
 
Trilioni mbili na ushee za barabara zimepigwa na Tanroads.

Sasa hivi ni wakati wa kujenga matumbo.

Yarabi stara.
Tatizo la awamu ya sita ni kujifanya haitaki kufitilia issues eti ni kuumiza wananchi..
 
Kutokana na report ya CAG, toka mwaka 2021 hadi sasa hakuna barabara mpya yoyote ambayo imejengwa ukiacha zile zilizo achwa na Rais Magufuli.

Je kwa mwendo huu tutafika? Je, kwa kasi kama hii miji mikubwa kama DAR kutakuwa na foleni ya kiasi gani ikizingatia ununuzi wa kasi wa magari?

Mambo ni mengi muda mchache, mabango ni mengi kuliko miradi yenyewe ya maendeleo.

Je, tuseme Serikali imekosa kabisa fedha hadi kushindwa kutenga fedha za barabara.
20230411_071718.jpg
 
Kwamb. Kusomesha watoto

a watu wapigwe risasi ili barabara zijengwe
Hujielewi, ya kupigwa risasi yametoka wapi?
Tunachozungumzia ni serikali kukosa kufanya miradi ya maendeleo.

Mfano;
Barabara zinapojengwa japo tenda za ujenzi yanapewa makampuni ya nje lakini raia watapata ajira na ifuatayo ni chain ya faida.
1. Mfanyakazi ataweza kulipa kodi
2. Watalipa ada
3. Watanunua vyakula
4. Watahonga
5. Watanunua magari nk.
Katika hayo niliyoyataja yatasababisha mzunguko mkubwa wa pesa mtaani.

Pamoja na mzunguko wa pesa kukua pia tumepata huduma ya barabara ambayo tutapitisha biashara zetu kirahis nk.

Rais kutokuanzisha miradi ya maendeleo anaharibu maisha ya wananchi kwa kuzuia mzunguko wa pesa
 
Hujielewi, ya kupigwa risasi yametoka wapi?
Tunachozungumzia ni serikali kukosa kufanya miradi ya maendeleo.

Mfano;
Barabara zinapojengwa japo tenda za ujenzi yanapewa makampuni ya nje lakini raia watapata ajira na ifuatayo ni chain ya faida.
1. Mfanyakazi ataweza kulipa kodi
2. Watalipa ada
3. Watanunua vyakula
4. Watahonga
5. Watanunua magari nk.
Katika hayo niliyoyataja yatasababisha mzunguko mkubwa wa pesa mtaani.

Pamoja na mzunguko wa pesa kukua pia tumepata huduma ya barabara ambayo tutapitisha biashara zetu kirahis nk.

Rais kutokuanzisha miradi ya maendeleo anaharibu maisha ya wananchi kwa kuzuia mzunguko wa pesa
Zilipokuwa zinajengwa wewe ulipata nn?
 
Back
Top Bottom