Miaka 2 ya Rais Samia, hakuna barabara mpya iliyojengwa

Miaka 2 ya Rais Samia, hakuna barabara mpya iliyojengwa

Hicho chakula kiko wapi sasa?
Unataka raisi akalime badala yako? Umesahau watu walitishwa na jitu lile jehu liloamini hakuna maendeleo bila kutishwa? Unaamka asubuhi unatishwa? Ndo maendeleo hayo hii mbona ni DS Ya first year ya kina kopoka rahisi sana maendeleo yanaanzia kwa watu siyo vitu
 
View attachment 2584792

Tetea jizi jambazi muuaji dikteta Magufuli
Bora huyo Magufuli aliwapa hata mda kidogo wa kujitetea,China,Urusi hata nchi nyingine za Ulaya ukigundulika umefanya ufisadi unanyanganywa hata chakwakwo na kifo juu au kifungu, Ndio maana huko wanaeshimu mali za umma,huku eti unajadiliana na majambazi,mbona wezi wa kuku hawawaiti kujadiliana kwa uwazi? endelea kutete majambazi ila ipo siku.
 
Bora huyo Magufuli aliwapa hata mda kidogo wa kujitetea,China,Urusi hata nchi nyingine za Ulaya ukigundulika umefanya ufisadi unanyanganywa hata chakwakwo na kifo juu au kifungu, Ndio maana huko wanaeshimu mali za umma,huku eti unajadiliana na majambazi,mbona wezi wa kuku hawawaiti kujadiliana kwa uwazi? endelea kutete majambazi ila ipo siku.
Wewe mpuuzi aliwapora matajiri aliosema anataka waishi kama mashetani.
Magufuli ni mwizi period. Na huwezi kutetea upumbavu lazima uwe mpumbavu kuuzidi.
Nimekuonyesha sehemu ya ripoti ya CAG inayoonyeshe wizi uliofanywa na timu yake, kama walichukua wakaweka kwenye akaunti zao akiwepo ina maana akubariki.
Endelea kutetea jizi muuaji, na siku ya jambazi imefika anaoza bado nyie mliokuwa mnashangilia wenzenu kanipotezea na wasiojulikana
 
Kutokana na report ya CAG, toka mwaka 2021 hadi sasa hakuna barabara mpya yoyote ambayo imejengwa ukiacha zile zilizo achwa na Rais Magufuli.

Je kwa mwendo huu tutafika? Je, kwa kasi kama hii miji mikubwa kama DAR kutakuwa na foleni ya kiasi gani ikizingatia ununuzi wa kasi wa magari?

Mambo ni mengi muda mchache, mabango ni mengi kuliko miradi yenyewe ya maendeleo.

Je, tuseme Serikali imekosa kabisa fedha hadi kushindwa kutenga fedha za barabara.
Sahivi wanakula tu hakuna namna
 
Maendeleo nini? Ni barabara tu? Mnona hujazungumza madarasa ya UVICO? Yenyewe siyo maendeleo?
Madarasa yapi bhana wakati hela zimetolewa sehemu mbili na hakuna cha maana kilichofanyika. Hela za uviko zimepigwa na hela za world bank mara ya pili zimepigwa au unakula madarasa😂😂😂
 
barabara mbona zinajengwa tu au ulitaka za kuelekea mbinguni
Elew point hakuna barabara mpya zote unazoona ni za mwenda zake. Kiufupi kama ilitajwa bajeti ya barabara basi hela zimefyekwa maana hakuna mkataba mpya wa ujenzi wa barabara mpya hata mmoja ndani ya miaka 2 inamaana hakuna maeneo yanayohitaji barabara
 
Madarasa yapi bhana wakati hela zimetolewa sehemu mbili na hakuna cha maana kilichofanyika. Hela za uviko zimepigwa na hela za world bank mara ya pili zimepigwa au unakula madarasa😂😂😂
Ulishawahi kufanya kazi serikalini? Unajua pesa ya serikali inavyotoka mpaka uishike mkonononi? Acha kuishi kwa hisia mkuu? Yaani serikali ikope pesa ipigwe kama pesa ya genge?
 
Kojoa ulale siyo lazima kutangaza ulemavu wako wa akili hadharani
Mpumbavu uliyelemaa akili unataka utuingizie upumbavu wako, nenda kamtandikie mumeo alale.
Russia, China mifumo ya uongozi imetengenezwa na marais wanaotawala sasa? Mpumbavu usiyejielewa
 
Mpumbavu uliyelemaa akili unataka utuingizie upumbavu wako, nenda kamtandikie mumeo alale.
Russia, China mifumo ya uongozi imetengenezwa na marais wanaotawala sasa? Mpumbavu usiyejielewa
Mbna unatumia WINGI hoja unajenga na watu wangapi?Kaa kmya acha kudhihirisha utegemezi wako wa fikra
 
Chunya makongorosi imekamilika, katavi kwenda tabora imekamilika, ileje mpemba, mwendo kasi wa mbagala unakamilika, ring road dodoma inajengwa au ulitaka barabara zikamilike za kwenda chooni kwenu
Kweli ccm Ni waongo Ileje-Mpembe imejengwa na awamu ya sita ???
 
Kutokana na report ya CAG, toka mwaka 2021 hadi sasa hakuna barabara mpya yoyote ambayo imejengwa ukiacha zile zilizo achwa na Rais Magufuli.

Je kwa mwendo huu tutafika? Je, kwa kasi kama hii miji mikubwa kama DAR kutakuwa na foleni ya kiasi gani ikizingatia ununuzi wa kasi wa magari?

Mambo ni mengi muda mchache, mabango ni mengi kuliko miradi yenyewe ya maendeleo.

Je, tuseme Serikali imekosa kabisa fedha hadi kushindwa kutenga fedha za barabara.
Chawa watakwambia ameshajenga Barabara Mioyoni Mwao.
 
Soma hapa 👇
Screenshot_20230407-021025.jpg
 
Back
Top Bottom