Tatizo kubwa sukumagang ni wanafikiChunya makongorosi imekamilika, katavi kwenda tabora imekamilika, ileje mpemba, mwendo kasi wa mbagala unakamilika, ring road dodoma inajengwa au ulitaka barabara zikamilike za kwenda chooni kwenu
Tatizo kubwa sukumagang ni wanafikiChunya makongorosi imekamilika, katavi kwenda tabora imekamilika, ileje mpemba, mwendo kasi wa mbagala unakamilika, ring road dodoma inajengwa au ulitaka barabara zikamilike za kwenda chooni kwenu
Kwa kuua, kupiga watu risasi na kuteka?Mtanikumbuka!
Waliuawa kinani?Matajiri gani walinyang'wanywa fedha ushahidi tafadhali maana hii kauli ya watu kuuawa inavumishwa sana leo tuweke ushahidiBora kutokujenga kuliko kuua watu na kuwanyang'anya matajiri fedha zao na kwenda kujengea hizo barabara unazozitaka.
Kijibwa cha bosi, ile ya moroko na kwenda Mbagala anajenga nani?Ndiyo barabara isionekane kwa miaka 2?
Ulikuwa mdogo kipindi Bashiru Ally anarudisha mali za chamaAcha uongo magufuli hakuna fisadi alie mnyanganya pesa tofaoti na wafanya biashara mafisadi wanafahamika wengi wao ni vigogo wa ccm taja 1 kigogo alie mpokonya mali alizo iba?lakinj hata yeye Magufuli alikuwa mwizi ndio maana alifuta kazi mkaguzi na msimamizi mkuu wa hesabu za serikali
Ajali nani kasababisha? Je barabara alizoacha Mungu wenu Magufuli alizimaliza zote?Hizo ajali zinazotokea siyo kuuwa watu? Vipi wamama wanaoshindwa kufikia hospital kujifungua sababu ya barabara mbovu?
Bosi maendeleo ni miundombinuKama unajiamini na unachoongea, una hoja ya kutetea unachoamini ya nini kuporomosha matusi badala ya hoja?
Jibu maendeleo ni barabara tu? Halafu ile barabara ya moroko na kwenda Mbagala anajenga nani? Au Mungu wenu Magufuli katoka makaburini Chato kaja kuijenga?
Waama kama kuna wapumbavu naomba unisamehe nikupe sifa yako, hongera!Acha tu yaani huyu rais ni mbovu sijawahi kuona kwanza huwezi amini Hata madarasa hajengi ,ile reli ya SGR nasikia bado hata haijakamilika bado ipo vilevile,
CAG juzi kasema japokuwa mtangulizi wa mradi wa SGR kaleta hasara kwenye taifa 1.2 Trillions lakini Huyu Amiri jeshi bado ameshindwa kuongeza barabara hata moja kupitia pesa hizo zilipotea
Kwanza huyu rais haongezi hata mishahara na kupandisha watu vyeo kazi yake yeye ni kuzunguka tu anapenda kusifiwa tu
2025 atupishe atuachie nchi yetu
Chunya makongorosi imekamilika, katavi kwenda tabora imekamilika, ileje mpemba, mwendo kasi wa mbagala unakamilika, ring road dodoma inajengwa au ulitaka barabara zikamilike za kwenda chooni kwenu
Taja hata hospitali moja ambayo imejengwa kipindi cha 6..
Kweli we bwege, rais pale yupo ila tatizo ni mfumoNikisema HAKUNA rais pale mnaniona bwege
Tatizo siyo rais, tatizo ni mfumo. Na mashabiki wa CCM na uvccm kuukosoa na kuzungumzia mapungufu ya mfumo unaoratibiwa na CCM ni dhambi kubwa.Trilioni 1.7 zimepigwa kwenye Reli huko tupo tupo tu kama sisi hii nchi yetu.
Watanzania wenzangu Hawa viongozi wetu wanatukosea sana.
Hawawezi kukubali kuboresha reli maana vitambi wakubwa ndo wamiliki wa maloriKwa upande wa reli hali ipoje?
Kila siku utachana barabara mpya za kuelekea wapi? Aboreshe zilizopo na kuangalia maeneo mengine ambayo bado tuko nyuma
Tupe evidence kuonyesha hata CAG ni muongo kakosea kutuambia kuwa plea bargaining aliyoianzisha Magufuli ni wizi mtupu?Kwamba hawa wanaoiba sasa hivi serikalini ikitokea baadae akaja Rais mwingine mwenye machungu na nchi akawaamuru wazirudishe mtasema ananyang'anya matajiri pesa?
Ww ulikuwa mtumishi mshahara wako ulikuwa Tsh 900,000/- (take it home) lkn unamiliki utajiri wa Tsh Bil 8 na zaid tusikuhoji umezipataje?