Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,304
Zinapojengwa;Zilipokuwa zinajengwa wewe ulipata nn?
1. Nazitumia kupita
2. Uchumi unachangamka
3. Nchi inaendelea
Zinapojengwa;Zilipokuwa zinajengwa wewe ulipata nn?
Unaandika easy upo daresa la ngapiZinapojengwa;
1. Nazitumia kupita
2. Uchumi unachangamka
3. Nchi inaendelea
Ongeza madarasa ya Tozo poaMaendeleo nini? Ni barabara tu? Mnona hujazungumza madarasa ya UVICO? Yenyewe siyo maendeleo?
Hivi pesa zatozo zilikuwa zakujenga nini?Kwa nini pesa za uviko zipelekwe kujenga madarasa badala ya kuboresha hosipitali?Mafungu yaliyotengwa kwa madarasa mlipeleka wapi hizo pesa hadi mnatumia za UVIKO?
Daresa ni kitu gani ewe msomi?Unaandika easy upo daresa la ngapi
Mbona dar zima zinajengwa?Kutokana na report ya CAG, toka mwaka 2021 hadi sasa hakuna barabara mpya yoyote ambayo imejengwa ukiacha zile zilizo achwa na Rais Magufuli.
Je kwa mwendo huu tutafika? Je, kwa kasi kama hii miji mikubwa kama DAR kutakuwa na foleni ya kiasi gani ikizingatia ununuzi wa kasi wa magari?
Mambo ni mengi muda mchache, mabango ni mengi kuliko miradi yenyewe ya maendeleo.
Je, tuseme Serikali imekosa kabisa fedha hadi kushindwa kutenga fedha za barabara.
[emoji23][emoji23][emoji23]Chunya makongorosi imekamilika, katavi kwenda tabora imekamilika, ileje mpemba, mwendo kasi wa mbagala unakamilika, ring road dodoma inajengwa au ulitaka barabara zikamilike za kwenda chooni kwenu
Kwani wewe unaishi geita?Wew Una nini kichwani? eti wasukuma hawajui uchumi, unawalisha wew??
Mtafuteni Lucas mwashambwa na CM 1774858 waje kutueleza kwa kina ni miradi ya miundombinu waliyosema imejengwa.Kutokana na report ya CAG, toka mwaka 2021 hadi sasa hakuna barabara mpya yoyote ambayo imejengwa ukiacha zile zilizo achwa na Rais Magufuli.
Je kwa mwendo huu tutafika? Je, kwa kasi kama hii miji mikubwa kama DAR kutakuwa na foleni ya kiasi gani ikizingatia ununuzi wa kasi wa magari?
Mambo ni mengi muda mchache, mabango ni mengi kuliko miradi yenyewe ya maendeleo.
Je, tuseme Serikali imekosa kabisa fedha hadi kushindwa kutenga fedha za barabara.
Hatuwezi kumkumbuka mwizi na muuajiMtanikumbuka!
Acha uongo magufuli hakuna fisadi alie mnyanganya pesa tofaoti na wafanya biashara mafisadi wanafahamika wengi wao ni vigogo wa ccm taja 1 kigogo alie mpokonya mali alizo iba?lakinj hata yeye Magufuli alikuwa mwizi ndio maana alifuta kazi mkaguzi na msimamizi mkuu wa hesabu za serikaliKwamba hawa wanaoiba sasa hivi serikalini ikitokea baadae akaja Rais mwingine mwenye machungu na nchi akawaamuru wazirudishe mtasema ananyang'anya matajiri pesa?
Ww ulikuwa mtumishi mshahara wako ulikuwa Tsh 900,000/- (take it home) lkn unamiliki utajiri wa Tsh Bil 8 na zaid tusikuhoji umezipataje?
Utataka barabara hadi chochoroni kwa hawara yako, yeye ndio kachimba masomo mtaani kwakoHonestly hata hapa Dar huku kitunda hamna hata barabara moja ni mashimo kila kona!
Huku barabara Arusha naona zinajengwa taa zinawekwa Sasa sijui kwenu nyie manaa nasema nilichoonaKutokana na report ya CAG, toka mwaka 2021 hadi sasa hakuna barabara mpya yoyote ambayo imejengwa ukiacha zile zilizo achwa na Rais Magufuli.
Je kwa mwendo huu tutafika? Je, kwa kasi kama hii miji mikubwa kama DAR kutakuwa na foleni ya kiasi gani ikizingatia ununuzi wa kasi wa magari?
Mambo ni mengi muda mchache, mabango ni mengi kuliko miradi yenyewe ya maendeleo.
Je, tuseme Serikali imekosa kabisa fedha hadi kushindwa kutenga fedha za barabara.
Hiyo mtu wa Chato yuko na chuki na samia leo bwawa la nyeyerere liko mwisho leli inazidi kujengwa kwenda tabora mpaka kigoma pia tabora mwanza kafungua mipaka tuliishi kama kisiwaniKwahy hakuna barabara inayojengwa kwa sasa Nchi nzima?Au unazungumzia barabara mpya kabisa?
Sasa kwa nini uanze mpya wakati hata za kuunganisha mikoa baado?Si bora amalize hizo kwanza.
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Kwa nini pesa za uviko zipelekwe kujenga madarasa badala ya kuboresha hosipitali?Mafungu yaliyotengwa kwa madarasa mlipeleka wapi hizo pesa hadi mnatumia za UVIKO?
Sukumagang sijui wanatumia viungo gani kufikiriaBarabara zote za mbweni zimejengwa na zimekamilika.
Wasukuma hamjui uchumi.
Ingelikuwa wewe ungeendeleza vipi mirandi mikubwa aloacha yule kichaa aloanzisha bila utaratibu.?
Alitumia kuiba na kunyanganya watu hela ku finance hayo mabarabara
Hata uwenja wa ndege wa chato tuliona wakati ukijengwa,pia magu aliacha kila kila kitu katanya na kamaliza mfano bwawa la nyerere daraja la kwanza leli mpaka mwanza kigoma barabara za mwendo kasi Magomeni mbagala mashule huyu mama hakuna kazi yoyote ambayo kaisha ifanyaBasi bora yule mwizi ata angeiba ajaza pesa gorofa kumi,lakini barabara tulikuwa tunaziona kudadadeki
Watu wa Chato wengi wao akili haziwatoshiSasa ulitaka aache miradi aliyokuta tayari imeanza? Au unataka amwige mtangulizi wake kusitisha miradi ya kimkakati kwasababu ya roho mbaya?
Huu ndio mwaka wa kwanza kwa CAG kutoa ripoti zake? Toka 2015 ripoti ya mwaka gani ya CAG ambayo ilifanyiwa kazi?Hivi ile kauli ya wapinzani mmeisahau kuwa awamu ya tano inajali Sana maendeleo ya vitu na siyo watu,awamu ya sita wanajali Sana maendeleo ya watu na siyo watu ndiyo maana wapinzani na wanaharakati wametulia,kwakuwa wanajengwa watu,kwa hiyo wewe was bara bara utulie tu,kwa maana siyo zamu ya vitu Tena,Sasa hivi ni watu,umenona utafunaji huo ulioibuliwa na CAG Raisi,karibu mkuu kiongozi,makamu wa Raisi,,waziri mkuu hawashtuki bila Shaka nchi iko kwenye mrengo sahihi wa awamu ya sita
Kama unajiamini na unachoongea, una hoja ya kutetea unachoamini ya nini kuporomosha matusi badala ya hoja?Acha kuongea kama nawe ulibinywa kichogo ukawa flat wakaaribu medula oblongata! Mumakunduchi mmoja wewe usie na chogo