Miaka 2 ya Rais Samia, hakuna barabara mpya iliyojengwa

Miaka 2 ya Rais Samia, hakuna barabara mpya iliyojengwa

Huna akili Kwa kusema Magufuli ni muuaji Kwa Sababu hata mauaji yalitokea hata enzi za kikwete na mkapa lakini hawakuitwa hivyo.
Watu waache lugha chafu.. mtu anatembea na mke wa mtu lakini anadhinda mirandaoni kusema mafu mwuaji
 
Barabara zote za mbweni zimejengwa na zimekamilika.
Wasukuma hamjui uchumi.
Ingelikuwa wewe ungeendeleza vipi mirandi mikubwa aloacha yule kichaa aloanzisha bila utaratibu.?
Alitumia kuiba na kunyanganya watu hela ku finance hayo mabarabara
Hongera sana Mkuu kuishi Mbweni.
 
Huna akili Kwa kusema Magufuli ni muuaji Kwa Sababu hata mauaji yalitokea hata enzi za kikwete na mkapa lakini hawakuitwa hivyo.
Wewe mpumbavu kukataa ukweli kuwa Magufuli ni muuaji, enzi za Kikwete kulikuwa na wasiojulikana?
 
Mkuu kuna majitu mapuuzi hapa nchini! Kabingo-Manyovu kupitia Kibondo, Kasulu na Buhigwe iko inajengwa kiwango cha lami sasa sijui wanataka barabara gani! Daraja la Busisi karibia linakamilika, bwawa la Nyerere karibia linakamilika na SGR inaendelea kujengwa! Mama apewe heshima yake aisee!
Imeanza mwaka gani kujengwa?
 
Back
Top Bottom