Shukran katheeran kwa niaba ya JF nzima.Pongezi nyingi
Jf ndo kila kitu. Nimejifunza mengi ndani ya jf, nimepata majawabu ya maswali yangu kila nilipouliza, naitumia sana jf na inanisaidia sana ninapokuwa sina cha kufanya. Naipenda jf mpaka kufa. Sema inachoniudhi jf ni kunichukulia hata dakika
zangu za kulala.
Tunajipanga maana sheria zimepitishwa kwaajili yetu...Changamoto kubwa ya jamiiforum ni wachangiaji wake wengi waliokuwepo mwanzo wamekuwa domant au kutosikika kabisa.
Enzi zile kulikuwa na uchangiaji ukiambatanishwa na references na kufanya jukwaa kuwa la kiwango cha juu kabisa.
Kuna mwaka jamii forum ilikuwa ranked kwenye 10 bora ya forums Afrika kutembelewa.
Huu ndiyo mwaka nilioanza kuifuatilia JF mkuu,nikawa najiuliza kuna nn huku kwenye huu mtandao kupelekea hawa jamaa kukamatwa,toka kipindi hicho nikawa naingia km guest maana kujiunga ilikuwa ngumu sn tofauti na ss,hv kwa nn kipindi ile ilikuwa ngumu kujiunga jf tofauti na ss mkuu?.Miaka zaidi ya minane iliyopita Bw. Maxence Melo na mwenzake Mike Mushi walikamatwa na polisi. Ilikuwa ni tarehe 18 mwezi Februari, mwaka 2008.
Ilisemekana walikamatwa kwa sababu ya tuhuma za kuhisiwa kujihusisha na mambo ya kijinai.
Binafsi nilidhani labda madhila na masaibu kama hayo kwa sasa yalikuwa nyuma yetu. Nilikosea kudhani hivyo. Tena nilikosea sana.
Sikudhani kabisa miaka 10 baada ya JF kuwa hewani kwamba mmoja wa wamiliki na mwasisi wa JF angekamatwa tena na kuwekwa ndani kwa muda wa karibu juma zima kwa tuhuma ambazo hazina mbele wala nyuma.
Kusema ukweli Max umepitia mengi sana kaka. Kusema ukweli una moyo wa kipekee sana.
Ile mara ya kwanza tu miaka 8 iliyopita, ingekuwa ndo mimi nimekamatwa na kuhojiwa na polisi ningeachana kabisa na mambo ya JF.
Lakini si wewe mazee. Uliendelea na JF mpaka kuifikisha hapa tulipo leo. Huko ni kujitoa muhanga. Umejitoa muhanga kwa niaba yetu watu kama sisi.
Kwa hilo nakupongeza sana. Lakini pia nataka nikupe pole nyingi sana kwa yote yaliyokupata juma lililopita. Ni jambo la kusikitisha sana kuwa baada ya miaka 10 ya uwepo wa JF mambo kama hayo ya kinyanyasaji bado yanaendelea.
Pole kwako, pole kwa familia yako, na nakutakia msimu mwema wa sikukuu.
Na cha pili ni wanachama wengi sasa kuingia kwa mfumo wa Chama hata kama mada inahusu Taaluma wataingiza vyama matokeo take inakuwa kama FBChangamoto kubwa ya jamiiforum ni wachangiaji wake wengi waliokuwepo mwanzo wamekuwa domant au kutosikika kabisa.
Enzi zile kulikuwa na uchangiaji ukiambatanishwa na references na kufanya jukwaa kuwa la kiwango cha juu kabisa.
Kuna mwaka jamii forum ilikuwa ranked kwenye 10 bora ya forums Afrika kutembelewa.
Mubongo?hivi sijawahi mjua mumiliki wa jamii form hv ni mubongo au