Miaka 10 tangu kuanzishwa kwa JamiiForums...

Ndiyo, na mimi pia nawapongeza waanzilishi ...na mimi nilifika humu muda kitambo sana. ..wengine wwenu tumepata uzoefu mwingi kupitia mtandao huu, sijui yuko wapi mzee mwanakijiji ...

Sitamsahau mtu mmoja alikuwa anajiita wa 16 sitamsahau
 
JamiiForums imekuwa zaidi ya chombo cha habari kwangu.
Viva JamiiForums
Laura continua
 
Hivi hao watu waliokajiunga JF 2006 walikuwa wanatumia simu za aina gani...? maana kipindi hiki i think zilikuwa nokia tochi, motorola, simens (mwalimu nichague mimi)...
 
Safi sana Bossman.

Nakumbuka DarHotwire kulikuwa na mizaha mizaha mingi.

Na hata huku JF watu tulikuwa tunaambiana hivyo hivyo, kwamba kama unataka udaku nenda DarHotwire.

Lakini kusema ukweli kipindi hicho..2006 - 2008 sikuweza kabisa kudhani kuwa JF ingetimiza miaka 10.

Mimi nilikuwa tanzatl.org
 
Back
Top Bottom