Miaka 10 tangu kuanzishwa kwa JamiiForums...

Kama kuna kitu ambacho Serikali ya Tanzania haikuwa imejiandaa vizuri na hata kuelewa ni uwepo wa internet na nguvu (power) ya internet.

Leo hii Jamii Forum ni kubwa kuliko magazeti ya kila siku nchini. Na uhakika kuna watu wengi sana hasa Wanasiasa, Watendaji wa Serikali na hata vyombo vya habari wanatumia muda mwingi JF kupata habari, maoni na kusoma malumbano.

Miaka 13 sasa, JF ni hazina kubwa sana na kama Wanasiasa na viongozi wetu wana nia ya kweli kuongoza na kuleta maendeleo, basi fursa hiyo bado ipo na JF ndio mahali pa wao kuja kusoma mawazo ya Watanzania.

Viva Jamii Forum!
 
Kama kuna kitu ambacho Serikali ya Tanzania haikuwa imejiandaa vizuri na hata kuelewa ni uwepo wa internet na nguvu (power) ya internet.

Leo hii Jamii Forum ni kubwa kuliko magazeti ya kila siku nchini. Na uhakika kuna watu wengi sana hasa Wanasiasa, Watendaji wa Serikali na hata vyombo vya habari wanatumia muda mwingi JF kupata habari, maoni na kusoma malumbano.

Miaka 13 sasa, JF ni hazina kubwa sana na kama Wanasiasa na viongozi wetu wana nia ya kweli kuongoza na kuleta maendeleo, basi fursa hiyo bado ipo na JF ndio mahali pa wao kuja kusoma mawazo ya Watanzania.

Viva Jamii Forum!

Hongera na wakongwe wenzio.

Kuna tofauti gani kati ya JF ya 2010 na ya 2019?

Zaidi ya user interface and experience, nini kifanyike kuifanya JF iwe relevant miaka 10 ijayo?

Technolojia inaendelea kukua, hadhira inabadilika na mabadiliko ni lazima, je nini vision na long term strategy ya JF?

Maxence Melo
 
JF ndio sehemu pekee iliyobaki ambayo mtu anaweza akatoa maoni yake genuine kuhusu kitu chochote bila kuhofia chochote.

JF ndio sehemu pekee ambayo unaweza ukapata habari inayoelezea tukio fulani la kisiasa kama lilivyo basi kufanyiwa edit yoyote ile.

JF ndio media pekee iliyobaki nchini ambayo mkono wa Pogba hauna nguvu wala control ya kuiendesha atakavyo.

JF ndio sehemu pekee iliyobaki ambayo ni rahisi kupata mawazo huru yasiofungamana na upande wowote wa kisiasa.

JF ndio library pekee unayoweza ukapata elimu ya kitu chochote unachohitaji muda wowote na tena bila gharama.

JF ndio sehemu unayoweza kutoa taswira nzima ya siasa za nchi hii na huko tunapoelekea.

JF ni sehemu salama ya wana mapunduzi kupanga mikakati yao.
 
Dude congrats for being one of the esteemed longest-serving members of this community.

13 years of loyalty is kinda atypical, your presence here is prizeworthy, Mello has gotta do something for this veteran.

To live and die in JF
The place to be, you gotta be here to know it
Where everybody wanna be

It wouldn’t be JF without us old heads
Mad love, country pride, and sets again


I love JF like I love women
Every nigga in JF gotta a little swag in them
Always full of drama like a soap opera...
 
Nlianza kuisoma 2011, baadae nkajiunga, jf kisima Cha maarfa, long life melo na Tim yako
 
To live and die in JF
The place to be, you gotta be here to know it
Where everybody wanna be

It wouldn’t be JF without us old heads
Mad love, country pride, and sets again


I love JF like I love women
Every nigga in JF gotta a little swag in them
Always full of drama like a soap opera...
If there will be a noble prize specifically prepared for social medias in future be it globally or locally and i happen to be a decider, there is no reason i will skip our JF.

Here is where we come to imbibe informative foods for our brains that we sometimes hardly find anywhere else.

Here is where all of us at least can dare talk openly about anything without being in fear of any goddamn thing.

JF is more than home i swear, it has so many addicts.

I gotta pay homage for some legends coz you significantly compelled us to join this eminent community.

You like JF same as you like women..sounds kinda crazy,

Lets be here until our last breath!!
 
To live and die in JF
The place to be, you gotta be here to know it
Where everybody wanna be

It wouldn’t be JF without us old heads
Mad love, country pride, and sets again


I love JF like I love women
Every nigga in JF gotta a little swag in them
Always full of drama like a soap opera...
Nyani huyooo.
 
Back
Top Bottom