Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,232
- 6,479
Jogoo limewika Dodoma, wabunge vijana wa CCM wenye umri chini ya miaka 45 wameanzisha umoja wao. Umoja huo umezinduliwa leo ktk Mkutano wa 13 kikao Cha 10. Manaelewa kwanini ni wenye chini ya miaka 45 pekee?
Wale wagombea Urais ndani ya CCM 2015 na kuuringia ujana, Sasa wadogo zenu wamekiwasha. Malipo ni hapapa duniani.
Mtanielewa miaka michache ijayo
Wale wagombea Urais ndani ya CCM 2015 na kuuringia ujana, Sasa wadogo zenu wamekiwasha. Malipo ni hapapa duniani.
Mtanielewa miaka michache ijayo