tian
JF-Expert Member
- Jul 27, 2007
- 1,770
- 538
Wenje amefanya unafiki na kutaka kujionesha kwamba ana msimamo mkali kwenye tv. Mimi nimeishi na waheshimiwa hawa hapo site ii area D Dodoma na nilichojifunza ni kwamba wabunge bila kujali vyama vyao wenyewe ni marafiki wakubwa, wanakula, kunywa pamoja. Je yeye Wenje hajawahi kukirimiwana mbunge wa CCM au mbunge wa chadema kumkirimu wa CCM. Je hii nayi ni rushwa Wenje. Acha kuwakashifu wenzio kuwafanya wana njaa sana wakati kuna wajumbe wana ukwasi zaidi yako.
Mkuu hapa tunaangalia muktadha,