Mh. Wenje umenitukania baba yangu

Mh. Wenje umenitukania baba yangu

Ili ifahamike vizuri kua baba yako katukanwa labda tutajie jina ili atukanwe kwa jina lake nawote tupate uhakika hata mama au bibi yako ajie mwanae katukana 7bu ya kula na kunywa vya bure
 
Kwako muheshimiwa Wenje tafadhali niombe radhi.

Nimekusikia jana ukieleza bungeni kwamba wale wajumbe 201 wa bunge maalum la katiba wamepewa rushwa ya chakula na vinywaji.

Baba yangu nae miongoni mwao. Kweli baba yangu mzazi kabisa adanganyike na kitu kidogo kama chakula?
Kwangu hili tusi kwa mzazi wangu.

Mh,WENJE kauli zako zinaudhi

pole bt usimlaumu Mh kabla hujamuuliza baba kama kala msosi au la!!!lkn mababa wa siku izi anaweza kukwambia alikuwepo lkn yeye hakula!!! akili kumkichwa...
 
Kinyomo babako anaweza danganyika hata kwa pipi acha chakula. Au unataka kusema yakiwa mamilioni sio mwaminifu. Ikiwa kidogo mwaminifu. We ndo umemtukana kwa kusema sio mwaminifu kwa makubwa
 
Baba yangu namtambua vyema ni miongoni mwa wazalendo wachache waliobaki ktk nchi hii.
Siamini kama chukula chaweza kumfanya abadili misimamo yake.

Njaa haina nidhamu wala adabu. Ndiyo ushangae sasa huyo baba yako anavyoliuza taifa kwa vipande vitatu, vinne vya minofu kwa pilau!


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hakuna aliyetukanwa ila hiyo ni TAFSIRI yenu nyie wapenda MITUSI:A S 13:
 
Kwako muheshimiwa Wenje tafadhali niombe radhi.

Nimekusikia jana ukieleza bungeni kwamba wale wajumbe 201 wa bunge maalum la katiba wamepewa rushwa ya chakula na vinywaji.

Baba yangu nae miongoni mwao. Kweli baba yangu mzazi kabisa adanganyike na kitu kidogo kama chakula?
Kwangu hili tusi kwa mzazi wangu.

Mh,WENJE kauli zako zinaudhi

kwahyo umepost ili tujue na baba yako yuko bungeni?, Acha upumbavuu.
 
Atajuta kuanzisha uzi!!!!

Wala sijutii kuanzisha Uzi kwani nimepata faida kubwa ya kuwafahamu watu ni jinsi gani wasivyo na heshima kwa wazazi wao.
Hebu fikiria Mtu kama Askofu Mtetemela nae ahongwe wali? Huoni ni ukosefu wa adabu huo?
 
Lugha ya kiswahl ngumu jaman! Mie cjaona tus hapo!hebu nionyeshen jaman!hyo MITUSII
 
Siku hizi kumwambia mtu ukweli ni tusi kubwa sana Bongo.
 
Kwako muheshimiwa Wenje tafadhali niombe radhi.

Nimekusikia jana ukieleza bungeni kwamba wale wajumbe 201 wa bunge maalum la katiba wamepewa rushwa ya chakula na vinywaji.

Baba yangu nae miongoni mwao. Kweli baba yangu mzazi kabisa adanganyike na kitu kidogo kama chakula?
Kwangu hili tusi kwa mzazi wangu.

Mh,WENJE kauli zako zinaudhi



chadema bila matusi haiendi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom