Mh. Wenje umenitukania baba yangu

Mh. Wenje umenitukania baba yangu

Na wewe mtukanie Babake, ngoma droo....
 
Mmh mi naona dhamira yoke ilikuwa kutujuza tu kuwa baba yke yu mjengoni jamanii....ha ha ha

Uko mbali na ukweli,nimekwambia baba yangu si mgeni ktk mijumuiko ya kisiasa na wala si limbukeni kuwepo bungeni. Ndo nashangaa hapo iweje atuhumiwe kuhongwa wali na vinywaji?
 
Isitoshe ktk hao 201 kuna wajumbe wengi wenye staha na heshima zao kama maprofesa,masheikh,maaskofu, si jambo jema kuwadhalilisha ili kutafuta umaarufu wa kisiasa.
 

Zingatia kwamba huenda mtu akatoa Rushwa lakini anayepokea ile Rushwa asiipokee kwa madhumuni ya kubadilisha kauli yake yeye akachukulia ni kama Ukarimu wakati anayetoa yeye akafanya hivyo ili kupata favor

By the way sisemi kilichotokea ni Rushwa au sio Rushwa au Wenje asingeweza kutumia maneno yaleyale kwa ustaarabu na kutokuwaudhi watu..., Just Stating the Facts


ukishapokea tu, basi bila kujali umefanyia nini, key point ni kwamba umekula rushwa!

mengineyo mbwe mbwe tu....
 
Baba yako ni hasara kabisa, msosi tu anaingia kingi

Hana jipya huyo,,,,,,,,,,,,,
lengo lake alitaka kutujulisha kuwa baba yake naye yuko kwenye bunge la katiba

its non of our business!! ,,,,,
 
Hana jipya huyo,,,,,,,,,,,,,
lengo lake alitaka kutujulisha kuwa baba yake naye yuko kwenye bunge la katiba

its non of our business!! ,,,,,

Ok,tayari umeshajua ndo umepata nini au mimi nimekipata kipi?
Think twice even if you are apart from mimba za utotoni, umuhimu wa wazazi unabaki palepale.
 
Wabunge wengi wa chadema wenje akiwepo hawana hoja mtaji wao ni matusi na vurugu.
 
Uko mbali na ukweli,nimekwambia baba yangu si mgeni ktk mijumuiko ya kisiasa na wala si limbukeni kuwepo bungeni. Ndo nashangaa hapo iweje atuhumiwe kuhongwa wali na vinywaji?
wali wa kuku na soda.
 
Kwani kutofautiana msimamo ni uadui? Wacha wale wivu tu unawasumbua wabongo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom