Ushahidi gani unaohitaji hukuona jana Wenje anavyowadhalilisha wajumbe wa 201?
sijaona
na mimi ndo mtoa maamuzi ndo maana nasema tuletee ushahidi ili tutoe maamuzi
Ushahidi gani unaohitaji hukuona jana Wenje anavyowadhalilisha wajumbe wa 201?
Ushahidi gani unaohitaji hukuona jana Wenje anavyowadhalilisha wajumbe wa 201?
Wenje anawashwa inabidi akunwe
Wenje amefanya unafiki na kutaka kujionesha kwamba ana msimamo mkali kwenye tv. Mimi nimeishi na waheshimiwa hawa hapo site ii area D Dodoma na nilichojifunza ni kwamba wabunge bila kujali vyama vyao wenyewe ni marafiki wakubwa, wanakula, kunywa pamoja. Je yeye Wenje hajawahi kukirimiwana mbunge wa CCM au mbunge wa chadema kumkirimu wa CCM. Je hii nayi ni rushwa Wenje. Acha kuwakashifu wenzio kuwafanya wana njaa sana wakati kuna wajumbe wana ukwasi zaidi yako.
Kwako muheshimiwa Wenje tafadhali niombe radhi.
Nimekusikia jana ukieleza bungeni kwamba wale wajumbe 201 wa bunge maalum la katiba wamepewa rushwa ya chakula na vinywaji.
Baba yangu nae miongoni mwao. Kweli baba yangu mzazi kabisa adanganyike na kitu kidogo kama chakula?
Kwangu hili tusi kwa mzazi wangu.
Mh,WENJE kauli zako zinaudhi
Baba yangu namtambua vyema ni miongoni mwa wazalendo wachache waliobaki ktk nchi hii.
Siamini kama chukula chaweza kumfanya abadili misimamo yake.
wenje anaonekana anauhaba wa hoja ndo maana anajazba
Kwako muheshimiwa Wenje tafadhali niombe radhi.
Nimekusikia jana ukieleza bungeni kwamba wale wajumbe 201 wa bunge maalum la katiba wamepewa rushwa ya chakula na vinywaji.
Baba yangu nae miongoni mwao. Kweli baba yangu mzazi kabisa adanganyike na kitu kidogo kama chakula?
Kwangu hili tusi kwa mzazi wangu.
Mh,WENJE kauli zako zinaudhi