Deogratius Mosha
Member
- Aug 3, 2012
- 25
- 3
alikosea njia akifi,kiri kanisani ni hifadhi ya taifa, ingekuwa ruaha national park ningekuelewa mkuu, maana takwimu za taifa zinasema disign yake inakaribia kupotea nchini
Ahadi milioni kumi cash ndiyo ikoje?
Akiongoza harambee ya kuchangia ujenzi wa hospitali ya Kanisa la Waadventista Wasabato Pansiansi Mwanza, ambayo inatarajiwa kuwa hospital kubwa ya 3 kwa jiji la Mwanza nyuma ya hospital za Bugando na ile ya mkoa ya rufaa ya Sekou Toure. Zimepatika Jumla ya sh milion mia tatu na kumi, mifuko 200 ya simenti na ahadi ya sh milion 10 cash.
Pesa taslim zilizopatikana ni sh 310,000,000/= , mifuko 200 ya simenti na ahadi ya sh 10,000,000/= Great thinkers achen kutukana pasipo sababu, ss tunaangalia kusudi la mchango ni nn' ukubali na ushawishi wa Mh. Wassira katka kufikia kiwango hicho, na si siasa uchwara kama ambavyo wapuuzi wachache wamekuwa wamefikir na kuandika humu.
Akiongoza harambee ya kuchangia ujenzi wa hospitali ya Kanisa la Waadventista Wasabato Pansiansi Mwanza, ambayo inatarajiwa kuwa hospital kubwa ya 3 kwa jiji la Mwanza nyuma ya hospital za Bugando na ile ya mkoa ya rufaa ya Sekou Toure. Zimepatika Jumla ya sh milion mia tatu na kumi, mifuko 200 ya simenti na ahadi ya sh milion 10 cash.
Akiongoza harambee ya kuchangia ujenzi wa hospitali ya Kanisa la Waadventista Wasabato Pansiansi Mwanza, ambayo inatarajiwa kuwa hospital kubwa ya 3 kwa jiji la Mwanza nyuma ya hospital za Bugando na ile ya mkoa ya rufaa ya Sekou Toure. Zimepatika Jumla ya sh milion mia tatu na kumi, mifuko 200 ya simenti na ahadi ya sh milion 10 cash.
Akiongoza harambee ya kuchangia ujenzi wa hospitali ya Kanisa la Waadventista Wasabato Pansiansi Mwanza, ambayo inatarajiwa kuwa hospital kubwa ya 3 kwa jiji la Mwanza nyuma ya hospital za Bugando na ile ya mkoa ya rufaa ya Sekou Toure. Zimepatika Jumla ya sh milion mia tatu na kumi, mifuko 200 ya simenti na ahadi ya sh milion 10 cash.
Mkuu' mh. Wassira akiwa ndie mgen rasmi'na kupewa jukumu la kuongoza harambee, kwa Neema ya Mungu ameongoza waumini wa kanisa la waadventista wasabato jimbo la nyanza kusini kufikisha kiwango hicho cha pesa na ahadi tajwa. Lengo lilikuwa kuchangisha kias cha sh m 250, lakn kimepatika kias cha sh milion 310, na ahadi ya sh milion 10. Wassira pekee katoa kias cha sh milion 9.Unasena Wasira ndio amefikisha kiasi hicho?
Amefanyaje?....wamemchangia yeye, wametoa kiingilio cha kumuona kama kivutio? Amechanga yeye na marafiki zake au nini exactly kimetokea?
Yeye amechangia nini?
Ahadi milioni kumi cash ndiyo ikoje?
Akiongoza harambee ya kuchangia ujenzi wa hospitali ya Kanisa la Waadventista Wasabato Pansiansi Mwanza, ambayo inatarajiwa kuwa hospital kubwa ya 3 kwa jiji la Mwanza nyuma ya hospital za Bugando na ile ya mkoa ya rufaa ya Sekou Toure. Zimepatika Jumla ya sh milion mia tatu na kumi, mifuko 200 ya simenti na ahadi ya sh milion 10 cash.
Pesa taslim zilizopatikana ni sh 310,000,000/= , mifuko 200 ya simenti na ahadi ya sh 10,000,000/= Great thinkers achen kutukana pasipo sababu, ss tunaangalia kusudi la mchango ni nn' ukubali na ushawishi wa Mh. Wassira katka kufikia kiwango hicho, na si siasa uchwara kama ambavyo wapuuzi wachache wamekuwa wamefikir na kuandika humu.
Masatu kasaidia kuhamasisha mkuu' make kuna watu humu ndan wanapenda kupost ilimradi wakatolik ukiwapa hata shughuli ya kuwacmamia MC wa harus hata 1milion hawafikish' so ni lazima tutambue mchango wa mhamasishaji katika hafla yoyote ile' tuache siasa' Masatu kajitahid kuhamasishahizo si ni sadaka za waumini , sasa Masatu kafunika nini ?