Mh. Steven Wassira afunika Mwanza

Mh. Steven Wassira afunika Mwanza

alikosea njia akifi,kiri kanisani ni hifadhi ya taifa, ingekuwa ruaha national park ningekuelewa mkuu, maana takwimu za taifa zinasema disign yake inakaribia kupotea nchini
 
Pesa taslim zilizopatikana ni sh 310,000,000/= , mifuko 200 ya simenti na ahadi ya sh 10,000,000/= Great thinkers achen kutukana pasipo sababu, ss tunaangalia kusudi la mchango ni nn' ukubali na ushawishi wa Mh. Wassira katka kufikia kiwango hicho, na si siasa uchwara kama ambavyo wapuuzi wachache wamekuwa wamefikir na kuandika humu.
 
Ahadi milioni kumi cash ndiyo ikoje?

Hahahahah.....
Kimsingi cash imepatikana 10m, na mifuko 200 ya cement.

Mategemeo yalikuwa 200m. Jamaa ameandika kinyume kwasababu nae alikuwa bado anamshangaa huyu kivutio cha taifa.
 
Huyo lazima afunike. Watu hawana hela ya kulipia zoo ili kumwangalia. Wamepata ofa ya bure.
 
Mbona thread yako inaelea?Huna ushahidi kututhibitishia lolote.Kajipange.
Akiongoza harambee ya kuchangia ujenzi wa hospitali ya Kanisa la Waadventista Wasabato Pansiansi Mwanza, ambayo inatarajiwa kuwa hospital kubwa ya 3 kwa jiji la Mwanza nyuma ya hospital za Bugando na ile ya mkoa ya rufaa ya Sekou Toure. Zimepatika Jumla ya sh milion mia tatu na kumi, mifuko 200 ya simenti na ahadi ya sh milion 10 cash.
 
Pesa taslim zilizopatikana ni sh 310,000,000/= , mifuko 200 ya simenti na ahadi ya sh 10,000,000/= Great thinkers achen kutukana pasipo sababu, ss tunaangalia kusudi la mchango ni nn' ukubali na ushawishi wa Mh. Wassira katka kufikia kiwango hicho, na si siasa uchwara kama ambavyo wapuuzi wachache wamekuwa wamefikir na kuandika humu.

Unasena Wasira ndio amefikisha kiasi hicho?
Amefanyaje?....wamemchangia yeye, wametoa kiingilio cha kumuona kama kivutio? Amechanga yeye na marafiki zake au nini exactly kimetokea?

Yeye amechangia nini?
 
Akiongoza harambee ya kuchangia ujenzi wa hospitali ya Kanisa la Waadventista Wasabato Pansiansi Mwanza, ambayo inatarajiwa kuwa hospital kubwa ya 3 kwa jiji la Mwanza nyuma ya hospital za Bugando na ile ya mkoa ya rufaa ya Sekou Toure. Zimepatika Jumla ya sh milion mia tatu na kumi, mifuko 200 ya simenti na ahadi ya sh milion 10 cash.

PICHA HII HAPA...


893642_432109246882134_641185502_o.jpg
 
Akiongoza harambee ya kuchangia ujenzi wa hospitali ya Kanisa la Waadventista Wasabato Pansiansi Mwanza, ambayo inatarajiwa kuwa hospital kubwa ya 3 kwa jiji la Mwanza nyuma ya hospital za Bugando na ile ya mkoa ya rufaa ya Sekou Toure. Zimepatika Jumla ya sh milion mia tatu na kumi, mifuko 200 ya simenti na ahadi ya sh milion 10 cash.

Picha Hii Hapa

893642_432109246882134_641185502_o.jpg
 
Akiongoza harambee ya kuchangia ujenzi wa hospitali ya Kanisa la Waadventista Wasabato Pansiansi Mwanza, ambayo inatarajiwa kuwa hospital kubwa ya 3 kwa jiji la Mwanza nyuma ya hospital za Bugando na ile ya mkoa ya rufaa ya Sekou Toure. Zimepatika Jumla ya sh milion mia tatu na kumi, mifuko 200 ya simenti na ahadi ya sh milion 10 cash.

hivi kumbe hata harambee za makanisa ni siasa?mi nilifikiri amefunika kwenye issue ya kuchinja wanyama
 
Unasena Wasira ndio amefikisha kiasi hicho?
Amefanyaje?....wamemchangia yeye, wametoa kiingilio cha kumuona kama kivutio? Amechanga yeye na marafiki zake au nini exactly kimetokea?

Yeye amechangia nini?
Mkuu' mh. Wassira akiwa ndie mgen rasmi'na kupewa jukumu la kuongoza harambee, kwa Neema ya Mungu ameongoza waumini wa kanisa la waadventista wasabato jimbo la nyanza kusini kufikisha kiwango hicho cha pesa na ahadi tajwa. Lengo lilikuwa kuchangisha kias cha sh m 250, lakn kimepatika kias cha sh milion 310, na ahadi ya sh milion 10. Wassira pekee katoa kias cha sh milion 9.
 
Dah! Aisee kweli binadamu wa kale kafunika ni noma m300 sio mchezo mkuu...!!
 
Hii thread inatakiwa ihamishiwe jukwaa la utani,hapa si mahala pake.
 
Akiongoza harambee ya kuchangia ujenzi wa hospitali ya Kanisa la Waadventista Wasabato Pansiansi Mwanza, ambayo inatarajiwa kuwa hospital kubwa ya 3 kwa jiji la Mwanza nyuma ya hospital za Bugando na ile ya mkoa ya rufaa ya Sekou Toure. Zimepatika Jumla ya sh milion mia tatu na kumi, mifuko 200 ya simenti na ahadi ya sh milion 10 cash.

kakutuma nani ufungue uzi wa kishabiki kiasi hiki????
wasira kafanya kazi ya Mungu wewe uanaleta ukada hapa!!
 
nlidhani alikuwa na mkutano wa kisiasa wakakusanyika wengi na kupata wanachama wengi
kumbe ni harambee ya kanisa..
watu wengine wanakunywa kwanza chimpumu ndio wanakuja kupost mada humu.
sii bure tumeambiwa Tanzania inaongoza kwa kunywa mataputapu na mtoa mada ni mmoja wapo.
 
Pesa taslim zilizopatikana ni sh 310,000,000/= , mifuko 200 ya simenti na ahadi ya sh 10,000,000/= Great thinkers achen kutukana pasipo sababu, ss tunaangalia kusudi la mchango ni nn' ukubali na ushawishi wa Mh. Wassira katka kufikia kiwango hicho, na si siasa uchwara kama ambavyo wapuuzi wachache wamekuwa wamefikir na kuandika humu.

wewe ulichanga sh ngapi?? au ulikuwa kwenye key bord kutuletea habari?
 
hizo si ni sadaka za waumini , sasa Masatu kafunika nini ?
Masatu kasaidia kuhamasisha mkuu' make kuna watu humu ndan wanapenda kupost ilimradi wakatolik ukiwapa hata shughuli ya kuwacmamia MC wa harus hata 1milion hawafikish' so ni lazima tutambue mchango wa mhamasishaji katika hafla yoyote ile' tuache siasa' Masatu kajitahid kuhamasisha
 
Haahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!1 wacha nicheke niongeze siku zangu za kuishi
 
hongera wasabato, wakristo tukichanga hela hivyo utakujasikia siku moja kuwa tunasaidia katika MOU....inabidi izi kumbukumbu tuziweke vizuri...kwasababu kuchanga tunachagna sisi na hosptl tunatibiwa wote bila kujali dini, lakini yuleyule anayetibiwa mwingine anakuja na version kwamba wakristo wanafanikiwa kwasababu wanapendelewa katika mou, siku ile anaumwa alikuwa kimyaaa akivua suruari nesi alione t.ako achome sindano bila kujali dini yake....hahaha.
 
Naona sura lake lilivyo baya limefuka kwa kuchekesha walionuna upuuzi mtupu.
 
Back
Top Bottom