- Thread starter
- #41
Mkuu kiongozi bora ni yule anayeshiriki kwa namna yoyote katika shughuli zake maendeleo na ustawi wa jamii. Ujenzi wa hospital kubwa kama ambayo wasabato wanaijenga mwanza ni jambo jema kwa jamii nzima kwa hiyo mtu yeyote bilateral kujali itikadi zake kidin wa kisiasa anayejishughulisha na huduma kama hizi kwa namna moja amazing nyingine ni lazima ss kama jamii tumpongeze... So kijana labda nkwambie kuwacmamia harambee haikuwa kwa ajili ya kujenga kanisa' ila ni kwa ajili ya kujenga hospital' kitu ambacho ni cha manufaa kwa jamii nzima' so suala la kunywa mataputapu hilo linaweza geukia upande wako endapo kama hujatambua tofauti kati ya ujenzi wa kanisa na hospitality au shule kwa jamiinlidhani alikuwa na mkutano wa kisiasa wakakusanyika wengi na kupata wanachama wengi
kumbe ni harambee ya kanisa..
watu wengine wanakunywa kwanza chimpumu ndio wanakuja kupost mada humu.
sii bure tumeambiwa Tanzania inaongoza kwa kunywa mataputapu na mtoa mada ni mmoja wapo.