Sasa ndo amefunika nini huyo Sokwe!
Sasa ndo amefunika nini huyo Sokwe!
JUDAMANY inawezekana hujui ulichoandika. Ni kweli zilipatikana 300,000,000 taslimu na ahadi 10 million? au ni cash 10 million na ahadi 300,000,000? Hiyo saruji waalikwa walikuja nayo ikiwa kwene bahasha za "size" gani?
Kaka inaonesha ni jinsi gani ulivo na akili mgando na unakariri. Anyway ngoja nikueleweshe, kati ya pesa zilizochangwa, mh. Wassira ametoa sh milion 9, askofu mkuu wa wasabato Tanzania ametoa sh milion 42 na askofu mkuu wa jimbo la mwanza ametoa sh milion 47, mimi binafs nimetoa sh milion 2 zilizosalia wametoa waumin wengine, wageni waalikwa na wanamwanza kwa ujumla. Sasa pesa za kifisadi hapo ziko wapi? Mkuu mm napiga kazi mgodin nimekomaa kwa kipindi chote hicho Mungu amekuwa akinilinda na kunipa uwezo wa kufanya kaz na sasa nkaamua kumrudishia Mungu wangu shukran' naamin ntaendelea kubalikiwa na nitapata zaidi, sasa ufisadi unatoka wap hapo? wewe kaa ukifikir kila kitu ni ufisad wakati wengine washachagua maisha na wanapiga kaz na wanafanikiwa ... Fanya kaz, muombe Mungu ukipatacho rudisha shukran kwa Muumba wako achen visingizio kila msikiapo watu wa Mungu wamemtolea Mungu shukran wao na kusema hela za kifisad kosa tu ni kuwaalika wanasiasa.. kijana kwa taarifa yako hii nchi kuna watu wapo serious na wanafanya kaz kwa bidii na wanafanikiwa. Toka kijiwen kijana komaa na kaz' acha siasa uchwara. Utakufa njaaa huku ukiwaona wenzio wanafanya mambo makubwa na wewe ukifjifariji na maneno kama hayo, et pesa za kifisadi. Kiukwel pesa aliyoitoa Mh. Wassira, hata mienendo ningefunguka kwenye acount yangu ningeweza kumpiga fimbo, lakn kinachoongelewa hapa ni uwezo na ushawish alionao huyu mzee katika kuwahimiza watu kuchangia mpaka hicho kiwango kikafikiwa.
Asante kwa kunipongeza' zaidi ya yote sifa na utukufu umrudie Mungu yeye atupaye rizik zake kila siku. Askofu aliyechangia sh milion 47 ni askofu mkuu wa jimbo la Nyanza kusini Sabato. Ndugu wakati mwingine nakwambia utoke kijiwez coz mawazo yako yanakuwa yanafanana na watu waliokosa matumaini ya maisha na kubaki kulaumu kwa kila jambo na kutafuta simple answers kwa maswal ya msingiAskofu wa Jimbo la Mwanza katoa million 47?? Jimbo katoliki au wasabato?
unaposema nitoke kijiweni unajua niko wapi na nafanya kazi gani??
Hongera kwa kutoa mchango mzuri.
Asante kwa kunipongeza' zaidi ya yote sifa na utukufu umrudie Mungu yeye atupaye rizik zake kila siku. Askofu aliyechangia sh milion 47 ni askofu mkuu wa jimbo la Nyanza kusini Sabato. Ndugu wakati mwingine nakwambia utoke kijiwez coz mawazo yako yanakuwa yanafanana na watu waliokosa matumaini ya maisha na kubaki kulaumu kwa kila jambo na kutafuta simple answers kwa maswal ya msingi
Sasa ndo amefunika nini huyo Sokwe!
Kabla ya kuleta kitu jamvin watu huwa tunafanya upembuzi yakinifu. Mimic binafsi nimefatilia chanzo cha hz pesa walilizotoa hawafikish maaskofu (wachungaji) nimegundua kuwacmamia pesa hizi c zake askofu mwenyewe bali ni pesa zake ofisi. Yaan katika bajet ya makao makuu tanzania, wamekaa wakaona wao wachangie hicho kiac na ofsn ya jimbo la nyanza kusin wakatoa hicho kiac lakn waliokuwa wanaziwasilisha ni viongoz wa ofsn hizo yaan askofu mkuu wa Tanzania na askofu mkuu wa jimbo .we have to ask ourselves
hizo hela wamepata wapi?
kutoa mchango askofu sio issue.
the big issue here is hizo hela kapata wapi?
Askofu huyo ana biashara gani? je zimechangwa na waumini au ni zake binafsi?
usiwe mwepesi wa kukubali kila kitu bila kuhoji..
Watanzania tutabaki kuitwa wajinga kwa vile hatupendi kuhoji na anaehoji anaonekana msaliti.
usikimbilie kumwita mtu anaepingana na wewe ni mtu wa kijiweni, You dony know me nor my occupation.
Lokissa, ua occupation mm hanihusu' issue ni kwa ukija na mawazo ya kale I hv to challenge u, ni wajibu wangu mm kukuondoa kutoka mawazo ya namna hiyo na kuwacmamia na mawazo ya kukusaidi kama kijana au mtanzania makini. Hata mm pia... nlikuwa napenda sana kushikiria dhana ndogo kama za ufisadi, upendeleo , rushwa na uonevu' pale nlipokuwa naona jambo flan' ambalo c la kawaida limetendeka tenaciously c kwa upande ambao mm binafsi naushabikia au naupenda .we have to ask ourselves
hizo hela wamepata wapi?
kutoa mchango askofu sio issue.
the big issue here is hizo hela kapata wapi?
Askofu huyo ana biashara gani? je zimechangwa na waumini au ni zake binafsi?
usiwe mwepesi wa kukubali kila kitu bila kuhoji..
Watanzania tutabaki kuitwa wajinga kwa vile hatupendi kuhoji na anaehoji anaonekana msaliti.
usikimbilie kumwita mtu anaepingana na wewe ni mtu wa kijiweni, You dony know me nor my occupation.
sinto msahau Wasira kwa uwamuzi wake wa Busara kuhusu kuchinja japokuwa viongozi wenzake hawamuungi mkono kwaba:suala la kuchinja kwa sababu ya biashara waachiwe waislamu ila kama mkristo anaweza kuchinja kwa ajili ya kula yeye mwenyewe au na wakristo wenzakeAkiongoza harambee ya kuchangia ujenzi wa hospitali ya Kanisa la Waadventista Wasabato Pansiansi Mwanza, ambayo inatarajiwa kuwa hospital kubwa ya 3 kwa jiji la Mwanza nyuma ya hospital za Bugando na ile ya mkoa ya rufaa ya Sekou Toure. Zimepatika Jumla ya sh milion mia tatu na kumi, mifuko 200 ya simenti na ahadi ya sh milion 10 cash.
Lokissa, ua occupation mm hanihusu' issue ni kwa ukija na mawazo ya kale I hv to challenge u, ni wajibu wangu mm kukuondoa kutoka mawazo ya namna hiyo na kuwacmamia na mawazo ya kukusaidi kama kijana au mtanzania makini. Hata mm pia... nlikuwa napenda sana kushikiria dhana ndogo kama za ufisadi, upendeleo , rushwa na uonevu' pale nlipokuwa naona jambo flan' ambalo c la kawaida limetendeka tenaciously c kwa upande ambao mm binafsi naushabikia au naupenda .
Kumbe!Kawaida anaeingia huko hufunika lakini akiingia Msikitini hufunikwa!