Inawezekana ukawa bonge la mjinga kulko unavyofkiri,kwa mawazo yako uanadhani hata wapinzani wangekuwa na hoja gani nzuri hawateweza kubadili mawazo ya wendawazimu wengi ndani ya bunge kupitisha upuuz wao,jiulze hata wewe uliwahi kuskia wapi mtu akapanga bajet ya milioni moja wakati mkononi ana laki moja kama sio serkali ya ccm?
hivi huyu sindie mtuhumiwa wa hile kesi ya ugaidi pia au polisi wanabagua watu wakukamata kichama?