Mh. Lowassa akifanya mazoezi mjini Dodoma

Mh. Lowassa akifanya mazoezi mjini Dodoma

Matatizo ya kiafya ya Edward Lowassa na Dr Wilbrod Slaa yanafanana.


Umetumwa, kwani IKULU anaenda kubeba zege..? Biologically & psychologically hapo uliko ww tayari una matatizo ya Afya ya akili na mwili..!!
 
Asubuhi ya leo kipenzi cha watanzania na mkombozi wao ameonekana akifanya mazoezi ambayo ni sehemu ya utamaduni wake wa kila siku,tafsiri nyepesi ni kwamba mh. Lowassa anapiga jaramba kwa ajili ya kuingia magogoni 2015 wale wenye roho za husda na kuzusha kaeni tayari kwa kimbunga.

attachment.php

UFISADI hauwezi KUZIMWA KWA JOGGING .
 
Kati yake "white hair" na mkulu wa kaya , nani anapiga jaramba la kufa mtu ukiwatizama.

Angalia mikono mkuu.Ukimuona mtu mikono iko chini ujue hamna zoezi hapo.ukimuona mtu mikono juu kama edo boy hapo ujue tizi linafanyika,wenyewe wanaita "high intensity workout",the more you pump your arms,the more you stride,the more you go forward,the more you speed up,ze moo yu bikamu nia ze magogoni waiti hauzi,teh teh!bat aza pipo aa putingi zeia ams dauni bikozi zei hevu nasingi tu hari foo,zei aa oredi zea endi zei wanti it aut bifoo singz bikamu moo ditioreted zan zei oredi hevu..yu no zis iptl tena bwana,senkyu vere mache teh teh!let mii endi hia bikozi ai wuldi laiki mai dento fomula tu rimeini ze wei iti izi nau,tihi hi hi hi!
 
Asubuhi ya leo kipenzi cha watanzania na mkombozi wao ameonekana akifanya mazoezi ambayo ni sehemu ya utamaduni wake wa kila siku,tafsiri nyepesi ni kwamba mh. Lowassa anapiga jaramba kwa ajili ya kuingia magogoni 2015 wale wenye roho za husda na kuzusha kaeni tayari kwa kimbunga.

attachment.php

Huwa anakimbia kila Siku 5 km
 
Mm si mtu ku bet , ila kwa afya ya EL naweka "mzigo" he is physically too weak to work achilia mbali kuwa Rais, Kama kuna pingamizi / kizuizi kikubwa kwake ni AFYA achilia mbali UFISADI, nimemsuhudia hivi majuzi tu kashindwa kuhudhuria ibada ya dk 60, japo kuna kukaa na kusimama, weka video uone anvyorusha miguu kwa shida!
 
Big up dady.leo sikuja

lazima tuwaonyeshe 2015;atujaja dar kylima lami
 
Angalia wasimwitena dady dodoma loh

tumechoka na vikao vyao
 
Edward Lowasa is presidetial material na watz wote popote pale tunamkubali. sio eti Kingwalangwala sijui tano sijui saba sijui tunda la msimu. LOWASA IS THE MAN
 
Hahahaha
hii ndio Tanzania bankila uktaka kufanya kitu lzm uite waandish habari angalau hata wawil
 
Mm si mtu ku bet , ila kwa afya ya EL naweka "mzigo" he is physically too weak to work achilia mbali kuwa Rais, Kama kuna pingamizi / kizuizi kikubwa kwake ni AFYA achilia mbali UFISADI, nimemsuhudia hivi majuzi tu kashindwa kuhudhuria ibada ya dk 60, japo kuna kukaa na kusimama, weka video uone anvyorusha miguu kwa shida!

Endeleeni na fitina zenu,ila tambuweni watanzania tunamhitahi EL.hatakama angekuwz mgonjwa ikulu haendi kubeba zege!!
 
Lowassa my ideal president, kuna watu wanachukia hata ukiwa na afya njema! Mzee wa maamuzi magumu.
 
Back
Top Bottom