Weston Songoro
JF-Expert Member
- Feb 17, 2014
- 2,793
- 1,086
CCm wakiona hivi wanatamani hata kumfungia asifanye mazoezi
kwani siku hizi Lowasa yupo upinzani?
CCm wakiona hivi wanatamani hata kumfungia asifanye mazoezi
rais wetu
Afya ya lowasa ni imara kama simba
rais wetu
Rais wako ni JK. Mbona unaanzisha uasi?
Afya ya lowasa ni imara kama simba
acha utani Mkuu. Yaani huyu huyu Lowasa tunayemjua?
inamaana sitta ndo mmeshamtoa kwenye mawazo ya Urais
inamaana sitta ndo mmeshamtoa kwenye mawazo ya Urais
Asubuhi ya leo kipenzi cha watanzania na mkombozi wao ameonekana akifanya mazoezi ambayo ni sehemu ya utamaduni wake wa kila siku,tafsiri nyepesi ni kwamba mh. Lowassa anapiga jaramba kwa ajili ya kuingia magogoni 2015 wale wenye roho za husda na kuzusha kaeni tayari kwa kimbunga.
![]()
Huyu kiumbe akichukua nchi, viongozi wazembe na wapuuzi watafute kazi zingine haraka.
sita sio gia na tano wala sita inayoingia,zote zinatema
Ha ha ha ha.......mpiga hiyo picha ungegeuza camera kwa nyuma kidogo tuone kama Hapakuwa na ambulance ikimfuata Mheshimiwa kwa nyuma ili hata likitokea lolote......si nasikia Kamanda hayupo full ngwamba kiafya......
Kwa mtu ambaye anakubalika haina haja ya kuja hapa jf na kusema kuwa ni kipenzi cha watu kwani watu wenyewe wasingekuwa na haja ya kuambiwa/kusemewa, lakini kinachoonekana sasa ni jitihada za kuwahadaa watz kuwa mamvi anafaa kuwa rais! nani kasema watanzania wanahitaji rais badala ya unafuu wa maisha? kashfa inayomkabili ni kuwaongezea mzigo wa tz kwa.
Mimi nasema hivi mpigieni debe tu hapa jf, maana naona ni multiple ID's tu zinajibizana! ila 2015 ndio itajulikana kuwa watanzania hawana shida na rais.
Kaka una wivu kama mke mwenza!hakunaga zaid ya Lowassa aka mzee wa maamuzi mazito
Ni kwa tahadhari tu boss, si tunasikia afya haijakaa vyema........ila nampongeza kwa zoezi.