Mh. Lowassa akifanya mazoezi mjini Dodoma

Mh. Lowassa akifanya mazoezi mjini Dodoma

Maboso

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2013
Posts
5,163
Reaction score
5,766
attachment.php
 

Attachments

  • photo 2.JPG
    photo 2.JPG
    58.6 KB · Views: 4,650
Halafu watu wengine wanasema ati huyo Mkuu ana afya mgogoro na kuwa anangojea kufa. Mtakufa na mtamwacha our next Prezidooo,
Aksante paparazi kwa kutuletea habari hii. Tujiandae kisaikolojia kumpokea magogoni. Ila, aelewe kuwa anahitaji mazoezi zaidi kumshida Dr Slaa
 
Halafu watu wengine wanasema ati huyo Mkuu ana afya mgogoro na kuwa anangojea kufa. Mtakufa na mtamwacha our next Prezidooo,
Aksante paparazi kwa kutuletea habari hii. Tujiandae kisaikolojia kumpokea magogoni. Ila, aelewe kuwa anahitaji mazoezi zaidi kumshida Dr Slaa

Unatuletea picha ya mwaka 2007
 
Asubuhi ya leo kipenzi cha watanzania na mkombozi wao ameonekana akifanya mazoezi ambayo ni sehemu ya utamaduni wake wa kila siku,tafsiri nyepesi ni kwamba mh. Lowassa anapiga jaramba kwa ajili ya kuingia magogoni 2015 wale wenye roho za husda na kuzusha kaeni tayari kwa kimbunga.

attachment.php
 
Ha ha ha ha.......mpiga hiyo picha ungegeuza camera kwa nyuma kidogo tuone kama Hapakuwa na ambulance ikimfuata Mheshimiwa kwa nyuma ili hata likitokea lolote......si nasikia Kamanda hayupo full ngwamba kiafya......
 
Hapo lowassa anapiga kimya kimya lakin wapinzani wake hawapati usingiz
 
Back
Top Bottom