Halafu watu wengine wanasema ati huyo Mkuu ana afya mgogoro na kuwa anangojea kufa. Mtakufa na mtamwacha our next Prezidooo,
Aksante paparazi kwa kutuletea habari hii. Tujiandae kisaikolojia kumpokea magogoni. Ila, aelewe kuwa anahitaji mazoezi zaidi kumshida Dr Slaa
Kamuwa baba kamuwa baba,asante rais wangu mtarajiwa.Jaman Membe yuko wap aone
inamaana sitta ndo mmeshamtoa kwenye mawazo ya Urais
CCm wakiona hivi wanatamani hata kumfungia asifanye mazoezi
You guys are overdoing it!