strong ruler
JF-Expert Member
- Nov 2, 2013
- 4,919
- 3,313
Naona ambulance ile kuleeee iko nyuma ikimfuatilia, akipiga chini tu fasta inamuwahi ha ha..
Cc: Sifongo
Aaah wapi sii kweli
Naona ambulance ile kuleeee iko nyuma ikimfuatilia, akipiga chini tu fasta inamuwahi ha ha..
Cc: Sifongo
Ha ha ha ha.......mpiga hiyo picha ungegeuza camera kwa nyuma kidogo tuone kama Hapakuwa na ambulance ikimfuata Mheshimiwa kwa nyuma ili hata likitokea lolote......si nasikia Kamanda hayupo full ngwamba kiafya......
Mnaenda vizuri kwasababu hizo safari zisizoisha ndio tiba yenyewe hiyo kaka!!
Unajua mtu ukiwa na afya njema hata fikra zako ni njema. Hongera yake mzee wa Monduli, siyo wengine kukaa vikiweni kunywa kahawa na mijungu tu.
Akina kinana watatangaza kumfungia asifanye mazoezi
mbona cwackii wa ukawa hawana mgombea nn
Naye ataanza muda sio mrefu
Mwongo,huoni aibu kudanganya?
mburula ni wewe na mkeo
Jamaa kisha choka hawezi kutenda kama invyotarajiwa above 65