Pampula jr
JF-Expert Member
- May 2, 2013
- 606
- 193
msiempenda kaja
Mkuu Sita katiba imempoteza kabisa hata yeye anajua hiloinamaana sitta ndo mmeshamtoa kwenye mawazo ya Urais
Asubuhi ya leo kipenzi cha watanzania na mkombozi wao ameonekana akifanya mazoezi ambayo ni sehemu ya utamaduni wake wa kila siku,tafsiri nyepesi ni kwamba mh. Lowassa anapiga jaramba kwa ajili ya kuingia magogoni 2015 wale wenye roho za husda na kuzusha kaeni tayari kwa kimbunga.
![]()
Asubuhi ya leo kipenzi cha watanzania na mkombozi wao ameonekana akifanya mazoezi ambayo ni sehemu ya utamaduni wake wa kila siku,tafsiri nyepesi ni kwamba mh. Lowassa anapiga jaramba kwa ajili ya kuingia magogoni 2015 wale wenye roho za husda na kuzusha kaeni tayari kwa kimbunga.
![]()
Kipenzi cha Watanzania !!!!!!?????? Mbona mimi ni Mtanzania halisi, na huyo siyo kipenzi changu? Sema kipenzi chako!!!!
Hongera Edward. Hot lady yuko wapi aliyemzushia edward ugonjwa. Aagaliye ya Mungu ni mengi huwezi kujua ya kesho!
Kati yake "white hair" na mkulu wa kaya , nani anapiga jaramba la kufa mtu ukiwatizama.
Matatizo ya kiafya ya Edward Lowassa na Dr Wilbrod Slaa yanafanana.
Asubuhi ya leo kipenzi cha watanzania na mkombozi wao ameonekana akifanya mazoezi ambayo ni sehemu ya utamaduni wake wa kila siku,tafsiri nyepesi ni kwamba mh. Lowassa anapiga jaramba kwa ajili ya kuingia magogoni 2015 wale wenye roho za husda na kuzusha kaeni tayari kwa kimbunga.
![]()
Ha ha ha ha.......mpiga hiyo picha ungegeuza camera kwa nyuma kidogo tuone kama Hapakuwa na ambulance ikimfuata Mheshimiwa kwa nyuma ili hata likitokea lolote......si nasikia Kamanda hayupo full ngwamba kiafya......
Kwani nani kakwambia lowassa anaanguka hovyo kama baba mwanaasha??
Ni kwa tahadhari tu boss, si tunasikia afya haijakaa vyema........ila nampongeza kwa zoezi.
ww mwenyewe hapo unatembea ukiwa umeshakufa
stroke siyo mzuri ...................inachukua muda kutoka..........Ha ha ha ha.......mpiga hiyo picha ungegeuza camera kwa nyuma kidogo tuone kama Hapakuwa na ambulance ikimfuata Mheshimiwa kwa nyuma ili hata likitokea lolote......si nasikia Kamanda hayupo full ngwamba kiafya......