lucky sabasaba
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 1,656
- 1,205
MWAMBIE AENDE GYM
mnanikumbusha zile tetesi kuwa mjomba ana ngoma. lakini mbona tunaenda viziri tu!
Mnaenda vizuri kwasababu hizo safari zisizoisha ndio tiba yenyewe hiyo kaka!!
Kwahyo ulitaka asitibiwe?
Mimi sikusema hivyo, hayo unayasema wewe mburula!!
Kipenzi cha Watanzania !!!!!!?????? Mbona mimi ni Mtanzania halisi, na huyo siyo kipenzi changu? Sema kipenzi chako!!!!
We kipenzi chako ni Sitta? Kashabugi huyo, kaingizwa cha kike!
Mkuu una akili nyingi sana kula bonge la likeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
CCM wote ovyoooooooo! Magamba wote ni ukoo wa panya!!!
Amkataaye huyu jamaa apite hivi
pumbavu sana wewe.kipenzi cha nani fisadi huyo. nchi aiwezi kuongozwa tena na wezi hii
Ukitaka kujua aina ya watu na uwezo wao wa akili pima michango ya mawazo yao. Hapa naona kama Simba ,Yanga na Okwi. Toeni maelezo yanayoeleweka. Kwa lipi ? Fedha mnazopewa au ? Mtakula siku ngapi za kupewa ? Kumbukeni" ..
.amelaaniwa amtumainiye mwanadamu..
"