Asubuhi ya leo kipenzi cha watanzania na mkombozi wao ameonekana akifanya mazoezi ambayo ni sehemu ya utamaduni wake wa kila siku,tafsiri nyepesi ni kwamba mh. Lowassa anapiga jaramba kwa ajili ya kuingia magogoni 2015 wale wenye roho za husda na kuzusha kaeni tayari kwa kimbunga.
![]()
Mshauri atengeneze video(15min clip akikimbia) maana hiyo picha kila mtu anaweza ,hata aliyetoka MOI.
Ninavyompenda huyu raisi hadi natamani nikaishi Monduli.
Wivu kwa mtoto wa kiume +umbeya kwa mtoto wa kiume=bwabwa
Usijekuta wenye kumshabikia huyu kibabu kuwa rais ni vijana wa chini ya miaka 40. Hivi hamjitambui na kujikubali kuwa mnaweza kwa kiwango cha chini namna hii? Mtaongoza lini ninyi? Wazee wa aina ya mamvi wanatakiwa kustaafu na kuwa washauri tu na si vinginevyo! Ni aibu vijana kumwandaa na kumpigia debe kibabu kuwa rais wao. But siwashangai sana kihivyo kwa njaa mliyo nayo. Simuoni hata kwenye 10 bora za ccm! Hivi asipokuwa rais mmepanga kitu gani mbadala ili kujiliwaza? Poleni kwa kutumika mithili ya toilet tissue!
Kati yake "white hair" na mkulu wa kaya , nani anapiga jaramba la kufa mtu ukiwatizama.
Na aliyechokozwa anatrotimsiempenda kaja
inamaana sitta ndo mmeshamtoa kwenye mawazo ya Urais
RAISI WANGU LOWASA NO COMENT 2015:llama::flame::ban::rockon::welcome::juggle::yield::director::lock1::bump2::violin::majani7::A S-confused1:
Babuuu mbona umejaza wadudu..? ndo unamshangilia lowassa wakati nape yupo pale juu anamsubiri wamfyekelee mbali
babuuu mbona umejaza wadudu..? Ndo unamshangilia lowassa wakati nape yupo pale juu anamsubiri wamfyekelee mbali