Mh. Livingstone Lusinde akimwaga Sera za CCM Arumeru

Mh. Livingstone Lusinde akimwaga Sera za CCM Arumeru

Mmmmmmmmmmh upumbavu kama huu kuzungumza maneno kama haya!!!!!!!akapimwe akili zake huyu....mbunge kuzungumza maneno haya!!!!
 
Ofisi ya Bunge imekosea kuacha wazi pale kwenye special skills katika CV ya Lusinde!
 
Walikutukana wewe pamoja na makamanda wote wa cdm lakini adhabu tumetoa sisi wananchi na sasa una amani ya maisha na mungu atazidi kukubariki. Hakuna haja ya kujibizana na mjinga nawe utaonekaa mjinga. Wakilisha tulichokutuma mjengoni, achana na siasa za majitaka za wachovu wa kufikri kama Anne Kilango na Kibajaji hubiri amani ya watanzania maskini na ututee vyema kuelekea kwenye ukombozi wa kweli. M4C imeanza na wewe na historia imeandikwa! una kila sababu ya kuwashukru watanzania wote bila kujali kabila zao, dini zao, vyama vyao au tofuti za namna yoyote ile kwani ushindi huu ni wa awtanzania wote. Tuko pamoja katka kulijenga taifa jipya la Tanzania. Peeeeeeoopleeeeeeeeeeeeeeeeessssssssssss!!!!!! :violin:
 
  • Thanks
Reactions: 3D.
Nasikitika sana leo imenilazimu kuandika haya kutokana na upuuzi na siasa uchwaro za Chai Chapati Maharage(CCM) pale huyu mhuni kati ya wahuni wa CCM alipokuwa anahutubia katika kampeni huko Arumeru na kuongea kauli chafu mpaka watoto kuanza kufunga midomo inanisikitisha sana
 
Nadhani hujawatendea haki wana Mtera! Ni vema mwenyewe uombe radhi kwa maandishi yako na ubadilishe kichwa cha habari yako mara moja!
 
akuna haja ya kuanza kumfuatilia mpumbavu!
Hata akina Dr Slaa, Mbowe na wengine wote wakae kimya tu...naaamini 2014 atakuja kuwaomba msamaha ili ahamie Peopleees Power!
 
  • Thanks
Reactions: 3D.
Sidhani kuna watu walipanga foleni kuanzia saa kumi na mbili asubuhi hadi jioni na wakamchagua huyu jamaa kuwa mbunge wa jimbo katika hii nchi yetu. Huyu kama ni kiongozi kwa kweli hafai weka mbali mambo ya siasa na kuwa mwazi huyu jamaa hafai.
Kama utamsikiliza huyu jamaa na kumpa support basi na wewe akili yako na yake sawa. very disappointed with this guy.
Mh. Livingstone Lusinde akimwaga Sera za CCM Arumeru - YouTube.
Nawaomba tuangalie na msikilize huyu mbunge.
 
Ukipigania haki mara zote mungu anakua upande wako, inabidi tusonge mbele na kuchapa kazi kuwaonyesha watu wa meru kuwa hawakukosea kuichagua chadema.ukombozi umeanza sasa na arumeru mashariki na movement zitasaambaa nchi nzima.mungu tupe nguvu watanzania tuwaondoe magamba.peeeooopleeeeessss
 
Movement for CHANGE,
Movement for CHADEMA.
 
mbunge ni mtu anaewakilisha eneo ilo sasa sina hakika kama yale maneno ndo yanatumika pale jimboni kwake na wananchi wake,sina hakika pia kama akisimama kuhutubia wananchi wake yale maneno ndo yanayozungumzwa akiwa jukwaani na wafuasi wake wanamsikiliza,kwa ilo kawadhalilisha sana inabidi aombe radhi kwa wananchi wake
 
Walikutukana wewe pamoja na makamanda wote wa cdm lakini adhabu tumetoa sisi wananchi na sasa una amani ya maisha na mungu atazidi kukubariki. Hakuna haja ya kujibizana na mjinga nawe utaonekaa mjinga. Wakilisha tulichokutuma mjengoni, achana na siasa za majitaka za wachovu wa kufikri kama Anne Kilango na Kibajaji hubiri amani ya watanzania maskini na ututee vyema kuelekea kwenye ukombozi wa kweli. M4C imeanza na wewe na historia imeandikwa! una kila sababu ya kuwashukru watanzania wote bila kujali kabila zao, dini zao, vyama vyao au tofuti za namna yoyote ile kwani ushindi huu ni wa awtanzania wote. Tuko pamoja katka kulijenga taifa jipya la Tanzania. Peeeeeeoopleeeeeeeeeeeeeeeeessssssssssss!!!!!! :violin:

Uchaguzi ukiisha ni wakati wa kusonga mbele na ahadi ambazo wananchi wamepewa, kuanza kumtafuata mjinga mmoja na kuacha kushughulikia wananchi zaidi ya laki na ushee ambao wanatemegemea mambo mengi kutoka kwako ni upuuzi mtupu.
 
Uchaguzi ukiisha ni wakati wa kusonga mbele na ahadi ambazo wananchi wamepewa, kuanza kumtafuata mjinga mmoja na kuacha kushughulikia wananchi zaidi ya laki na ushee ambao wanatemegemea mambo mengi kutoka kwako ni upuuzi mtupu.

Nimesikia na mimi nakubali
 
Katika post zote za leo hii yako ndio imejaa hekima, na mimi nakutakia wewe Binafsi ndugu Dionis Nyorobi, furaha na amani tele katika siku za maisha yako yote.

Nimeamua kukurudishia baraka hizi kwa maneno ya hekima uliyompatia Mbunge Mteule wa Jimbo la Arumeru Mashariki, mdogo wangu Joshua Nasari.

Mungu akupe wewe na familia yako siku nyingi za kuishi hata uzione Chaguzi kuu zote za Furaha, uione 2015, uione 2020, uione 2025 uione 2030 mpaka 2050 tena uzione ukiwa mwingi wa nguvu na afya tele.

Jiachie Kwa Furaha
 
Kama CCM wana shida ya kutafutab sababu ni kwa nini wameshindwa Arumeru, hawana haja ya kuangalia mbele zaidi ya mtu huyu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom