Mh Lazaro Samwel Nyalandu MP Singida Kaskazini

Mh Lazaro Samwel Nyalandu MP Singida Kaskazini

Haya "Makosa ya uchapishaji" yako tangia 2000! Huoni kama ni kikwazo kwa wapiga kura walidanganyika kujua Mh ana Bachelor kumbe ni Associate Degree ambayo ni sawa na Diploma ?

Kwanini hajafanya marekebisho tangia kipindi hicho?

Kwanini College ameziita degree?

Angeweza kuandika amegraduate BA. (International Business) - Wartburg College (U.S.A) maana hakuna kitu kinachoitwa Wartburg University College.

Hii ni kudanganya waajili wake wapiga kura na watanzania kwa ujumla maana anatumia kodi yetu kama Naibu waziri.

mkuu goal yangu tangu mwanzo ilikuwa ni kuweka information sawa na sio kuhukumu moja kwa moja...sijui kosa ni la nani...Mh naibu wazir au bunge...na mheshimiwa hajadanganya wapiga kura yake kwani ana degree ya international business.
 
mkuu goal yangu tangu mwanzo ilikuwa ni kuweka information sawa na sio kuhukumu moja kwa moja...sijui kosa ni la nani...Mh naibu wazir au bunge...na mheshimiwa hajadanganya wapiga kura yake kwani ana degree ya international business.

Utetezi mwingine uko kama utelezi....

Ana bachelors 2 kwenye vyuo vikuu visivyokuwepo.

[TABLE="class: cms_table"]
[TR]
[TD="bgcolor: #e9f0f0"]Waldorf University College(U.S.A)[/TD]
[TD="bgcolor: #e9f0f0"]BA (Business Administration)[/TD]
[TD="bgcolor: #e9f0f0"]1994[/TD]
[TD="bgcolor: #e9f0f0"]1996[/TD]
[TD="bgcolor: #e9f0f0"]GRADUATE[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #e9f0f0"]Wartburg University College (U.S.A)[/TD]
[TD="bgcolor: #e9f0f0"]BA. (International Business)[/TD]
[TD="bgcolor: #e9f0f0"]1996[/TD]
[TD="bgcolor: #e9f0f0"]1998[/TD]
[TD="bgcolor: #e9f0f0"]GRADUATE[/TD]
[/TR]
[/TABLE]


Ukiwa Muongo basi uwe unaweka kumbu kumbu.

Narudia tena hizo ni colleges NOT Universities kama alivyodanganya kwenye Tovuti za Bunge
 
Mkuu nashukuru kwa majibu. Kama ni hivyo then, ingekuwa vizuri aifahamishe ofisi ua Bunge warekebishe hayo maandishi kwenye tovuti yao. Labda nikuulize swali ambalo nimemwuliza, mkuu PhillipJohn lakini hajanijibu. Hiyo associate degree ya Waldorf aliisoma kama Residential (campus) program, online program au accelerated adult program?

Pia Mchungaji ame raise issue nyeti. Je kwenye process za kugombea ubunge, education qualifications zake alijaza kama nini?

mkuu...
hilo la Mheshimiwa kuandikia bunge ili kumbukumbu ziwekwe sawa nadhani ni jambo sahihi kufanya ili kuodoa utata...la kujua hiyo associate degree ya waldorf alisoma kama residential,online au accelerated adult program kwa kweli mie sijui.
ninachojua ni kwamba mheshimiwa alijihusisha sana na shughuli za ukwata wakati anasoma sekondari na nina amini ilisaidia kuapata admission waldorf kwa kuwa hiyo college ina affiliation za kidini.inawezekana walimpa kazi wakati yupo kule na akasoma accelerated adult program au full time.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Utetezi mwingine uko kama utelezi....

Ana bachelors 2 kwenye vyuo vikuu visivyokuwepo.

[TABLE="class: cms_table"]
[TR]
[TD="bgcolor: #e9f0f0"]Waldorf University College(U.S.A)[/TD]
[TD="bgcolor: #e9f0f0"]BA (Business Administration)[/TD]
[TD="bgcolor: #e9f0f0"]1994[/TD]
[TD="bgcolor: #e9f0f0"]1996[/TD]
[TD="bgcolor: #e9f0f0"]GRADUATE[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #e9f0f0"]Wartburg University College (U.S.A)[/TD]
[TD="bgcolor: #e9f0f0"]BA. (International Business)[/TD]
[TD="bgcolor: #e9f0f0"]1996[/TD]
[TD="bgcolor: #e9f0f0"]1998[/TD]
[TD="bgcolor: #e9f0f0"]GRADUATE[/TD]
[/TR]
[/TABLE]


Ukiwa Muongo basi uwe unaweka kumbu kumbu.

Nrudia tena hizo ni colleges NOT Universities kama alivyodanganya kwenye Tovuti za Bunge

mkuu nakubaliana nawe kwamba kuna makosa kwenye uandishi na hili latakiwa kubadilishwa kwenye tovuti ya bunge.kwanza la uandishi wa hivyo vyuo kama university colleges badala ya colleges then la kuandika bachelor degree ya business administration badala ya associate degree in business administration.
 
mkuu...
hilo la Mheshimiwa kuandikia bunge ili kumbukumbu ziwekwe sawa nadhani ni jambo sahihi kufanya ili kuodoa utata...la kujua hiyo associate degree ya waldorf alisoma kama residential,online au accelerated adult program kwa kweli mie sijui.
ninachojua ni kwamba mheshimiwa alijihusisha sana na shughuli za ukwata wakati anasoma sekondari na nina amini ilisaidia kuapata admission waldorf kwa kuwa hiyo college ina affiliation za kidini.inawezekana walimpa kazi wakati yupo kule na akasoma accelerated adult program au full time.

Mkuu kwenye post yako number 88 umesema wazi kuwa kozi zote zilikuwa accelerated programs. Naelewa accelerated format kwenye chuo husika allows working adults to complete their associate's degree in as little as two years. Lakini hiyo accelerated adult program ilikuwa designed as an "effort to address the educational needs of working adults in the North Iowa area." Kwenye CV yake inaonyesha kuwa alifanya kazi kwneye chuo hicho kama Student Service representative kuanzia mwaka 1994 hadi 1995 kabla ya kuajiriwa na Minneapolis Division One Corporation kama Staff - Technical Call Centre. Ninachojaribu kuangalia ni kwamba foreign students ambao ndio kwanza wameingia mchini Marekani kwa nia ya kusoma wanaweza kukubaliwa kusoma hiyo adult accelerated program? Hata kama wanaruhusiwa, ina maana by 1994 tayari Mheshimiwa alikuwa regarded as an "adult" for the purpose of the adult accelerated program?
 
HUYU JAMAA (LAZARO NYALANDU) NAMFAHAMU VIZURI KWANI NI MBUNGE WANGU. AMEWADANGANYA WAMAREKANI (wafadhili wake) KUWA YEYE NI RAIS MTARAJIWA NA WAMEKUWA WAKIMMWAGIA MAPENE KIBAO KWA MAANDALIZI, SIJUI ATAKUWA WA AWAMU IPI?

JIMBONI KWAKE NJAA TUPU WAPIGA KURA WAMECHOKA ILE MBAYA. WAKATI WA KAMPENI ANATUMIA DHIKI YA WAPIGA KURA KWA KUWAHONGA 'VIJISENTI' NA KUPATA USHINDI WA KISHINDO.

ALIAHIDI KUJENGA UWANJA WA NDEGE KIJIJINI (mtinko) na KUJENGA BARABARA YA LAMI KUTOKA SINGIDA MJINI HADI ILONGERO (km 22) kwa PESA ZAKE.

CHA KUSHANGAZA HAJAWAHI KUZUNGUMZIA MAENDELEO YA JIMBO LAKE KUPITIA BAJETI YA SERIKALI TANGU AINGIE BUNGENI MWAKA 1998.

ANAJIFANYA KUSOMESHA WATOTO WA KIKE LAKINI KWA MALENGO MAALUM. ASIPOFANIKIWA ANAWATOSA.

JAMAA ANAPENDA MISIFA ILE MBAYA. KWENYE SPEECH ZAKE KWA WAPIGA KURA WAKE ANAPIGA STORY ZA MAREKANI TU.

SIFA YAKE KUBWA KULIKO ZOTE ANAPENDA PRODUCTS ZA LUNDENGA ( MAMISS ) VIBAYA MNO.

NAJIANDAA KWENDA KUMNG'OA MWAKA 2015



Ukiwa tayari kwenda kum- Challenge usiache kutuhabarisha ili tukupe support mkuu.
 
mkuu...kama nilivyosema awali hiki chuo kina affiliation ya kidini na mheshimiwa alikuwa active sana kwenye issues za ukwata wakati yupo sekondari tz.nina imani kwamba alikwenda pale ili afanye asome na ili a a qualify kufanya accelerated program then akafanya kazi kwa kipindi hicho.ishu ya adult inatakiwa tuangalie kwa muktadha wa kinyumbani kwani kwa miaka ile sidhani kama mtu anaweza maliza A level akiwa below 20.na naamini anaingia kwenye kundi la adults.
Mkuu kwenye post yako number 88 umesema wazi kuwa kozi zote zilikuwa accelerated programs. Naelewa accelerated format kwenye chuo husika allows working adults to complete their associate's degree in as little as two years. Lakini hiyo accelerated adult program ilikuwa designed as an "effort to address the educational needs of working adults in the North Iowa area." Kwenye CV yake inaonyesha kuwa alifanya kazi kwneye chuo hicho kama Student Service representative kuanzia mwaka 1994 hadi 1995 kabla ya kuajiriwa na Minneapolis Division One Corporation kama Staff - Technical Call Centre. Ninachojaribu kuangalia ni kwamba foreign students ambao ndio kwanza wameingia mchini Marekani kwa nia ya kusoma wanaweza kukubaliwa kusoma hiyo adult accelerated program? Hata kama wanaruhusiwa, ina maana by 1994 tayari Mheshimiwa alikuwa regarded as an "adult" for the purpose of the adult accelerated program?
 
Lazaro Nyalandu ni shujaa. Amejenga jimbo lake kwa Moyo, kwa umakini, na kujituma. Amechaguliwa mara tatu akiwa na ushindi wa kweli
Na wa haki. Amesoma Kibaha Secondary School na kumaliza 1990. Alifaulu Division One. Alichaguliwa Ilboru Secondary School kwa
Form V na VI na alipata Division One! Yah alimaliza meals 1993, May. Namjua vizuri san a tangu Kibaha.
Lazaro alijiunga na Waldorf College iliyoko Forest City, Iowa September 1994 na kumaliza MAY 1996, na kuyunukiwa Associate Degree ya Business Adminsitration AA Degree, (Magna Cum Laude) with distinction!!!!! Wanafunzi 5 walichaguliwa
Kutoka Waldorf kwenda Italy na Greece kwa kufaulu Kwai, Kiwepo Lazaro Nyalandu, Matt Dew, Momo wa Liberia na winging watatu.
Wart burg College walimpa full scholarship akaanza September 1996 hadi May 1998. Alikamisha kiitwacho liberal arts system ya slimy ya
marekani na kuhitimu Bachelors of Arts, International Business. Baada ya hapo Lazaro alifanyankazi Minneapolis Norwest Bank NA na hatimaye alirudi Tanzania. The guy is smart na wengi wanamwonea wivu. Whatever that is meant to happen to an individual here on earth shall come to pass, regardless of what naive people would wish. Hope this helps as factual info on the topic.
kama u-smart ni ilboru, na mimi nilisoma pale pia, nikasoma university na nikiwa na miaka 29 nilishakua na shahada ya uzamili.....nadhani hoja ya msingi ya masa ni elimu alivyoiandika kwenye wasifu wake, na kujilimbikizia mali

tusizungukezunguke huku na kule, kuja na ID mpya yenye post moja nk, kudefend hoja

Kuna tatizo hapo kwa Lazaro, either wasfu au integrity yake, and it can be proven by the reaction... matusi, kejeli nk.

Sometimes huwa napata tabu sana kuelewa baadhi ya hoja... Hivi ninyi mnadhani Masa ni mtu wa diploma ya koleji sio??

Needs some serious stuff
 
Kwani kama alianza shule Januari 1994 na akamaliza December 1996, hiyo siyo miaka mitatu?. Msiwe mnafanya hesabu za kutoa, wakati mwwingine haziendi hivyo. Kwa mfumo wa marekani, inawezekana kabisa mtu kusoma double degree au akaanza kusoma degree nyingine wakati yuko mwaka wa mwisho wa shahada nyingine.
wewe ndo yule ninaemfahamu wa umeme au Mwingine!??
 
mkuu goal yangu tangu mwanzo ilikuwa ni kuweka information sawa na sio kuhukumu moja kwa moja...sijui kosa ni la nani...Mh naibu wazir au bunge...na mheshimiwa hajadanganya wapiga kura yake kwani ana degree ya international business.
anaitwa lazaro, haya ya kuita mh, mb nw etc aweza akawa yoyote hata vita kawawa

kukweza hukwaza
 
Tumewazoea hao! Hizi siku za Nnape zinahesabiwa kinyume nyume? Naona Chenge, Rostam na Lowassa wanacheka tu na commedy za Magamba

Hahahaha hao wanao itwa mafisadi na wa magamba ndo hao hao wanao fadhiri chama wakiwakimbiza akina Nape watakuwa hawaendi chooni
 
Sina tatizo na elimu yake ya sekondari. Alisoma shule nzuri na alifaulu vizuri. Makosa ambayo naamini siyo ya bahati mbaya,bali kukusudia ni pale anaposema amesoma Warbug University College badala ya Warbug college. Anapaswa asahihishe cv yake. Ni mwanasiasa kijana,huko mbele anaweza jikuta makosa kama haya yanamgharimu. Na haya makosa siyo yeye tu,ni kwa wanasiasa na watu wengi. Sijui kama kuna sheria yoyote inambana mtu anapodanganya kuhusu kiwango cha elimu yake! Kama hakuna, kwa upande wa viongozi wa siasa na serikali napendekeza taasisi zifuatazo zifanye kazi kwa karibu; Tume ya Maadili ya Viongozi,Utumishi, Tume ya Uchaguzi, Ofisi ya Bunge na Kamisheni ya Vyuo Vikuu (TCU). Zoezi ili linaweza anzia kwa kiongozi mwenye kiwango cha elimu ya diploma kupanda juu.
 
Natumaini hizo taasisi zote zikishirikiana,hatutaona makosa kama haya katika tovuti ya bunge. Wahusika wataelezwa wasahihishe makosa ya viwango vyao elimu kabla ya kuchapishwa. Mtu anasoma mpaka kiwango cha diploma anarudi Tanzania anasema ni degree. Lazima tabia hii ikomeshwe.
 
Na pia yupo kwenye list ya nyaturu mjinga kuliko wote,amebakia kuwa kichwa cha mafisadi,ndugu zake wako kwenye hali ngumu sana kimaisha,mke wake wa pili anaishi njiro,kwe kumba la kifahari,mme akija nikula bata na bitchez tu mitaa!!

MKUU SASA HUYU DADA TUSEME IMEKULA KWAKE AU............

https://www.jamiiforums.com/celebrities-forum/7548-mbunge-nyalandu-ndoa-na-faraja-kota.html

faraja-kota.jpg
front-page.jpg
 
Natumaini hizo taasisi zote zikishirikiana,hatutaona makosa kama haya katika tovuti ya bunge. Wahusika wataelezwa wasahihishe makosa ya viwango vyao elimu kabla ya kuchapishwa. Mtu anasoma mpaka kiwango cha diploma anarudi Tanzania anasema ni degree. Lazima tabia hii ikomeshwe.

Jamii na aina ya kina Nyalandu wapo wengi sana! Nalia na mfumo wetu wa Vetting ni kama uko likizo
 
hivi ni baadhi ya vijiji vya jimbo lamh nyalandu ambavyo kuna m2 amemtetea kwamba kaleta maendeleo.
mi sijui maendeleo ni nini kwani mahali kama hakuna barabara,maji shule na vituo vya afya labda watupe aina nyingine za maendeleo mimi nilikuwepo nyakati zote za kampeni.
kanga ,t shirt,pesa taslim 5000,10000 na baadhi ya masheikh kupelekwa makka ilikuwa kama kawa bila kusahau pipi kwa watoto jimbo zima na ilkuwa inazunguka kugawa landcruser ya ccm pale mkoani.
makuro,mdida,ilongero,ikiwu,mang;ombe,kisisi,mpipiti,mpambaa,minyenye,ughandi a,b,laghanida,misinko,malolo nk.
kama mnaona anaonewa wivu basi nchi imefika pabaya sana ila nawahakikishia katika watu wa kuchungwa ni pamoja na huyu mh.
binafsi sina shida na huyu bwana kwani hanijui ila iliniuma sana kwa nchi maskini kama tz na kwa kijana aliyetoka familia masikini kama yake anawezaje kuwanunua wananchi kama yeye hajanunuliwa kwanza.
kwenye masuala ya mahusiano sitaki kumjadili kwani hayo yanamhusu yeye na kuna viongozi wengi afrika wenye matatizo kama yake ila ni wazuri kwenye uongozi.
namalizia kwa kuweka wazi kuwa asiyemfahamu nyalandu hata kwa 20% asichangie iwe kwa kupinga au kwa kuunga mkono.
ila kwa kifupi is a smart and bright guy.
 
hivi ni baadhi ya vijiji vya jimbo lamh nyalandu ambavyo kuna m2 amemtetea kwamba kaleta maendeleo.
mi sijui maendeleo ni nini kwani mahali kama hakuna barabara,maji shule na vituo vya afya labda watupe aina nyingine za maendeleo mimi nilikuwepo nyakati zote za kampeni.
kanga ,t shirt,pesa taslim 5000,10000 na baadhi ya masheikh kupelekwa makka ilikuwa kama kawa bila kusahau pipi kwa watoto jimbo zima na ilkuwa inazunguka kugawa landcruser ya ccm pale mkoani.
makuro,mdida,ilongero,ikiwu,mang;ombe,kisisi,mpipiti,mpambaa,minyenye,ughandi a,b,laghanida,misinko,malolo nk.
kama mnaona anaonewa wivu basi nchi imefika pabaya sana ila nawahakikishia katika watu wa kuchungwa ni pamoja na huyu mh.
binafsi sina shida na huyu bwana kwani hanijui ila iliniuma sana kwa nchi maskini kama tz na kwa kijana aliyetoka familia masikini kama yake anawezaje kuwanunua wananchi kama yeye hajanunuliwa kwanza.
kwenye masuala ya mahusiano sitaki kumjadili kwani hayo yanamhusu yeye na kuna viongozi wengi afrika wenye matatizo kama yake ila ni wazuri kwenye uongozi.
namalizia kwa kuweka wazi kuwa asiyemfahamu nyalandu hata kwa 20% asichangie iwe kwa kupinga au kwa kuunga mkono.
ila kwa kifupi is a smart and bright guy
.

Aisee! Great thinker mwingine huyu
 
Back
Top Bottom