Mnyampaa
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 244
- 58
Jamani mtupe ya huko jimboni kuliko huyo mhe.anaendelea kuchaguliwa kwa awamu zote hiz?
Kumbe unataka kwenda kuchukuwa jimbo,sasa kama wananchi wanamchagua kwa story za wamarekani wewe utawambia story za wapi ili wakuchangue.
Sorry ntarudi baadaye kidogo kwa mifano.