Mnyampaa
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 244
- 58
hivi ni baadhi ya vijiji vya jimbo lamh nyalandu ambavyo kuna m2 amemtetea kwamba kaleta maendeleo.
mi sijui maendeleo ni nini kwani mahali kama hakuna barabara,maji shule na vituo vya afya labda watupe aina nyingine za maendeleo mimi nilikuwepo nyakati zote za kampeni.
kanga ,t shirt,pesa taslim 5000,10000 na baadhi ya masheikh kupelekwa makka ilikuwa kama kawa bila kusahau pipi kwa watoto jimbo zima na ilkuwa inazunguka kugawa landcruser ya ccm pale mkoani.
makuro,mdida,ilongero,ikiwu,mang;ombe,kisisi,mpipiti,mpambaa,minyenye,ughandi a,b,laghanida,misinko,malolo nk.
kama mnaona anaonewa wivu basi nchi imefika pabaya sana ila nawahakikishia katika watu wa kuchungwa ni pamoja na huyu mh.
binafsi sina shida na huyu bwana kwani hanijui ila iliniuma sana kwa nchi maskini kama tz na kwa kijana aliyetoka familia masikini kama yake anawezaje kuwanunua wananchi kama yeye hajanunuliwa kwanza.
kwenye masuala ya mahusiano sitaki kumjadili kwani hayo yanamhusu yeye na kuna viongozi wengi afrika wenye matatizo kama yake ila ni wazuri kwenye uongozi.
namalizia kwa kuweka wazi kuwa asiyemfahamu nyalandu hata kwa 20% asichangie iwe kwa kupinga au kwa kuunga mkono.
ila kwa kifupi is a smart and bright guy.
Mkuu nashukuru kwa kuyafungua haya. Nilitakiwa kutoa ushahidi wa haya baada ya kupost u$#&nzi wa huyu mbunge, umenisaidia