Mh Lazaro Samwel Nyalandu MP Singida Kaskazini

Rev Fr Masanilo; Ur simply preaching Crap!

Mkuu naona wewe unasaga na huyo jamaa na siyo issue nyingine. Unakataa nini sasa mtu kumaliza course za miaka mitatu 1994-1996 kama kwenye mwaka kuna mihura 3? Issue yangu ni kumaliza shule kwa huo mdaa 1994-96 na siyo ufisadi wake. Kwenye RED hapo yanatoka wapi hayo sasa? Tupo hapa jamvini kuelimishana pale tuonapo jambo haliko sawa, toa counter argument na siyo kujibu kwa jaziba.

Waldorf College September 1994 - May 1996 (Associate Degree Business Adminstration)
Wartburg College September 1996 - May 1998 (Bachellor Degree, International Business)

BTW Associate degree ni kigezo kimojawapo cha kufanya degree. Unaweza kusoma associate degree ndani ya miaka miwili ukamaliza na mwaka huo wa mwisho ukaaply kwenda kumalizia degree yako ya miaka miwili. Ikumbukwe kuwa, kwa US degree ya kwanza ina wastani wa miaka 4. Miaka 2 unasoma associate degree na 2 unaenda university kumalizia degree.
 
Waungwana wana JF
Nimesoma kwa utulivu usio na shaka juu ya thread hii ya Mh. Lazaro Nyarandu Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara (MB). Ni kweli kwamba mtumishi yeyote wa umma asiyewajibika ni mzigo si tu kwa taifa hili bali kuanzia katika familia yake; ukoo wake kasia yake na jimbo lake na mwisho kwa taifa lake.

Ni ukweli ulio wazi kwamba Mh. Lazaro Nyarandu ni miongoni mwa wabunge Vijana na Mawaziri Vijana (Akiwa Wziri mdogo katika viwanda na biashara). Uwakilishi wake kwa jimbo la Singida Kskazini haukuanza mwaka 2010 alipopewa dhamana ya wizara bali ulianza nyuma kidogo mwaka 2000 wakati wa Urais wa Mheshimiwa sana Benjamin Willim Mkapa.

Nyalandu alikuwa ni mbunge kijana makini na ameendelea kuwa hivyo (kwa ufaham wangu). Leo linapoibuka suala la ubadhilifu na ufisdini lazima wenye akili tulisemee.

Nimesoma thread zote za wachangiaji, zaidi nimeona hawana la kuchangia zaidi ya kujiuliza yale yale; Hebu nyie wapiga kampeni msio na mwelekeo eleweni; elimu ya Marekani si kama ya Tanzania ambayo magumashi ni mengi kuliko uwezo wa kutoa elimu yenyewe. Sisi tunaenda kusoma huko lakini wao hawaji huku, wanatulipia na ghalama ya kusoma siyo siye hatuwezi hata kulipia watoto wetu. Kuhoji uwezo wa mtu ni kuhoji ujinga.

Mheshimiwa Lazarus Nyalandu ni msomi wa elimu ya wastani (Shahada) lakini ni msomi mwenye uwezo wa juu (KIPAJI MAALUM); Hebu angalia elimu yake (Kwa maana ilinilazimu niangalie shule alizosoma na kujua ni wapi na wapi alipita na kwa bahati mbaya au nzuri pale Ilboru alisoma na ndugu yangu mmoj)

Kwa kuangalia uwezo Kibaha secondary School 1987 DIVISION I
Ilboru High School 1993 DIVISION I

Waldorf College September 1994 - May 1996 (Associate Degree Business Adminstration)
Wartburg College September 1996 - May 1998 (Bachellor Degree, International Business)

Ukiangalia hapa hakuna kujiuliza labda nyingine eti ilikuwa ni masters no; ni associate degree, sasa wenzetu wana mfumo gani kwa mtu mwenye associate degree, tafuta ujue ili uache kuropoka kabla hujajua.

Tuache kufikiria kwa kutumia matumbo; tuache kufikiria kwa akili za wengine; tuache majungu; tuache unafiki kila mmoja kwa wakati wake anaweza kuwa anavyotaka isipokuwa tu afanye kazi aache majungu

Tuje kwenye Uwakilishi; Hivi Nyalandu ni mbunge wa vijana wa Tanzania au Mbunge wa Singida? Wabunge wa vijana wapo, na kama kuna mtu anadhani huyu jamaa ameshindwa kazi basi amshitaki kwa watu wke Singida na si kumshitaki JF kwa maana JF haina kura yake.

Tuhuma za umiliki wa mali; Watanzania hasma vijana tuache majungu; nadhani JF inakosa sifa ya kuwa forum ya critical thinki bali ni critical sinking kwa maana nadhani hii imekuwa forum ya defermation. Huyu aliyeleta hii mada kwenye hii forum na tumhuma zote hizi ni lazima awe mtu wa karibu sana na LN kwa maana zifuatazo
ama; ni partner wa biashara zake
ama; ni ndugu wa karibu
ama; ni mshindani katika biashara zake
ama; ni mdaiwa wa biashara zake
ama ni mwizi wa kampuni yake
ama; ni kibarua a.k.a. mfanayakazi katika makampuni yake
ama; ni shemeji yake

How come ajue kwamba lazaro Nyalandu ana makapuni na maeandikisha ndugu zake?
How come ajue kama ana makampuni ya ujenzi w barabara? Kweli umbumbumbu huu, hakuna kampuni inyoanzishwa kwa ujenzi wa barabara bali ni kwa kazi za uhandisi na ujenzi wa barabara nis ehemu ya kazi zake. Haya majungu Vijana wa CHADUMU hamfiki mbali.

Mi napendekeza; Huyo anayeyajua hayo makampuni ayataje kwa majina hapa na ayataje yamesajiliwa mkoa gani na kwa usajiliupi wa BRELA na majina ya ndugu zake waliomilikishwa ili tuwe wazi hapa, tuache majungu jamani. Upumbavu wa wanasiasa wajinga kama hawa wanaoanzisha thread kama hizi JF ni kutazama vitu badala ya hoja za msingi. Ni watu wanaopotosha umma kwa faida binfsi na kwa bahati mbaya faida yenyewe ni ndogo. Kama mmeanza kampeni za 2015 semeni ili tujue, mmetumwa nini?

JF ilipoteza mwelekeo zamani sana baad ya kuamua kujipambanua kuwa ni kwa ajili ya kusapoti majungu. Ukisoma thread nyingi zinaonyesha ukiwa humu lazima usapoti CHADUMU (WAZEE WA MISIBA NA MAOMBOLEZO)

Hizi ni siasa za maji taka na kama nchi inatakwa kuwa hivi basi hakuna kijana mweneye mwelekeo. Ipo siku hakutakalika humu JF. Na yeyote anayedhani ana hoja sana ya kushawishi umma kinyume na haya nayosema aandike hapa na aombe audience nami.

MUNGU IBRIKI TANZANIA
Thanks Lazaro...
 
Nimesoma thread zote za wachangiaji, zaidi nimeona hawana la kuchangia zaidi ya kujiuliza yale yale; Hebu nyie wapiga kampeni msio na mwelekeo eleweni; elimu ya Marekani si kama ya Tanzania ambayo magumashi ni mengi kuliko uwezo wa kutoa elimu yenyewe. Sisi tunaenda kusoma huko lakini wao hawaji huku, wanatulipia na ghalama ya kusoma siyo siye hatuwezi hata kulipia watoto wetu. Kuhoji uwezo wa mtu ni kuhoji ujinga.

Kwa kuangalia uwezo Kibaha secondary School 1987 DIVISION I

Ilboru High School 1993 DIVISION I

Waldorf College September 1994 - May 1996 (Associate Degree Business Adminstration)
Wartburg College September 1996 - May 1998 (Bachellor Degree, International Business)

Tuache kufikiria kwa kutumia matumbo; tuache kufikiria kwa akili za wengine; tuache majungu; tuache unafiki kila mmoja kwa wakati wake anaweza kuwa anavyotaka isipokuwa tu afanye kazi aache majungu

Tuhuma za umiliki wa mali; Watanzania hasma vijana tuache majungu; nadhani JF inakosa sifa ya kuwa forum ya critical thinki bali ni critical sinking kwa maana nadhani hii imekuwa forum ya defermation. Huyu aliyeleta hii mada kwenye hii forum na tumhuma zote hizi ni lazima awe mtu wa karibu sana na LN kwa maana zifuatazo
ama; ni partner wa biashara zake
ama; ni ndugu wa karibu
ama; ni mshindani katika biashara zake
ama; ni mdaiwa wa biashara zake
ama ni mwizi wa kampuni yake
ama; ni kibarua a.k.a. mfanayakazi katika makampuni yake
ama; ni shemeji yake

How come ajue kwamba lazaro Nyalandu ana makapuni na maeandikisha ndugu zake?
How come ajue kama ana makampuni ya ujenzi w barabara? Kweli umbumbumbu huu, hakuna kampuni inyoanzishwa kwa ujenzi wa barabara bali ni kwa kazi za uhandisi na ujenzi wa barabara nis ehemu ya kazi zake. Haya majungu Vijana wa CHADUMU hamfiki mbali.

Mi napendekeza; Huyo anayeyajua hayo makampuni ayataje kwa majina hapa na ayataje yamesajiliwa mkoa gani na kwa usajiliupi wa BRELA na majina ya ndugu zake waliomilikishwa ili tuwe wazi hapa, tuache majungu jamani. Upumbavu wa wanasiasa wajinga kama hawa wanaoanzisha thread kama hizi JF ni kutazama vitu badala ya hoja za msingi. Ni watu wanaopotosha umma kwa faida binfsi na kwa bahati mbaya faida yenyewe ni ndogo. Kama mmeanza kampeni za 2015 semeni ili tujue, mmetumwa nini?

JF ilipoteza mwelekeo zamani sana baad ya kuamua kujipambanua kuwa ni kwa ajili ya kusapoti majungu. Ukisoma thread nyingi zinaonyesha ukiwa humu lazima usapoti CHADUMU (WAZEE WA MISIBA NA MAOMBOLEZO)

Hizi ni siasa za maji taka na kama nchi inatakwa kuwa hivi basi hakuna kijana mweneye mwelekeo. Ipo siku hakutakalika humu JF. Na yeyote anayedhani ana hoja sana ya kushawishi umma kinyume na haya nayosema aandike hapa na aombe audience nami.

MUNGU IBRIKI TANZANIA

Majibu mepesi kwenye maswali mazito! Lazima tuhoji huyu ni mwajiliwa wa kodi zetu. Zile zama za kuwa oppressed bila kuwa na sababu za kuhoji mfumo huo umekwisha.

Angalia unavyojichanganya

Kwa kuangalia uwezo Kibaha secondary School 1987 DIVISION I

Ilboru High School 1993 DIVISION I

Hahahahaah rudi kwenye data uje na ukweli.

Ameandika amesoma University zisizo kuwepo hizo ni college mkuu! Tumesoma Marekani tunajua mfumo wao wa elimu ndiyo sababu tuna hoji. Kujilimbikizia mali kama unafikiri kuna mgongano wa maslahi na LN umewash out big time. Tunataka viongozi waandilfu ujanja ujanja na kuishi kimjini mjini tufikie mwisho kama taifa. Bila shaka mwenyewe anajua ukweli.
 
Lazaro Nyalandu ni shujaa. Amejenga jimbo lake kwa Moyo, kwa umakini, na kujituma. Amechaguliwa mara tatu akiwa na ushindi wa kweli
Na wa haki. Amesoma Kibaha Secondary School na kumaliza 1990. Alifaulu Division One. Alichaguliwa Ilboru Secondary School kwa
Form V na VI na alipata Division One! Yah alimaliza meals 1993, May. Namjua vizuri san a tangu Kibaha.
Lazaro alijiunga na Waldorf College iliyoko Forest City, Iowa September 1994 na kumaliza MAY 1996, na kuyunukiwa Associate Degree ya Business Adminsitration AA Degree, (Magna Cum Laude) with distinction!!!!! Wanafunzi 5 walichaguliwa
Kutoka Waldorf kwenda Italy na Greece kwa kufaulu Kwai, Kiwepo Lazaro Nyalandu, Matt Dew, Momo wa Liberia na winging watatu.
Wart burg College walimpa full scholarship akaanza September 1996 hadi May 1998. Alikamisha kiitwacho liberal arts system ya slimy ya
marekani na kuhitimu Bachelors of Arts, International Business. Baada ya hapo Lazaro alifanyankazi Minneapolis Norwest Bank NA na hatimaye alirudi Tanzania. The guy is smart na wengi wanamwonea wivu. Whatever that is meant to happen to an individual here on earth shall come to pass, regardless of what naive people would wish. Hope this helps as factual info on the topic.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Lazaro Nyalandu ni shujaa. Amejenga jimbo lake kwa Moyo, kwa umakini, na kujituma. Amechaguliwa mara tatu akiwa na ushindi wa kweli
Na wa haki. Amesoma Kibaha Secondary School na kumaliza 1990. Alifaulu Division One. Alichaguliwa Ilboru Secondary School kwa
Form V na VI na alipata Division One! Yah alimaliza meals 1993, May. Namjua vizuri san a tangu Kibaha.
Lazaro alijiunga na Waldorf College iliyoko Forest City, Iowa September 1994 na kumaliza MAY 1996, na kuyunukiwa Associate Degree ya Business Adminsitration AA Degree, (Magna Cum Laude) with distinction!!!!! Wanafunzi 5 walichaguliwa
Kutoka Waldorf kwenda Italy na Greece kwa kufaulu kwai Kiwepo Lazaro Nyalandu, Matt Dew, Momo wa Liberia na winging watatu.
Wart burg College walimpa full scholarship akaanza September 1996 hadi May 1998. Alikamisha kiitwacho liberal arts system ya slimy ya
marekani na kuhitimu Bachelors of Arts, International Business. Baada ya hapo Lazaro alifanyankazi Minneapolis Norwest Bank NA na hatimaye alirudi Tanzania. The guy is smart na wengi wanamwonea wivu. Whatever that is meant to happen to an individual here on earth shall come to pass, regardless of what naive people would wish. Hope this helps as factual info on the topic.

Thank you

Sisi wenye akili tunasoma maandiko ya ukutani

PhilipJohn
Join Date : 11th July 2011
Posts : 1

Picture+535.jpg
 
Lazaro Nyalandu ni shujaa. Amejenga jimbo lake kwa Moyo, kwa umakini, na kujituma. Amechaguliwa mara tatu akiwa na ushindi wa kweli
Na wa haki. Amesoma Kibaha Secondary School na kumaliza 1990. Alifaulu Division One. Alichaguliwa Ilboru Secondary School kwa
Form V na VI na alipata Division One! Yah alimaliza meals 1993, May. Namjua vizuri san a tangu Kibaha.
Lazaro alijiunga na Waldorf College iliyoko Forest City, Iowa September 1994 na kumaliza MAY 1996, na kuyunukiwa Associate Degree ya Business Adminsitration AA Degree, (Magna Cum Laude) with distinction!!!!! Wanafunzi 5 walichaguliwa
Kutoka Waldorf kwenda Italy na Greece kwa kufaulu Kwai, Kiwepo Lazaro Nyalandu, Matt Dew, Momo wa Liberia na winging watatu.
Wart burg College walimpa full scholarship akaanza September 1996 hadi May 1998. Alikamisha kiitwacho liberal arts system ya slimy ya
marekani na kuhitimu Bachelors of Arts, International Business. Baada ya hapo Lazaro alifanyankazi Minneapolis Norwest Bank NA na hatimaye alirudi Tanzania. The guy is smart na wengi wanamwonea wivu. Whatever that is meant to happen to an individual here on earth shall come to pass, regardless of what naive people would wish. Hope this helps as factual info on the topic.

Karibu sana JF mkuu!!
 
Waungwana wana JF
Nimesoma kwa utulivu usio na shaka juu ya thread hii ya Mh. Lazaro Nyarandu Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara (MB). Ni kweli kwamba mtumishi yeyote wa umma asiyewajibika ni mzigo si tu kwa taifa hili bali kuanzia katika familia yake; ukoo wake kasia yake na jimbo lake na mwisho kwa taifa lake.

Ni ukweli ulio wazi kwamba Mh. Lazaro Nyarandu ni miongoni mwa wabunge Vijana na Mawaziri Vijana (Akiwa Wziri mdogo katika viwanda na biashara). Uwakilishi wake kwa jimbo la Singida Kskazini haukuanza mwaka 2010 alipopewa dhamana ya wizara bali ulianza nyuma kidogo mwaka 2000 wakati wa Urais wa Mheshimiwa sana Benjamin Willim Mkapa.

Nyalandu alikuwa ni mbunge kijana makini na ameendelea kuwa hivyo (kwa ufaham wangu). Leo linapoibuka suala la ubadhilifu na ufisdini lazima wenye akili tulisemee.

Nimesoma thread zote za wachangiaji, zaidi nimeona hawana la kuchangia zaidi ya kujiuliza yale yale; Hebu nyie wapiga kampeni msio na mwelekeo eleweni; elimu ya Marekani si kama ya Tanzania ambayo magumashi ni mengi kuliko uwezo wa kutoa elimu yenyewe. Sisi tunaenda kusoma huko lakini wao hawaji huku, wanatulipia na ghalama ya kusoma siyo siye hatuwezi hata kulipia watoto wetu. Kuhoji uwezo wa mtu ni kuhoji ujinga.

Mheshimiwa Lazarus Nyalandu ni msomi wa elimu ya wastani (Shahada) lakini ni msomi mwenye uwezo wa juu (KIPAJI MAALUM); Hebu angalia elimu yake (Kwa maana ilinilazimu niangalie shule alizosoma na kujua ni wapi na wapi alipita na kwa bahati mbaya au nzuri pale Ilboru alisoma na ndugu yangu mmoj)

Kwa kuangalia uwezo Kibaha secondary School 1987 DIVISION I
Ilboru High School 1993 DIVISION I

Waldorf College September 1994 - May 1996 (Associate Degree Business Adminstration)
Wartburg College September 1996 - May 1998 (Bachellor Degree, International Business)

Ukiangalia hapa hakuna kujiuliza labda nyingine eti ilikuwa ni masters no; ni associate degree, sasa wenzetu wana mfumo gani kwa mtu mwenye associate degree, tafuta ujue ili uache kuropoka kabla hujajua.

Tuache kufikiria kwa kutumia matumbo; tuache kufikiria kwa akili za wengine; tuache majungu; tuache unafiki kila mmoja kwa wakati wake anaweza kuwa anavyotaka isipokuwa tu afanye kazi aache majungu

Tuje kwenye Uwakilishi; Hivi Nyalandu ni mbunge wa vijana wa Tanzania au Mbunge wa Singida? Wabunge wa vijana wapo, na kama kuna mtu anadhani huyu jamaa ameshindwa kazi basi amshitaki kwa watu wke Singida na si kumshitaki JF kwa maana JF haina kura yake.

Tuhuma za umiliki wa mali; Watanzania hasma vijana tuache majungu; nadhani JF inakosa sifa ya kuwa forum ya critical thinki bali ni critical sinking kwa maana nadhani hii imekuwa forum ya defermation. Huyu aliyeleta hii mada kwenye hii forum na tumhuma zote hizi ni lazima awe mtu wa karibu sana na LN kwa maana zifuatazo
ama; ni partner wa biashara zake
ama; ni ndugu wa karibu
ama; ni mshindani katika biashara zake
ama; ni mdaiwa wa biashara zake
ama ni mwizi wa kampuni yake
ama; ni kibarua a.k.a. mfanayakazi katika makampuni yake
ama; ni shemeji yake

How come ajue kwamba lazaro Nyalandu ana makapuni na maeandikisha ndugu zake?
How come ajue kama ana makampuni ya ujenzi w barabara? Kweli umbumbumbu huu, hakuna kampuni inyoanzishwa kwa ujenzi wa barabara bali ni kwa kazi za uhandisi na ujenzi wa barabara nis ehemu ya kazi zake. Haya majungu Vijana wa CHADUMU hamfiki mbali.

Mi napendekeza; Huyo anayeyajua hayo makampuni ayataje kwa majina hapa na ayataje yamesajiliwa mkoa gani na kwa usajiliupi wa BRELA na majina ya ndugu zake waliomilikishwa ili tuwe wazi hapa, tuache majungu jamani. Upumbavu wa wanasiasa wajinga kama hawa wanaoanzisha thread kama hizi JF ni kutazama vitu badala ya hoja za msingi. Ni watu wanaopotosha umma kwa faida binfsi na kwa bahati mbaya faida yenyewe ni ndogo. Kama mmeanza kampeni za 2015 semeni ili tujue, mmetumwa nini?

JF ilipoteza mwelekeo zamani sana baad ya kuamua kujipambanua kuwa ni kwa ajili ya kusapoti majungu. Ukisoma thread nyingi zinaonyesha ukiwa humu lazima usapoti CHADUMU (WAZEE WA MISIBA NA MAOMBOLEZO)

Hizi ni siasa za maji taka na kama nchi inatakwa kuwa hivi basi hakuna kijana mweneye mwelekeo. Ipo siku hakutakalika humu JF. Na yeyote anayedhani ana hoja sana ya kushawishi umma kinyume na haya nayosema aandike hapa na aombe audience nami.

MUNGU IBRIKI TANZANIA

Mkuu naona tubase zaidi kwenye elimu ya Mheshimiwa. Hayo mambo mengine uliyotataja, yanahitaji thread nyingine. Lets concentrates on his education. Inawezekana ana skills za uongozi, b'se alishawahi kuwa kiongozi wa UKWATA mwaka 1993. Lakini kinachojadiliwa hapa ni elimu yake Marekani.
 
Lazaro Nyalandu ni shujaa. Amejenga jimbo lake kwa Moyo, kwa umakini, na kujituma. Amechaguliwa mara tatu akiwa na ushindi wa kweli
Na wa haki. Amesoma Kibaha Secondary School na kumaliza 1990. Alifaulu Division One. Alichaguliwa Ilboru Secondary School kwa
Form V na VI na alipata Division One! Yah alimaliza meals 1993, May. Namjua vizuri san a tangu Kibaha.
Lazaro alijiunga na Waldorf College iliyoko Forest City, Iowa September 1994 na kumaliza MAY 1996, na kuyunukiwa Associate Degree ya Business Adminsitration AA Degree, (Magna Cum Laude) with distinction!!!!! Wanafunzi 5 walichaguliwa
Kutoka Waldorf kwenda Italy na Greece kwa kufaulu Kwai, Kiwepo Lazaro Nyalandu, Matt Dew, Momo wa Liberia na winging watatu.
Wart burg College walimpa full scholarship akaanza September 1996 hadi May 1998. Alikamisha kiitwacho liberal arts system ya slimy ya
marekani na kuhitimu Bachelors of Arts, International Business. Baada ya hapo Lazaro alifanyankazi Minneapolis Norwest Bank NA na hatimaye alirudi Tanzania. The guy is smart na wengi wanamwonea wivu. Whatever that is meant to happen to an individual here on earth shall come to pass, regardless of what naive people would wish. Hope this helps as factual info on the topic.

Mkuu noana hii ndio post yako ya kwanza kabisa. Whether or not umeamua ku register leo kwa ajili ya hii thead karibu sana. Nashukuru unamjua vizuri sana Mheshimiwa tokea akiwa Kibaha. Kwa mantiki hii, utakuwa ulikuwa nae Iliboru na uliongozana nae alipokwenda Marekani. Pia inaonyesha kama vile mlisoma wote darasa moja huko Marekani b'se unawajua mpaka class mates wake. Unanikumbusha jinsi Field Marshal ES anavyomjua Mzee Malecela.

Kwa vile unamjua Mheshimiwa ndani na nje kama ulivyokiri mwenyewe, naomba nikuulize swali. Programs za Waldorf zimegawanyika kwenye makundi matatu ambayo ni residential (on campus) programs, online degree programs na adult evening degree program. Je, degree ya Mheshimiwa akiwa Waldorf ilikuwa ni residential (on campus) program, online degree program au adult evening degree program? Dhumuni la hili swali ni kujaribu kunarrow down hii issue.
 
Mkuu post yako ina raise more questions, than trying to clarify. According to Wardorf, accelerated adult degree programs addresses "the educational needs of working adults in the North Iowa area. The program is designed to provide adults the opportunity to complete their associate in arts degree and their bachelor of arts degree in business in the evening. Normally classes meet twice a week during four ten-week terms each year. This accelerated format allows working adults to complete their associate's degree in as little as two years and their bachelor's degree in business in four to five years."

Tofautisha hapo kati ya "associate's degree in as little as two years" na "bachelor's degree in business in four to five years." Kama ilikuwa sio business related degree angeimaliza ndani ya miaka miwili. Lakini kwa vile degree yake ilikuwa ni business related, i.e, business admininistration, na aliisoma as accelerated program, then angeimaliza baada ya miaka minne. Sijui umenipata hapo? Pili accelerated degree zimelengwa kwa "working adult". Je, wakati huo yeye alikuwa ni "working adult"? If so, kwenye CV yake inaonyesha kati ya mwaka 1994 na 1996 alikuwa anafanya kazi wapi?

Lakini the biggest issue ni kuwa ilikuwaje akakubaliwa kusoma accelerated programs? Tena kwenye vyuo viwili? As far as I know, he should have been admitted as an international student unless alikuwa pia raia wa Marekani.

Halafu hiyo degree ya Watburg, yeye anasema ni BA (Business Administration). Wewe unasema bachelor degree in international business. Hakuna tofauti hapo? Au una maana ali major kwenye international business?


mkuu kumbuka kwamba hapa tunazungumzia wardorf ya 1994 na sidhani kama twaweza pata info zake kwenye web ya chuo so siwezi kuwa na uhakika associate degree target group yake ilikuwa ni kundi gani kwa kipindi hicho...na kwa uzoefu wangu associate degree ni miaka miwili na zinasifa ya kuwa transferable.lakini pia mh Nyalandu amefanya kazi US japo sina data kama wakati anasoma alikuwa anafanya kazi.
la msingi ni kutambua kwamba alisoma associate degree na ikawa kigezo cha kufanya bachelor...ni vyema kujua kwa undani zaidi kabla ya kuhukumu na nina amini ndio u great thinking ulipo.
hayo ya kuandika university college nadhani yatakuwa makosa tu ya uchapaji ila tumeona kuwa vyuo hivyo viwili vina sifa ya kutoa degree programs.
 
mkuu kumbuka kwamba hapa tunazungumzia wardorf ya 1994 na sidhani kama twaweza pata info zake kwenye web ya chuo so siwezi kuwa na uhakika associate degree target group yake ilikuwa ni kundi gani kwa kipindi hicho...na kwa uzoefu wangu associate degree ni miaka miwili na zinasifa ya kuwa transferable.lakini pia mh Nyalandu amefanya kazi US japo sina data kama wakati anasoma alikuwa anafanya kazi.
la msingi ni kutambua kwamba alisoma associate degree na ikawa kigezo cha kufanya bachelor...ni vyema kujua kwa undani zaidi kabla ya kuhukumu na nina amini ndio u great thinking ulipo. hayo ya kuandika university college nadhani yatakuwa makosa tu ya uchapaji ila tumeona kuwa vyuo hivyo viwili vina sifa ya kutoa degree programs.

Mkuu,

Sio kwamba nina nia mbaya na Mheshimiwa ila kama mmoja wa mtu ninayemlipa mshahara na posho zake nina haki ya kujua qualifications zake. Kwenye tovuti ya bunge ameandika amesoma Waldorf University College na Wartburg University College wakati yeye amesoma Wartburg College na Waldorf College. Registry ya vyuo vya Marekani haina vyuo vyenye majina "Waldorf University College" na "Wartburg University College." Nashukuru umelitambua hilo. Kama uko karibu naye mshauri either abadilishe na kuweka colleges halisi alizosoma, otherwise akija mpinzani makini 2015, anaweza kumbana kwenye hii issue ya majina ya vyuo alivyosoma.

Kitu kingine huwa kuna watu wanaojaribu kupotosha kuwa associate degree na bachelor degree kuwa ziko level moja. Kuna watu wanaenda kusoma associate degree Marekani halafu wakirudi bongo wanasema eti walienda kusoma a bachelor degree. Kuna tofauti kati ya associate degree na bachelor degree. Ni sawa na associate professor and professor. Ukiangalia kwenye website ya Bunge, level ya degree yake ya Walforf ameweka kama "Graduate." Nafikiri kuna makosa pale. kwa nini asingeweka tuu "Associate"? Sijui kama ameandika vile innocently or with the intention to misled, lakini sidhani kama ni sahihi.

Marekani, associates degree zinatolewa na community colleges, junior colleges, technical colleges na baadhi universities baada ya kumaliza kozi ya miaka miwili. Bachelor degree ni miaka minne au zaidi. Kwa maana nyingine, associate degree ni equivalent ya miaka miwili ya mwanzo ya degree ya miaka minnne Marekani. Nakubaliana na wewe kuwa baada ya kupata associate degree then, unaweza ku transfer kwenye chuo kinachotoa bachelor degree ya miaka minne to complete the requirements for a bachelor degree. Wengine wanaamua kuishia kwenye associate degree na kutafuta kazi.

Kwa maneno mengine, associate degree ni half way ya bachelor degree. Je, Mheshimiwa alipoenda Wartburg ali transfer degree yake ya associate kuwa bachelor degree? If that is the case, then hapo nitaelewa. Lakini kwa nini kwenye tovuti ya bunge, degree yake ya Waldorf anaiita BA (Bachelor of Arts) wakati ni A.A (Associate in Arts)? Kama kweli ali transfer kwa nini kwenye degree asiandike tuu A.A. Why B.A? Pia kwenye sehemu ya Level, kwa nini asiandike Associate? Why Graduate? Huoni hapo kama kuna upotashaji? Angalia mwenyewe: http://www.bunge.go.tz/bunge/mpcv.php?PTerm=2005-2010&vpkey=211

Mkuu naamini unajua kabisa kuwa Associate Degree is the lowest in the hierarchy of post-secondary academic degrees offered in the United States. Yaani iko chini ya Bachelor Degree kwenye hierarchy. Kwa kulinganisha, Associate degree ya Marekani ni sawa na Higher National Diploma (HND) ya Uingereza. HND iko chini ya bachelor degree. Ukiwa na HND inabidi uende university mwaka mmoja ili upate bachelor degree. Hapa tofautisha kati ya HND na foundational degree. Foundational degree ni work based, wakati HND sio.
 
mandezi wengine utafikiri wote kwao ni moshi...lami mpaka vijijini etc, huyu jamaa unlike wanyaturu wengi, kafanya jitihada sana za kuendeleza kwao, mkoa wa singida kutoka kwenye umaskini uliopo unahitaji efforts za hawa wanayaturu wote waliojazana dar-es-salaam na kwingineko wanaosubiri kutia aibu wakati wa mazishi yao huko vijijini mwao. stop kuosha vinywa, ukweli usemwe unapoonekana, kama ana hitilafu nyingine yawezekana but jimboni kwake amejitahidi mno

Mkuu hapa hatuangalii amefanya nini jimbo kwake. Tunaangalia elimu yake hasa ya huko Marekani. Mimi namwangalia kama naibu waziri katika serikali ya Tanzania, na sio bunge wa jimbo fulani huko Singida.
 
mie nilidhani jf ni home of great thinkers!

It depends how you see it? Kama wewe unaona ni sawa kuilinganisha Associate Degree (A.A) na Bachelor Degree (B.A), then hutaiona JF as the home of great thinker. After all, you don't need to be a great thinker in order to dare to talk openly. Do you?
 
Mkuu,

Sio kwamba nina nia mbaya na Mheshimiwa ila kama mmoja wa mtu ninayemlipa mshahara na posho zake nina haki ya kujua qualifications zake. Kwenye tovuti ya bunge ameandika amesoma Waldorf University College na Wartburg University College wakati yeye amesoma Wartburg College na Waldorf College. Registry ya vyuo vya Marekani haina vyuo vyenye majina "Waldorf University College" na "Wartburg University College." Nashukuru umelitambua hilo. Kama uko karibu naye mshauri either abadilishe na kuweka colleges halisi alizosoma, otherwise akija mpinzani makini 2015, anaweza kumbana kwenye hii issue ya majina ya vyuo alivyosoma.

Kitu kingine huwa kuna watu wanaojaribu kupotosha kuwa associate degree na bachelor degree kuwa ziko level moja. Kuna watu wanaenda kusoma associate degree Marekani halafu wakirudi bongo wanasema eti walienda kusoma a bachelor degree. Kuna tofauti kati ya associate degree na bachelor degree. Ni sawa na associate professor and professor. Ukiangalia kwenye website ya Bunge, level ya degree yake ya Walforf ameweka kama "Graduate." Nafikiri kuna makosa pale. kwa nini asingeweka tuu "Associate"? Sijui kama ameandika vile innocently or with the intention to misled, lakini sidhani kama ni sahihi.

Marekani, associates degree zinatolewa na community colleges, junior colleges, technical colleges na baadhi universities baada ya kumaliza kozi ya miaka miwili. Bachelor degree ni miaka minne au zaidi. Kwa maana nyingine, associate degree ni equivalent ya miaka miwili ya mwanzo ya degree ya miaka minnne Marekani. Nakubaliana na wewe kuwa baada ya kupata associate degree then, unaweza ku transfer kwenye chuo kinachotoa bachelor degree ya miaka minne to complete the requirements for a bachelor degree. Wengine wanaamua kuishia kwenye associate degree na kutafuta kazi.

Kwa maneno mengine, associate degree ni half way ya bachelor degree. Je, Mheshimiwa alipoenda Wartburg ali transfer degree yake ya associate kuwa bachelor degree? If that is the case, then hapo nitaelewa. Lakini kwa nini kwenye tovuti ya bunge, degree yake ya Waldorf anaiita BA (Bachelor of Arts) wakati ni A.A (Associate in Arts)? Kama kweli ali transfer kwa nini kwenye degree asiandike tuu A.A. Why B.A? Pia kwenye sehemu ya Level, kwa nini asiandike Associate? Why Graduate? Huoni hapo kama kuna upotashaji? Angalia mwenyewe: Parliament of Tanzania

Mkuu naamini unajua kabisa kuwa Associate Degree is the lowest in the hierarchy of post-secondary academic degrees offered in the United States. Yaani iko chini ya Bachelor Degree kwenye hierarchy. Kwa kulinganisha, Associate degree ya Marekani ni sawa na Higher National Diploma (HND) ya Uingereza. HND iko chini ya bachelor degree. Ukiwa na HND inabidi uende university mwaka mmoja ili upate bachelor degree. Hapa tofautisha kati ya HND na foundational degree. Foundational degree ni work based, wakati HND sio.


mkuu...
umeeleza vyema na ninakubaliana nawe kwa kiasi kikubwa...kama nilieleza hapo mwanzo ni kwamba Mh Nyalandu alisoma associate degree kwa miaka miwili waldorf sep 1994 to may 1996 na ikawa ni sifa ya kujiunga kufanya bachelor degree Waltburg sept 1996 hadi may 1998.
Associate degree aliyofanya waldorf iikuwa transfered Waltburg na kwa mujibu wa mfumo wa kusoma bachelor,associate degree inahesabiwa kama miaka miwili ya kozi unayotaka kuifanya.ndio maana alikaa Waltburg miaka miwili pekee.
ukiangalia kwa umakini utagundua kuwa hakuna utata hata kidogo.
hili la kuandikwa kwenye web ya bunge kuwa amesoma university college nadhani ni makosa ya kiuchapaji aidha kwakwe au bunge na sidhani kama yanaharibu ufaulu wake kwani vyuo alivyosoma vina sifa ya kutoa degree.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
mandezi wengine utafikiri wote kwao ni moshi...lami mpaka vijijini etc, huyu jamaa unlike wanyaturu wengi, kafanya jitihada sana za kuendeleza kwao, mkoa wa singida kutoka kwenye umaskini uliopo unahitaji efforts za hawa wanayaturu wote waliojazana dar-es-salaam na kwingineko wanaosubiri kutia aibu wakati wa mazishi yao huko vijijini mwao. stop kuosha vinywa, ukweli usemwe unapoonekana, kama ana hitilafu nyingine yawezekana but jimboni kwake amejitahidi mno

mkuu hii ya kuita watu wenye akili zao mandezi sio sawa kwani unaishia kufubaza hoja zako...jizatiti kwenye kujibu hoja tafadhali
 
  • Thanks
Reactions: EMT

mkuu...
umeeleza vyema na ninakubaliana nawe kwa kiasi kikubwa...kama nilieleza hapo mwanzo ni kwamba Mh Nyalandu alisoma associate degree kwa miaka miwili waldorf sep 1994 to may 1996 na ikawa ni sifa ya kujiunga kufanya bachelor degree Waltburg sept 1996 hadi may 1998.
Associate degree aliyofanya waldorf iikuwa transfered Waltburg na kwa mujibu wa mfumo wa kusoma bachelor,associate degree inahesabiwa kama miaka miwili ya kozi unayotaka kuifanya.ndio maana alikaa Waltburg miaka miwili pekee.
ukiangalia kwa umakini utagundua kuwa hakuna utata hata kidogo.
hili la kuandikwa kwenye web ya bunge kuwa amesoma university college nadhani ni makosa ya kiuchapaji aidha kwakwe au bunge na sidhani kama yanaharibu ufaulu wake kwani vyuo alivyosoma vina sifa ya kutoa degree.


Haya "Makosa ya uchapishaji" yako tangia 2000! Huoni kama ni kikwazo kwa wapiga kura walidanganyika kujua Mh ana Bachelor kumbe ni Associate Degree ambayo ni sawa na Diploma ?

Kwanini hajafanya marekebisho tangia kipindi hicho?

Kwanini College ameziita Universities?

Angeweza kuandika amegraduate BA. (International Business) - Wartburg College (U.S.A) maana hakuna kitu kinachoitwa Wartburg University College.

Hii ni kudanganya waajili wake wapiga kura na watanzania kwa ujumla maana anatumia kodi yetu kama Naibu waziri.
 

mkuu...
umeeleza vyema na ninakubaliana nawe kwa kiasi kikubwa...kama nilieleza hapo mwanzo ni kwamba Mh Nyalandu alisoma associate degree kwa miaka miwili waldorf sep 1994 to may 1996 na ikawa ni sifa ya kujiunga kufanya bachelor degree Waltburg sept 1996 hadi may 1998.
Associate degree aliyofanya waldorf iikuwa transfered Waltburg na kwa mujibu wa mfumo wa kusoma bachelor,associate degree inahesabiwa kama miaka miwili ya kozi unayotaka kuifanya.ndio maana alikaa Waltburg miaka miwili pekee.
ukiangalia kwa umakini utagundua kuwa hakuna utata hata kidogo.
hili la kuandikwa kwenye web ya bunge kuwa amesoma university college nadhani ni makosa ya kiuchapaji aidha kwakwe au bunge na sidhani kama yanaharibu ufaulu wake kwani vyuo alivyosoma vina sifa ya kutoa degree.

Mkuu nashukuru kwa majibu. Kama ni hivyo then, ingekuwa vizuri aifahamishe ofisi ua Bunge warekebishe hayo maandishi kwenye tovuti yao. Labda nikuulize swali ambalo nimemwuliza, mkuu PhillipJohn lakini hajanijibu. Hiyo associate degree ya Waldorf aliisoma kama Residential (campus) program, online program au accelerated adult program?

Pia Mchungaji ame raise issue nyeti. Je kwenye process za kugombea ubunge, education qualifications zake alijaza kama nini?
 
Back
Top Bottom