MT KILIMANJARO
JF-Expert Member
- Apr 19, 2013
- 4,215
- 760
Mbona kuna mangi hapo sokoni yuko bizee anauzia mlango wa uani. Wajinga ndio waliwao.
Mmh yakweli hayo? Au umeamua kuzusha.
Mbona kuna mangi hapo sokoni yuko bizee anauzia mlango wa uani. Wajinga ndio waliwao.
Kisesa ile ya Mabina?Nimefika kisesa hapa naelekea kati nikacheki pia
Lakini mkuu mbona Laptop kila mtu ananunua anakojisikia mwenyewe kiroho safi, kwa nini EFD tukanunue kwenye maduka "Maalum"
Hata laptop kuna za laki nne mpya kabisa na za milioni tatu mpya kabisa na kwa sura zinafanana.
Kuna sababu nyingi
Na nyinginezo
- Yawezekana system yenyewe ya TRA ina mashine zake special ambazo zinaweza kuwa intergrated nayo.
- Yawezekana kwa ajili ya kucontrol uchakachuaji na kudhibiti standards za mashine.
- Yawezekana zile mashine zina security ambayo inazuia kufuta local data ilizonazo ili kudhibiti ukwepaji wa kodi.