Mpaka MWALONI yamefungwa Mkuu
Yafungeni mpaka tarehe 15 januari tuwakomeshe.
IGOMA,NATIONAL,BUZURUGA kote yamefungwa
aliyejeuri ni SH AMON tu pale kwenye mataa na amepewa onyo kali na wafanyabiashara
Hali ni mbaya, CCM ni chama cha kishetani. EFD pale Sirari naipata kwa Tshs 150,000 lakini wao wanalazimisha za 800,000 ili wapige dili
Mpaka MWALONI yamefungwa Mkuu
Mliokwisha fika mjini tupeni taarifa kuhusu mgomo wa kutofungua maduka, je upo? na ni kweli hakuna aliye fungua duka?
Wameweza nini sasa! Kwani si maduka yao wenyewe! Wacha wafunge tu, wakichacha watafungua. Niko hapa Igogo.
Acha kukurupuka
uu
nipo mtaa wa pamba maduka yote yamefungwa.pia nimepita sahara maduka yamefungwa!
Mwanza oyeeeeeeeeeee.
Hata laptop kuna za laki nne mpya kabisa na za milioni tatu mpya kabisa na kwa sura zinafanana.
wana mwanza nawajua sana hamtaki mzaha na kejeli za ccm....
magamba wajinga sana. hadi kieleweke
Mbona kuna mangi hapo sokoni yuko bizee anauzia mlango wa uani. Wajinga ndio waliwao.
kilichonishangaza soko kuu mwanza toka nimelifahamu halijawahi kufungwa hata alipokufa Nyerere halikufungwa ila leo soku kuu limefungwa!