Mgomo wa madaktari - Updates


Ameeeen! Biblia bila Quinine malaria itakuua mkuu.
 

siyo hiyo tu, tatizo hapa ni katiba yetu mbovu ambayo ingeweza kumwajibisha huyu kiongozi dhaifu kabisa hajawahi kutokea duniani.
Hawa viongozi wasio na uwezo aliowaweka thru uswahiba, udini, ushikaji, upenzi hawezi kuwafanya chochote zaidi ya kuwakenulia meno
 
we unaona ni akili kama hutushiki na vifo vya waliokuweka madarakani?yetu macho
 

du aisee bonge la update he he he he he he
 
sidhani kama madaktari wanaweza kugoma mara hii napata mashaka wacha tuone ila ni ngumu sana
 
Hivi huyu bwana anesema eti madakari ni magaidi,anajua kufikiri kweli? Au anaropoka kwa kutumia tumbo?kichwani mwake ni kama kuna makamasi tu,hakuna akili hata kidogo,Taaluma hii ni nyeti sana sio ya kufanyia siasa na ubabaishaji, ni ya kiutendaji sana kuliko chochote,la sivyo rais ajihudhuru tu! Wala sio dhambi akijihudhuru.
 

Wewe Kichwa box kabisa, hao ma md dr. kwa upande wa pili ni wenye nchi, mwenyenchi gani ambaye hana mamlaka ya kumpangia mwajiriwa wake ya kufanya?
 
Nailaumu serikali na viongozi wanaoenda kutibiwa nje ya nchi kuliko ninavyowalaumu madaktari, msimamo wangu uko pale pale, nawashauri wananchi wawe upande wa madktari endapo ni kweli madaktari wanasimamia uboreshaji wa huduma za afya.
 
wanaobisha kuwa kuwa mgomo upo, mie niko home nimepata update kwa breaking news za ITV kuwa madoc wameridhia mgomo kuanzia saa hz, na madoc wameonekana wakiwa ktk vikundi vikundi huku wengine wakipanda kwa magar yao na wengine daladala wakiondoka so habar ndio hyo jaman.
 
Mob psychology ime wa-affect madaktari wetu. Natoa ushauri kila mmoja atafakari ni nini anachogomea hasa kama yeye binafsi bila kutegemea vikao vyao wanavyokaa kupeana molali! Kama ni maslahi yake hayajatekelezwa au ni kuto kujiuzuru kwa mawaziri au vyote viwili. Na ukiangalia dai la kuto kujiuzuri/kutowajibishwa mawaziri imemeza madai yao yote ikiwemo ya masilahi yao. Sasa wawe makini katika madai yao wasije wakawa wanatumiwa na kundi fulani bila kujijua? na hii ndio madhara ya mob psychology. Nawashauri waonane na wataalam wapate ushauri?
 
Naomba ufahamu wenu tafadhali, unaendesha gari ya abiria, umepakia abiria 65, uko na speed 80kph, ghafla wananaingia watoto wawili wanakimbizana barabarani umbali wa 25m katika eneo ambalo kushoto ni ngema na kulia kwako ambako ndio unakunjia kona ni bonde, wewe kama dereva utafanyaje? kisha linganisha jibu lako na sakata la madaktari.
 

Serikali kipofu na mbumbumbu itafanya hivyo. Kama wana uwezo huo kwanini hawakutatua mapema matatizo haya. Sipendi huu mgomo lakini musitoe vitisho vya kijinga kama hivyo kama wewe upo kwenye nafasi ya ushauri ungetumia hizo hela kumshauri atatue hata kabla ili. Serikali yenyewe imefulia hazina kuna mabox tu ya kuwekea hela, hela hakuna
 
Katika hatua kama hii ndipo ninamkumbuka Lowassa kijna wa maamuzi magumu angeamua liwalo na liwe. Fukuza bila gari waziri na naibu wake kuokoa roho za wengi kuliko kuwakumbatia huku tukila hasara lkuuubwa
 
Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Africa..

Ni muhimu viongozi wetu kukaa chini na kuanza kijitafakari sasa, mambo wanayofanya siyo mazuri
 
Haiwezekani kuweka REHANI ya watanzania milioni 40 ili kulinda ajira za maswahiba wawili mponda na nkya.
Aluta kontinua.
 
Wajameni kwa walio katika maeneo husika tunaomba updates;

Naona blablabla zimezidi sasa hakuna updates.




MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…