Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,599
Pamoja na TBC1 kushindwa kutoa muda wa kutosha kwa habari za Msajili wa Vyama vya siasa na Tume ya Uchaguzi, wametoa muda wa kutosha kwa Mgombea ubunge wa jimbo la Igunga kupitia UPDP! Huyu jamaa alikuwa anaongea kama wasanii wa Zecomedy na mbaya zaidi anaonekana kama kalewa. Kama si hivyo basi huyu jamaa ni mteja wa Mirembe Hospital!!