Nimemuona, jamaa amelewa chakali...duu! Bongo nomaaaaaaa
Pamoja na kucheka, nimesikitika sana kuona TV ya Taifa inatoa muda wote huo kwa huyu jamaa ambaye anafanya mzaha, na kushindwa kutoa walau muda kigogo tu kutujuza kuhusu maendeleo ya kampeni za vyama vingine! Aibu.
KAMA MUKAMA VILE ana tofauti gani kusema CDM wamekodi makomandoo.. masaburi banaHanana tofauti yoyote na Godbless Lema
Hanana tofauti yoyote na Godbless Lema
duh....mimi nilimuona nikashindwa kujua lengo lake hasa ni nini....tena mimi nilibahatika kumuona akicheza ndombolo huku yupo chicha.......tutaona mengi jamani....khaa
weee una mimba?
Hanana tofauti yoyote na Godbless Lema